Je, harusi ya Adam na Hawa ilifanyikia wapi, nani aliwafungisha ndoa?

Je, harusi ya Adam na Hawa ilifanyikia wapi, nani aliwafungisha ndoa?

Ndio au hapana?
Mkuu si nimekuambia pitia comment nimejibu kwa urefu kule.

Yani naweza nisireply comment,sio kwamba natisha kusema hivi hapana na natambua kuwa nisipokujibu hupati hasara yeyote ile

lakini kwaa vile ninatumaini wewe ni muelewa ndo mana narejea kukuambia rejea comment yangu ukasome kama lengo ni kueleweshana tukaelewana.

Nimejibu kwa urefu suala lako.

Ila sina jibu fupi LA NDIO AU HAPANA sina jibu fupi katika hili,jibu langu ni refu.

Kwa hiyo unaweza ukajichagulia jibu ambalo unahisi litakupa raha na ushindi endapo ungejibiwa na mimi alafu assume kuwa nimekujibu maisha yataweza kuendelea pia..
 
Safi kabisa, kwanza naona umekiri na kukubali ya kuwa kuna kuhoji na kukanusha (Hapa badi unatafuta huruma na kukimbia jukumu lako).

Habari za Yesu/Nabii Issa katika ulimwengu wa Kiislamu zimeelezewa tangu utotoni na namna mimba yake ilivyo tungwa, hili lilitosheleza juu ya kukidhi haja ya kile alicho kuja nacho, lakini kawaida mitume au manabii kuna umri ambao huwa ukifika huanza kupewa ujumbe na kazi zao kuanzia hapo.

Suala la habari zake za baina ya miaka 18 mpaka 30 ukiona hazijaelezewa ujue ya kuwa hapakuwa na haja ya kuelezewa wala haziathiri lengo la yeye kuwa nabii, yaani kuelezewa kwake na kutokuelezewa kwake ni sawa.

Labda nikuulize tu swali la msingi, maana hapa nimeona unauliza maswali ya kipuuzi na yasiyo kuwa na tija, labda jalia ya kuwa alikuwa anatongoza mademu na mfano wake, je ilikuwa kabla ya utume au baada ya utume na je habari hizo zina athiri juu ya unabii wake ?

Lakini, kuhoji ndiyo jambo la msingi, ila watu wanatakiwa wahoji mambo ya maana na si ya upuuzi kwani kuhoji upuuzi ni matumizi mabaya ya akili.
Maneno mengi halafu hakuna unachojibu, , whats wrong with you? Kukanusha hizo hadithi kumekuja baada ya kuona hoja zinazotolewa hazioewi majibu, huko ndiko kulikopelekea kuzikataa au kuzikanusha kama unavyotaka kuita, kuoianza kuhoji ndio kukafuata kukanusha.
Suala la kuruka maisha yake katika kipindi cha miaka 18 hadi 30 kunaleta shaka kubwa sana juu ya ukweli na uhalisia wa hadithi na picha nzima inayojrngwa na hadithi husika. Kwamba matendo ya binadamu aliediriki kuitwa mwana wa Mungu, na wengine wakaenda mbali kabisa hadi kumuita Mungu, hayaendani na matendo yake katika umri huo, maana yake ni kwamba tunachaguliwa cha kumezeshwa ili kiendane na taswira ya kutunga tunayolishwa, hivi kwa mfano mtu aliyebaka wakati ana miaka 25, halafu ghafla anafika miaka 30 unaambiwa huyo ni Mungu, au ni mwana wa Mungu and all of that nonsense? Lazima tuhoji kufichwa huku au kutowekwa huku kwa section za maisha ya hao wanaoitwa manabii. Hili peke yake linatia shaka, na ndio maana watu wanadai udhibitisho wa hizo hadithi. Sasa unaposema tu kwamba haikuwa na haja ya kuandika huo ni upuuzi
 
Huu ni upuuzi mwingine, kwanza nikuulize swali unao ushahidi wa kuwa mabaki hayo kweli yana umri wa mamilioni ya miaka au wewe baada ya kupewa hiyo habari ukatosheka na kumeza kama sponchi linaponyonya maji ? Je ulihoji kwa namna gani habari hizo za mabaki ni za kweli ?

