Je, harusi ya Adam na Hawa ilifanyikia wapi, nani aliwafungisha ndoa?

Ndio au hapana?
Mkuu si nimekuambia pitia comment nimejibu kwa urefu kule.

Yani naweza nisireply comment,sio kwamba natisha kusema hivi hapana na natambua kuwa nisipokujibu hupati hasara yeyote ile

lakini kwaa vile ninatumaini wewe ni muelewa ndo mana narejea kukuambia rejea comment yangu ukasome kama lengo ni kueleweshana tukaelewana.

Nimejibu kwa urefu suala lako.

Ila sina jibu fupi LA NDIO AU HAPANA sina jibu fupi katika hili,jibu langu ni refu.

Kwa hiyo unaweza ukajichagulia jibu ambalo unahisi litakupa raha na ushindi endapo ungejibiwa na mimi alafu assume kuwa nimekujibu maisha yataweza kuendelea pia..
 
Maneno mengi halafu hakuna unachojibu, , whats wrong with you? Kukanusha hizo hadithi kumekuja baada ya kuona hoja zinazotolewa hazioewi majibu, huko ndiko kulikopelekea kuzikataa au kuzikanusha kama unavyotaka kuita, kuoianza kuhoji ndio kukafuata kukanusha.
Suala la kuruka maisha yake katika kipindi cha miaka 18 hadi 30 kunaleta shaka kubwa sana juu ya ukweli na uhalisia wa hadithi na picha nzima inayojrngwa na hadithi husika. Kwamba matendo ya binadamu aliediriki kuitwa mwana wa Mungu, na wengine wakaenda mbali kabisa hadi kumuita Mungu, hayaendani na matendo yake katika umri huo, maana yake ni kwamba tunachaguliwa cha kumezeshwa ili kiendane na taswira ya kutunga tunayolishwa, hivi kwa mfano mtu aliyebaka wakati ana miaka 25, halafu ghafla anafika miaka 30 unaambiwa huyo ni Mungu, au ni mwana wa Mungu and all of that nonsense? Lazima tuhoji kufichwa huku au kutowekwa huku kwa section za maisha ya hao wanaoitwa manabii. Hili peke yake linatia shaka, na ndio maana watu wanadai udhibitisho wa hizo hadithi. Sasa unaposema tu kwamba haikuwa na haja ya kuandika huo ni upuuzi
 
Kumbe we jamaa ni taahira, unafikiri mtu anapokwambia hili fuvu lina miaka milioni 2 ni anaoteshwa kama hao waliooteshwa hizo hadithi? Nenda kasome scientifc dating, muda hautoshi kuongelea hiyo tooic, specifically ‘Carbon dating’.

Secondly ,Mtirirko wa matukio wa hizo hadithi ukihesabu kwa idadi ya vizazi vinavyotajea humo tangu Adam na Hawa inatuketea umri wa kama miaka 6,000 tu, kwa hiyi hilo ni suala ambalo linaweza likawa deduced kirahisi tu kwenye hizo hadithi, sasa sijui hata unabwabwaja nini..., kelele nyingi, halafu hakuna unachojibu..,
Nisije nikawa napigizana kelele na mtoto wa miaka 10 halafu napoteza nguvu bure tu hapa, maana ujibuji wako wa maneo mengi yasio na kitu ndani yake unatia shaka
 
Sasa hapa umeandika nini?! Umesema mitume wote akiwemo Muhammad ni wakamilifu kwa kupitia hizo njia au ala kama ulivyoita, nimekudhirishia kwamba huyo mtume hakuwa mkamikifu, umeachana na mtume umerukia kwa binadamu, kwani nani kasema binadamu ni mkamilifu? Sasa kwahiyo bado unang’ang’ania kwamba hao mitume ni wakamilifu? Kama sibmvuo tunarudi kwenye hoja ya msingi, taja 10 tu, binadamu, au mitume au nabii au wowote wale amabo walifikia ukamilifu kwanhizo ala
 
Sasa kama hujui kitu kuhusu hizi hadithi, unatetes nini?! Wewe sema kama hicho nilichokisema juu ya hiyo hadithi ni kweli au sio? Kama unasema sio nitakuonyesha wapi exactly ipo, kama hujui sasa unatetea nini? Kumbe napoteza muda basi, hujui unachokitetea ila unataka kuchoshabwatu tu hapa
 
It means hujui unachotetea, maana huzijui hata hizo hadithi unazotetea, kwanini sasa nipoteze nguvu na muda kubisha na anaetetea asichokijua, why?
 
