Niwataje mara ngapi mzee ?Haya sasa, wataje binadamu wa kawaida, au manabii, au mitume waliofikia ukamilifu kwa kutumia hizo ala, walau hata 10 tu
Mitume wote wamefikia huo ukamilifu sababu mwisho ni pepo na moto. Na wapo wasio kuwa mitume ba wapo wa elfu 70.
Sasa idadi uliyo itoa ni ndogo sana mzee, na nimekupa hiyo na ziada.