Hakuna binadamu yeyote wala vitabu vya dini havijatuambia ya kuwa Adamu aliumbwa lini wala dunia iliumbwa, majibu ya umri wa viwili hivi anajua aliye umba.

Laiti kama mngekuwa watu wa kuhoji na kuhakiki habari, hizi habari za umri wa dunia mngezikadhibisha. Sasa usiendelee kuonyesha udhaifu wako wa kuhoji kwa kumili upande mmoja huki upande wa pili huna ithibati.

Nataka wahoji vya maana kwa kurejea habari sahihi, siyo wahoji upuuzi kwa kurejea upuuzi wa wanaikolojia na mfano wao.
Kumbe we jamaa ni taahira, unafikiri mtu anapokwambia hili fuvu lina miaka milioni 2 ni anaoteshwa kama hao waliooteshwa hizo hadithi? Nenda kasome scientifc dating, muda hautoshi kuongelea hiyo tooic, specifically ‘Carbon dating’.

Secondly ,Mtirirko wa matukio wa hizo hadithi ukihesabu kwa idadi ya vizazi vinavyotajea humo tangu Adam na Hawa inatuketea umri wa kama miaka 6,000 tu, kwa hiyi hilo ni suala ambalo linaweza likawa deduced kirahisi tu kwenye hizo hadithi, sasa sijui hata unabwabwaja nini..., kelele nyingi, halafu hakuna unachojibu..,
Nisije nikawa napigizana kelele na mtoto wa miaka 10 halafu napoteza nguvu bure tu hapa, maana ujibuji wako wa maneo mengi yasio na kitu ndani yake unatia shaka
 
Sababu ulikosea tangu mwanzo basi usitarajie kupatia baada ya kukosea hili, ungekuwa na busara na umakino wa kukidhi haja, ungerekehisha ufahamu wako juu ya yale niliyo yawasilisha huko nyuma.

Naweka kumbukimbi sawa, nilisema hakuna mkamilifu katika Wanadamu bali ukamilifu unapatikana baada ya kutumia nyenzo na ala zitakazo tupeleka katika ukamilifu na ukamilifu wenyewe ni kulipwa pepo kwa wema na kulipwa moto kwa waovu. Maana yake kwa duniani hakuna mkamilifu. Sasa uliza swali lako upya kulingana na hiki nilichokieleza tangu awali.
Sasa hapa umeandika nini?! Umesema mitume wote akiwemo Muhammad ni wakamilifu kwa kupitia hizo njia au ala kama ulivyoita, nimekudhirishia kwamba huyo mtume hakuwa mkamikifu, umeachana na mtume umerukia kwa binadamu, kwani nani kasema binadamu ni mkamilifu? Sasa kwahiyo bado unang’ang’ania kwamba hao mitume ni wakamilifu? Kama sibmvuo tunarudi kwenye hoja ya msingi, taja 10 tu, binadamu, au mitume au nabii au wowote wale amabo walifikia ukamilifu kwanhizo ala
 
Safi kabisa hili ni kwa habari na si kwa hadithi, tatizo ulilivagaa tamko Hadithi bila kujua mipaka yake, na lazima ukosee kama unavyo kosea sasa.

Sasa unaponukuu Hadithi ujue ya kuwa wewe umesikia mahala au umesoma mahala, sasa katika uhakiki wa habari lazima utuambie umeitoa wapi hiyo habari kisha tunaiweka katika mizani, na kupembua mbichi na mbivu, sababu si kila habari ni hadithi.

Mathalani hicho ulicho kisema wewe kwangu mimi ni kipya, sababu mimo ni mtu makini na nimesoma elimi ya uhakiki wa habari lazima ni kuhoji ili nijue naiweka katika kundi gani habari hii, je inaingia katika hadithi, au ni visa vya wana wa Israeli au pauka pakawa.

Ndoyo maana nilikwambia hapo awali ya kuwa habari uliyo itolea mfano inanipa maswali mengi, na ndiyo maana huwa tunawaambia habari hizi mtuambie mmezitoa wapi, lakini mwisho wa siku mnatokomea sababu katika vitabu vyetu habari hizi hatuzioni.