Ndio, au hapana?
 
sina jibu fupi LA NDIO AU HAPANA sina jibu fupi katika hili,jibu langu ni refu.
Hii sio telegram unayochajiwa kwa idadi ya maneno, jibu, kafanya kwa makusudi au bahati mbaya. Au huko mbinguni kuna uhaba wa vyumba vya kulala wageni? Au wana ufinyu wa bajeti kama bodi ya mikopo?
 
Hii sio telegram unayochajiwa kwa idadi ya maneno, jibu, kafanya kwa makusudi au bahati mbaya. Au huko mbinguni kuna uhaba wa vyumba vya kulala wageni? Au wana ufinyu wa bajeti kama bodi ya mikopo?
Mkuu mbona unalazimisha na nimekuambia sina jibu fupi katika swali lako.

Wewe unaonaje ?

Kama umeona bahati mbaya basi tosheka na jibu hilo,kama unaona makusudi basi tosheka na jibu hilo pia.

Ila mimi ukitaka maelezo swali lako nimejibu kwa urefu kule juu kama kweli unataka jibu kutoka kwangu.
 
Kama hutaki kujibu, kalale, sio lazima.
 
Naona umeamua kucheza mdumange mwenyewe hii ajabu sana. Kwanini hujibu nilicho kuuliza ?

Pili, unaamua kuwa muongo kijana ? Naona unajisahaulisha kwa makusudi ? Hakuna sehemu mliyo hoji zaidi ya kuanza kukanusha na hapa ndiyo nimekuzindua ya mlitakiwa muhoji kwanza kabla ya kukanusha, na unapo kanusha lazima uwe na ithibati. Wekeni sasa ithibati zenu kama nyinyi mnasema ukweli.
 
Kumbe we jamaa ni taahira, unafikiri mtu anapokwambia hili fuvu lina miaka milioni 2 ni anaoteshwa kama hao waliooteshwa hizo hadithi? Nenda kasome scientifc dating, muda hautoshi kuongelea hiyo tooic, specifically ‘Carbon dating’.
Bwana mdogo usioate shida wewe nithibitishie ya kuwa ni kweli dunia ina miaka mamikioni kadhaa.

Kisha uniambia ufanisi wa hicho kipimo ni wa asilimia ngapi na utuambie walijuaje ya kuwa fuvu hilo ndiyo la binadamu wa kwanza, je marejeo yao ni mafuvu mangapi mpaka wakahitimisha hayo waliyo hitimisha ? Sasa kama nyinyi hamfikirii na kuhoji kazi hiyo tuachieni sisi.
Kijana huku ulipoingia pazito mzee, hutoki ngoja nikuonyeshe. Naomba utuhesabie hivyo vizazi kisha upate hiyo miaka isiyo zidi 10. Ukiweza naacha kutumia hii ID.
 
Yaani hata sioni umeandika nini, serious
 
Kwahiyo hoja imehamia kwenye ufanisi wa kipimo cha Carbon dating? Tufanye hivi, kipimo cha Carbon dating ni uongo, tuishie hapo.
 
Sasa hapa umeandika nini?! Umesema mitume wote akiwemo Muhammad ni wakamilifu kwa kupitia hizo njia au ala kama ulivyoita,
Kijana ongeza umakino na hili nilikukanya tangu awali, onyesha popote nilipo sema haya maneno, kijana inakuwaje unashindwa hata kukopi nilicho kiandika? Naona sasa umeamua kunipotezea muda.

Narudia tena hivi, nilisema hakuna mkamilifu hapa duniani, kisha nikasema hivi ala na nyenzo hizo zinamsaidia mwanadamu kufikia ukamilifu ambao mwema analipwa pepo na muovu analipwa moto. Maana yake ukamilifu haupo duniani mzee. Unashindwa wapi kijana ?
Ulipotaka nikutajie majina ya wakamilifu mpaka wanadamu ulikuwa unataka upewe majina ya vipepeo ?

Nimeshakutajia huko juu, nimekutajia mitume, na awali kabisa nilikuashiria ya kuwa wapo zaidi ya hao.
 
Hahah, we usitake kunifanyan mi taahira, tuishie hapa, 😂😂😂, kumbe najadiliana na mgonjwa aliyetoroka mirembe , bullshit😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…