Je, hii kauli ya Lissu ni kukosa hekima, kutokujali au ndio changa la macho kwa wananchi baada ya tuhuma za kulamba asali?

Je, hii kauli ya Lissu ni kukosa hekima, kutokujali au ndio changa la macho kwa wananchi baada ya tuhuma za kulamba asali?

Hiyo yajulikana uzuri tu.

Lakini ni sawa kwa CCM kufanya hivyo maana ni kwamba mpango wa CCM ni kuelekea mchakato wa 2025 bila bughudha.

Ila suali ni kwamba kwanini Tundu Lissu amerejea Ubelgiji na huenda pengine asirudi hivi karibuni?

2025 ni mbali Sana anything can happen. Umesahau ya 2021 March nani alijua.
 
Yanapokea ruzuku waliodai ni haramu alafu yanabweka!

Wamebariki uchaguzi waliokataa 2020 na bado wanajitekenya tu


Malabu*u

Matusi yako peleka kwenu. Ruzuku wamepokea baada ya maridhiano na kukubaliana. Sasa wewe unawatukana kwa lipi?. Mbona una hasira kwa CHADEMA kuchukua Ruzuku lakini CCM wanaokopa kila siku na wamejaa bungeni unawatetemekea.
 
Mmelamba asali wenyewe mkamtosa Lissu. Lissu alijua mbowe ana masihara na njuruku?

Hiyo asali alisema Makamba ila mmeibeba kipropaganda na kuileta CHADEMA, kisa tu CHADEMA kukubali kuongea na mama.
 
Hawa jamaa ni nyumbu ila Kuna baadhi ya raia apa wanaweka Imani zao kwao kama chama Chao kimemukubali mwenyekiti wa CCM wengine mnangoja nn chama hamna pale wanesalim amri kwa kisingizio Cha Maridhiano Hangaya ni shujaa kawamaliza kwa macho tu nyumbu wote imooo

Nyumbu mwenyewe. Huyo Hangaya kammaliza Nani?. Kwa hivyo kawamaliza CHADEMA kwa kuleta mchakato wa katiba mpya?.
 
Hivyo vi plates, screws na nails vilivyowekwa kwenye long bones za mguu wake wa kulia, mbona mabingwa wetu wabobezi waliopo pale MOI wana utalaamu huo huo sawa na hao wabeligiji na mama kawapatia vifaa tiba vyote na vya kisasa sawa na hivyo walivyo navyo wabeligiji. Huyu tukimpa uraisi akiumwa hata mafua tu yeye au mke au watoto wake watakuwa wanaenda kutibiwa Ubeligiji. Hawaamini watalaamu wetu na hataboresha vitendea kazi vyao ili viwe sawa na hivyo vya kwao ubeligiji.

Mje mumuue?. Mumpige risasi nyie halafu mumtibu nyie. Hilo halipo.
 
Upasuaji wake huo wa kuweka plates and nails in in his lower limb bones ni upasuaji wa kawaida tu ambao MOI wanafanya kila siku. Hata kwenye hospitali zetu za kanda na mikoa unafanyika kwa ufanisi mkubwa. History ya ugonjwa na upasuaji wake uko well documented. Siyo lazima check up ifanywe na daktari huyo huyo mmoja. Ina maana akiwa hayupo kwa sababu ye yote hususani kwa ugonjwa, kustaafu, kufariki dunia etc daktari mwingine atashindwa kufanya proper check up? Hizo plates, nails na screws zitakaa milele kwenye hiyo mifupa yake na haihitaji any check up. They are permanent parts of his body. No complications is expected from them

Wameshindwa kukamata wahusika ndio huwaamini wakutibu kwenye hospitality yao Tena MOI. Be serious.
 
Mimi nilishawaambia zamani tu kuwa lisu #dishlimetilt - upstairs kuna walakini, sijui ni kwa nini hamuelewi?
Naona mnasubiri mpaka aanze kuokota makopo ndiyo muuelewe huo ukweli. Basi endeleeni!

Kipi kibaya alichoongea. Kuna mtu alijitangaza yeye ni mwehu na kweli ikagundulika alikuwa ana file milembe.
 