Lakini pia mnaonyesha udhaifu mkubwa sana na kutokuwa makini kwa kuchukua habari bila kuzihakiki na kuzinasibisha ba watu fulani, watu wenye akili timamu na umakini hawapo kama mlivyo nyinyi hivi.

Kwahiyo nahitimisha kwa kukwambia hivi, rekebisheni viti vyenu kwanza kabla hamjavitia nakshi. Mwenzako mmoja amekimbia na najua hatarudi tena sababu kazi niliyo mpa ya kuniletea andiko linalo onyesha kukaidi kwa Malaika. Sasa msiwe na sifa kama ya sponchi likiwekwa kwenye mkojo litanyonya mkojo, likiwekwa kwenye maziwa litanyonya maziwa, likiwekwa kwenye maji litanyonya maji.
Sasa kama hujui kitu kuhusu hizi hadithi, unatetes nini?! Wewe sema kama hicho nilichokisema juu ya hiyo hadithi ni kweli au sio? Kama unasema sio nitakuonyesha wapi exactly ipo, kama hujui sasa unatetea nini? Kumbe napoteza muda basi, hujui unachokitetea ila unataka kuchoshabwatu tu hapa
 
Safi kabisa ili nizijibi hoja hizi lazima kwanza uniambie habari hizi mmezipata wapi usiniambie tu watu wanahoji lazima tujue ukweli wa hoja zao maana katika vitabu vyetu hasa vya uislamu sijaona habari hizi.

Kwahiyo mkinionyesha kama zipo katika kitabu chochote katika vitabu vya Uislamu nitajibu hoja hizo.

Ila bado uba deni nakudai, nataka mtuambie na mtuthibitishie ya kuwa hizi hadithi ni za uongo.

Ila nitazidi kuwaona nyinyi ni watu wajinga wa muda wote, kama hizi habari mnazo ziweka humi kama hoja zenu hamjui zinapatikana wapi ? (Nacheka sana).

Nimemaliza kazi yangu ni mimi Zurri.
It means hujui unachotetea, maana huzijui hata hizo hadithi unazotetea, kwanini sasa nipoteze nguvu na muda kubisha na anaetetea asichokijua, why?
 
Mkuu si nimekuambia pitia comment nimejibu kwa urefu kule.

Yani naweza nisireply comment,sio kwamba natisha kusema hivi hapana na natambua kuwa nisipokujibu hupati hasara yeyote ile

lakini kwaa vile ninatumaini wewe ni muelewa ndo mana narejea kukuambia rejea comment yangu ukasome kama lengo ni kueleweshana tukaelewana.

Nimejibu kwa urefu suala lako.

Ila sina jibu fupi LA NDIO AU HAPANA sina jibu fupi katika hili,jibu langu ni refu.

Kwa hiyo unaweza ukajichagulia jibu ambalo unahisi litakupa raha na ushindi endapo ungejibiwa na mimi alafu assume kuwa nimekujibu maisha yataweza kuendelea pia..
Ndio, au hapana?
 
sina jibu fupi LA NDIO AU HAPANA sina jibu fupi katika hili,jibu langu ni refu.
Hii sio telegram unayochajiwa kwa idadi ya maneno, jibu, kafanya kwa makusudi au bahati mbaya. Au huko mbinguni kuna uhaba wa vyumba vya kulala wageni? Au wana ufinyu wa bajeti kama bodi ya mikopo?
 
Hii sio telegram unayochajiwa kwa idadi ya maneno, jibu, kafanya kwa makusudi au bahati mbaya. Au huko mbinguni kuna uhaba wa vyumba vya kulala wageni? Au wana ufinyu wa bajeti kama bodi ya mikopo?
Mkuu mbona unalazimisha na nimekuambia sina jibu fupi katika swali lako.

Wewe unaonaje ?

Kama umeona bahati mbaya basi tosheka na jibu hilo,kama unaona makusudi basi tosheka na jibu hilo pia.

Ila mimi ukitaka maelezo swali lako nimejibu kwa urefu kule juu kama kweli unataka jibu kutoka kwangu.
 
