Je, hii kauli ya Lissu ni kukosa hekima, kutokujali au ndio changa la macho kwa wananchi baada ya tuhuma za kulamba asali?

Je, hii kauli ya Lissu ni kukosa hekima, kutokujali au ndio changa la macho kwa wananchi baada ya tuhuma za kulamba asali?

Kngeza mtoto wake mmoja ni pung yupo kwa charles zamani malkia, lisu yeye alishafunga ndo na jinaume, kengeza ndoa ilishayumba ni punga ndiyo maana anaitwa mzee wa cheni hahaha, yaani CCM ndiyo chama la kidume

Angalia unayoyaongea. Ni ushauri tu.
 
Tanzania haifungamani na nchi yo yote au kikundi cho chote kile duniani. Hili ni kwa mjibu wa katiba yetu pendwa. We are a non aligned country. Hivyo tunakopa kwa ye yote aliye na fedha. U left au u right wake au u LGBTQQIP2 wake hautuhusu.

Jamaa yenu yeye kanogewa kuishi na ma LGBTQQIP2. Kaja hapa, baada ya wiki mbili tu ka wamiss ile mbaya hao ma LGBTQQIP2 wake, ikabidi arudi kimya kimya kwenda kujumuika nao. Tukimpa uraisi atakuwa anaishi huko akiongoza nchi kwa njia ya mtandao. Ni hatari bin hatari. Mungu atuepushe watanzania.

Kimtokacho mtu ndio alivyo. Ukiona mtu anajadili ushoga 24 hours Basi ujue huyo Ni shoga. Pole Sana.
 
Lissu ana 'vichwa viwili!' Hiki alichoandika kimetoka ktk kile kichwa original cha kutojua nini cha kusema, wakati gani, mazingira gani, dhidi ya nani na nini matokeo ya kauli. Asaidiwe hekima na busara. 🙏🙏🙏

Mnataka kila mtu awe chawa?
 
Hivi mkimuangalia vizuri huyu anatofauti gani na Yule mzee wanaye mlaumu kila siku?

Yaani ni nafuu Sana Mzee alikuwa anawabeba wanyonge lkn huyu atatutesa Sana Kwanza ni much know anajua kila kitu!

Sio shida yako inaonekana umezoea kuteswa, kiasi kwamba unawaza kuteswa kila wakati. .unahitaji ushauri wa kisaikolojia haraka.
 
Mmeshindwa kukamata waliompiga risasi ndio mumtibu akiwa huku?. Nyie ni wauaji Hakuna wa kuwaamini, na mtaondoka hivyo hivyo kimya kimya.
Kwa akili yako unadhani bila jitihada kubwa za wale madaktari wetu wa pale Dodoma Government Hospital, angeweza kufika Nairobi Hospital? Si angeishia hapo hapo Dodoma. Kama madaktari wetu waliweza kuokoa maisha yake pale Dodoma, kwa akili yako hao madakari wetu ndiyo wangalishindwa kuweka hiyo misumari, plates na screws kwenye hiyo mfupa yake ya mguu mmoja?
 
Dkt Magufuli na Rais Dkt Samia ni kitu kimoja. Mimi ni chawa wa CCM, chawa wa mwenyekiti wa CCM, chawa wa Rais Dkt Samia. Sema nikujibu hoja yako.
Hoja sina. Hapa nilipo wapenzi wa Magufuli wana hasira sana na mama jinsi anavyopindua legacy. Bila shaka una karama ya pekee kuwaona Magufuli na Samia kitu kimoja. I agree with you, plausibly 🤔.
 
Akiwa 'nyumbani kwake' huko Ubelgiji, makamu wenyekiti wa mitandaoni wa CHADEMA, Mheshimiwa Tundu Lissu ameandika hivi mtandaoni.

Je huku sio kumkosea adabu partner wa CDM kwenye maridhiano ambaye technically ameshika upande wa mpini?

Si amesema hadharani kuwa mchakato unakuja na utakuwa shirikishi? tena ameyasema hayo baada ya maridhiano na chama cha Lissu!

Kwamba Lissu hana uvumilivu au hakubaliani na msimamo wa chama chake ama ni kukosa tu hekima na busara?

Alafu hili la kudai hela zake kila mara hili ni nini hasa? Kwamba ndio sera yake endelevu? Si alisema amelipwa huyu? 🤣🤣🤣

Na hiyo viza ya Ubelgiji inachukuwa miezi mingapi kuihuisha?? Au ndio yaleyale ya akina Liberatus Mwang'ombe ya kurudi wakati wa uchaguzi alafu wakiangukia pua haooo wanakimbilia zao 'makwao' kwa mabeberu?

======

Kupamba mji kwa mabango hakuleti umoja wala kuondoa uhasama. Katiba Mpya, Mfumo Huru wa Uchaguzi, Tume ya Ukweli, Haki & Upatanishi ndio jibu. Ondoa ukimya juu ya waliotaka kuniua & walioua, kupoteza & kutesa Watanzania wengine. Lipa haki zangu & za wengine ndio utuwekee mabango!



Huyu amekuwa mbinafsi tangu mwanzo. Hayo maridhiano anahisi yanamuweka kando. Hivyo atakuwa akiyapinga siku zote.
 
Lissu yuko sahihi kabisa. CCM ikiongozwa na Samia inawapoteza boya Watanzania, Samia anataka uchaguzi ujao uwe mteremko kwake, hivyo anawadanganya kina Mbowe kuhusu maridhiano.

Honest and genuine maridhiano ingeanza na mchakato wa Katiba mpya. Kinyume cha hapo ni uwongo. Wanfanya kumanage opposition ili waweze kufanya mambo yao bila bugdha.

And CCM is very happy.

Let people like Lissu speak out. On this, I strongly support him.
 
..kama Samia ameridhia bango hilo basi atakuwa amekosa busara.


..vilevile atakuwa ni laghai, na mpenda sifa na umaarufu.
Mama hajui misingi ya kuwa na kuitwa Rais,nafasi hii kwakweli tumepigwa,mama hana tofauti na Hamornise kwenye Mabango.
 
Back
Top Bottom