Kwani maridhiano kulikuwa na mgogoro upi? Hawa watu wanabembelezwa sana na hawana utu. Eti mikutano ya hadhara, utoto mtupu! Kama walikataa uchaguzi baada ya kugaragazwa vibaya 2020, wakumbuke kwamba hatujafanya uchaguzi mpya, rais huyu pia alitokana na uchaguzi ule. Walimkataa jpm lkn wsnamkubali huyu, halafu wote wanatokana na ccm ile ile ambayo wanadai iliiba kura.

Hivi kweli utasema chaguzi za 2019 na 2020 zilikuwa na maana?. Tuache uongo na unafiki. Ndio maana wengine walikufa kwa aibu kwa sababu ya dhuruma.
 
Mnajisumbua akili bure.
Tume ya ukweli na haki ya kazi gani? Tume huru ya uchaguzi mnafikiri ndo itakuwa na watu gani ili iwe huru?
Katiba pendekezwa ipo so ili tuendelee tutaanzia pale tulopoishia kwa mujibu wa sheria.

Wewe Kama huamini kwenye haki kaa pembeni. Mchakato wa katiba unaanza upya na sheria mpya itatungwa.
 
Huu ndio ukweli Watz wengi wepesi Sana vichwani,

Mimi nilishasema toka siku ile ya BAVICHA kumwalika Mwenyekiti wa Ccm Taifa,

Kwanza hamna maridhiano bali ulaghai tu ccm Ni magwiji wa siasa chafu na itabaki hivyo.

Pili,inachofanya Ni kuwasalitisha au kuwatenganisha Mbowe na Lisu,na hii ni strategically mmoja anapewa Asali nyingi mwingine kidogo ,huku wakivuta muda wasuchaguzi..

Tatu,Ccm inachelewesha haya mambo ya Tume Huru na Katiba Mpya kwa kuwazubaisha viongozi wa Upinzani,ukiona imefika 2024 ccm haiwezi kufanya Katiba Mpya Kama hoja yake(yaani inajipanga na uchaguzi tu kwisha)..Lisu akipiga Sana kelele atamaliziwa buyu lake na hapo muda utakuwa ushaenda..


Narudia hayo mnayoita Maridhiano Ni usanii Mtupu..

Na Ni ulambaji wa Asali kwa tuliowaamini na atayepata Asali kidogo hatoyaunga mkono..

Hakuna mwanasiasa wa kuonja kura yangu Wala ya mwanafamilia Yangu..

Ni Mbowe tu ndio anaiamini ccm, sio CHADEMA.
 
Mifumo ya tehama tuliyonayo inawezesha mawasiliano ya kuonana live (video conference or zoom) na madaktari wake wa Ubeligiji) wakati wa hiyo check up yake. Inawezesha madaktari wake wa Ubeligiji kumfanyia hiyo check up akiwa hapa hapa Tanzania (telemedical consultation & treatment).

Kuhusu gharama ya matibabu yake hapa Tanzania, chama chake kingamlipia bila wasi wasi wo wote tena kwa viwango vya VIP patient. Gharamq ya matibabu yake huko Ubeligiji analipiwa na Akina Robertson ambao tutakapompa uraisi watakuja kubeba maliasili zetu zote free of charge na kutufanyia u LGBTQQIP2.

Mmeshindwa kukamata waliompiga risasi ndio mumtibu akiwa huku?. Nyie ni wauaji Hakuna wa kuwaamini, na mtaondoka hivyo hivyo kimya kimya.
 
Nakubaliana na wewe mkuu.

Wanasema uchaguzi haukuwa wa haki lakini wapo pamoja na aliyetokana na huo uchaguzi wanasema sio wa huru na haki.

Sikiliza CHADEMA hawakushiriki kwenye mkutano wa vyama vya siasa ndipo Rais akaomba kuonana nao, ndipo maridhiano yalipoanza. Na juzi Waziri kasema wanaanda sheria za uchaguzi na mchakatako wa katiba mpya. Hivyo wamepewa walichotaka ingawa bado maridhiano yanaendelea.
 
Back
Top Bottom