Mkuu mbona unalazimisha na nimekuambia sina jibu fupi katika swali lako.

Wewe unaonaje ?

Kama umeona bahati mbaya basi tosheka na jibu hilo,kama unaona makusudi basi tosheka na jibu hilo pia.

Ila mimi ukitaka maelezo swali lako nimejibu kwa urefu kule juu kama kweli unataka jibu kutoka kwangu.
Kama hutaki kujibu, kalale, sio lazima.
 
Maneno mengi halafu hakuna unachojibu, , whats wrong with you? Kukanusha hizo hadithi kumekuja baada ya kuona hoja zinazotolewa hazioewi majibu, huko ndiko kulikopelekea kuzikataa au kuzikanusha kama unavyotaka kuita, kuoianza kuhoji ndio kukafuata kukanusha.
Suala la kuruka maisha yake katika kipindi cha miaka 18 hadi 30 kunaleta shaka kubwa sana juu ya ukweli na uhalisia wa hadithi na picha nzima inayojrngwa na hadithi husika. Kwamba matendo ya binadamu aliediriki kuitwa mwana wa Mungu, na wengine wakaenda mbali kabisa hadi kumuita Mungu, hayaendani na matendo yake katika umri huo, maana yake ni kwamba tunachaguliwa cha kumezeshwa ili kiendane na taswira ya kutunga tunayolishwa, hivi kwa mfano mtu aliyebaka wakati ana miaka 25, halafu ghafla anafika miaka 30 unaambiwa huyo ni Mungu, au ni mwana wa Mungu and all of that nonsense? Lazima tuhoji kufichwa huku au kutowekwa huku kwa section za maisha ya hao wanaoitwa manabii. Hili peke yake linatia shaka, na ndio maana watu wanadai udhibitisho wa hizo hadithi. Sasa unaposema tu kwamba haikuwa na haja ya kuandika huo ni upuuzi
Naona umeamua kucheza mdumange mwenyewe hii ajabu sana. Kwanini hujibu nilicho kuuliza ?

Pili, unaamua kuwa muongo kijana ? Naona unajisahaulisha kwa makusudi ? Hakuna sehemu mliyo hoji zaidi ya kuanza kukanusha na hapa ndiyo nimekuzindua ya mlitakiwa muhoji kwanza kabla ya kukanusha, na unapo kanusha lazima uwe na ithibati. Wekeni sasa ithibati zenu kama nyinyi mnasema ukweli.
 
Kumbe we jamaa ni taahira, unafikiri mtu anapokwambia hili fuvu lina miaka milioni 2 ni anaoteshwa kama hao waliooteshwa hizo hadithi? Nenda kasome scientifc dating, muda hautoshi kuongelea hiyo tooic, specifically ‘Carbon dating’.
Bwana mdogo usioate shida wewe nithibitishie ya kuwa ni kweli dunia ina miaka mamikioni kadhaa.

Kisha uniambia ufanisi wa hicho kipimo ni wa asilimia ngapi na utuambie walijuaje ya kuwa fuvu hilo ndiyo la binadamu wa kwanza, je marejeo yao ni mafuvu mangapi mpaka wakahitimisha hayo waliyo hitimisha ? Sasa kama nyinyi hamfikirii na kuhoji kazi hiyo tuachieni sisi.
Secondly ,Mtirirko wa matukio wa hizo hadithi ukihesabu kwa idadi ya vizazi vinavyotajea humo tangu Adam na Hawa inatuketea umri wa kama miaka 6,000 tu, kwa hiyi hilo ni suala ambalo linaweza likawa deduced kirahisi tu kwenye hizo hadithi, sasa sijui hata unabwabwaja nini..., kelele nyingi, halafu hakuna unachojibu..,
Nisije nikawa napigizana kelele na mtoto wa miaka 10 halafu napoteza nguvu bure tu hapa, maana ujibuji wako wa maneo mengi yasio na kitu ndani yake unatia shaka
Kijana huku ulipoingia pazito mzee, hutoki ngoja nikuonyeshe. Naomba utuhesabie hivyo vizazi kisha upate hiyo miaka isiyo zidi 10. Ukiweza naacha kutumia hii ID.
 
Naona umeamua kucheza mdumange mwenyewe hii ajabu sana. Kwanini hujibu nilicho kuuliza ?

Pili, unaamua kuwa muongo kijana ? Naona unajisahaulisha kwa makusudi ? Hakuna sehemu mliyo hoji zaidi ya kuanza kukanusha na hapa ndiyo nimekuzindua ya mlitakiwa muhoji kwanza kabla ya kukanusha, na unapo kanusha lazima uwe na ithibati. Wekeni sasa ithibati zenu kama nyinyi mnasema ukweli.
Yaani hata sioni umeandika nini, serious
 
Bwana mdogo usioate shida wewe nithibitishie ya kuwa ni kweli dunia ina miaka mamikioni kadhaa.

Kisha uniambia ufanisi wa hicho kipimo ni wa asilimia ngapi na utuambie walijuaje ya kuwa fuvu hilo ndiyo la binadamu wa kwanza, je marejeo yao ni mafuvu mangapi mpaka wakahitimisha hayo waliyo hitimisha ? Sasa kama nyinyi hamfikirii na kuhoji kazi hiyo tuachieni sisi.

Kijana huku ulipoingia pazito mzee, hutoki ngoja nikuonyeshe. Naomba utuhesabie hivyo vizazi kisha upate hiyo miaka isiyo zidi 10. Ukiweza naacha kutumia hii ID.
Kwahiyo hoja imehamia kwenye ufanisi wa kipimo cha Carbon dating? Tufanye hivi, kipimo cha Carbon dating ni uongo, tuishie hapo.
 
Sasa hapa umeandika nini?! Umesema mitume wote akiwemo Muhammad ni wakamilifu kwa kupitia hizo njia au ala kama ulivyoita,
Kijana ongeza umakino na hili nilikukanya tangu awali, onyesha popote nilipo sema haya maneno, kijana inakuwaje unashindwa hata kukopi nilicho kiandika? Naona sasa umeamua kunipotezea muda.

Narudia tena hivi, nilisema hakuna mkamilifu hapa duniani, kisha nikasema hivi ala na nyenzo hizo zinamsaidia mwanadamu kufikia ukamilifu ambao mwema analipwa pepo na muovu analipwa moto. Maana yake ukamilifu haupo duniani mzee. Unashindwa wapi kijana ?
nimekudhirishia kwamba huyo mtume hakuwa mkamikifu, umeachana na mtume umerukia kwa binadamu, kwani nani kasema binadamu ni mkamilifu? Sasa kwahiyo bado unang’ang’ania kwamba hao mitume ni wakamilifu? Kama sibmvuo tunarudi kwenye hoja ya msingi, taja 10 tu, binadamu, au mitume au nabii au wowote wale amabo walifikia ukamilifu kwanhizo ala
Ulipotaka nikutajie majina ya wakamilifu mpaka wanadamu ulikuwa unataka upewe majina ya vipepeo ?

Nimeshakutajia huko juu, nimekutajia mitume, na awali kabisa nilikuashiria ya kuwa wapo zaidi ya hao.
 
Kijana ongeza umakino na hili nilikukanya tangu awali, onyesha popote nilipo sema haya maneno, kijana inakuwaje unashindwa hata kukopi nilicho kiandika? Naona sasa umeamua kunipotezea muda.

Narudia tena hivi, nilisema hakuna mkamilifu hapa duniani, kisha nikasema hivi ala na nyenzo hizo zinamsaidia mwanadamu kufikia ukamilifu ambao mwema analipwa pepo na muovu analipwa moto. Maana yake ukamilifu haupo duniani mzee. Unashindwa wapi kijana ?

Ulipotaka nikutajie majina ya wakamilifu mpaka wanadamu ulikuwa unataka upewe majina ya vipepeo ?

Nimeshakutajia huko juu, nimekutajia mitume, na awali kabisa nilikuashiria ya kuwa wapo zaidi ya hao.
Hahah, we usitake kunifanyan mi taahira, tuishie hapa, 😂😂😂, kumbe najadiliana na mgonjwa aliyetoroka mirembe , bullshit😅😅
 
Back
Top Bottom