Mi nataka sana nione hizo nchi zikipigana tuone mbabe nani, maana Urusi tushajua hana uwezo, hata Tz twamuweza[emoji849][emoji849][emoji849]jamaa hizo vitu sio za kushabikia especially wawe superpowers
Kweli kichaa hajui kma kashakuwa kichaaMi nataka sana nione hizo nchi zikipigana tuone mbabe nani, maana Urusi tushajua hana uwezo, hata Tz twamuweza
Kichaa ni aliyekuzaa shogaKweli kichaa hajui kma kashakuwa kichaa
Kwann unatamani hiwe hivyo?Natamani sana kuona vita ya Taiwan na China
Au Marekani na Iran
Nataka kuona vitendo na sio story kama za Urusi kuiteka Ukeaine ndani ya masaa 72Kwann unatamani hiwe hivyo?
Basi sawa ila kumbuka vita sio lele mama.Nataka kuona vitendo na sio story kama za Urusi kuiteka Ukeaine ndani ya masaa 72
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haLeo MoD wa Taiwan kaulizwa swali, je wakivamiwa wanaweza jilinda akasema wameshanunua silaha nyingi sana, na kuna nyingine ziko njiani zinakuja.
Akasema kuwa na silaha tu haiwezi kusaidia kama huna watu wanaoitetea nchi yao, akasema wananchi wake wako tayari kwa lolote kutetea nchi na uhuru wao....
Tena zile za kibabe.Hizo zinaitwa Aircraft carriers Marekani anazo 11
Wamerekani wanapenda sana vitaTena zile za kibabe.
Leo ndo umeona hivyo baada ya Ukraine kuwapelekesha?Basi sawa ila kumbuka vita sio lele mama.
Dah!.. Uturuki wanakuja juu sana kwenye hii defense industry miaka ijayo atakuwa military power nini ?Anti-ship warfare ni ngumu zaidi na ya gharama. Meli ina countermeasures nyingi especially hii Anadolu inayoenda kuwa flagship ya Turkish Navy.
Mpaka uweze kuipiga meli inabidi uisogelee. Anadolu ina air defense system itaona ndege zinazosogea kufyatua air launched anti ship missiles. Meli yenyewe inakuwa na ndege zake palepale za kuilinda, hapa tunazungumzia drone carrier ambayo ni kama aircraft carrier ndogo.
Ingekuwa ni true carrier kama za China au Marekani zinazojitosheleza ingeenda na carrier battle group ikisindikizwa na submarine kwa ajili ya submarines za adui, destroyer kwa kupigia meli za adui, ndege za electronic warfare kuzuia mawasiliano ya adui, ndege ya airborne early warning kujulisha movements za silaha za adui, fighters kuzuia ndege za adui, helicopters kama sehemu ya anti-submarine force na za rescue missions, replenishment ship na mengineyo.
Melivita kubwa hazipigwi kirahisi hivyo na hata zikipigwa bado ni muhimu. Ni sawa useme tusipande magari kwa sababu yanapata ajari.
Hata hivyo leo wamefanya kuizindua, inahitaji process nyingine kuwa commissioned na Navy baada ya kupitia ukaguzi na zoezi la miezi kadhaa kupima mifumo yake. Kama NavyView attachment 2584660 itakuta haikidhi inaikataa mpaka kampuni zinahusika pamoja na wizara ya ulinzi ziikamilishe. Na Anadolu imezinduliwa mapema kwa sababu za kisiasa, uchaguzi mkuu unakaribia na Erdogan anataka aitumie kama achievement ila in reality bado kwangu mimi naona inahitaji si chini ya miaka miwili kuwa relevant.
Kingine kuna ndege zinahitajika kutumika hapo ila hazijakamilika. F-35 ilibidi itumike kwake ila Uturuki iliondolewa kwenye programu. Drone yao TB-3 ya Bayraktar iko tiyari nimeona imepokea order kutoka kwa foreign customers mapema sana, labda kutokana na mafanikio ya TB-2. TB-3 ndio nyingi na lengo kuu la hii drone carrier ila bado meli inahitaji ndege za kuilinda
Sasa hapo Kizilelma ndio kwanza sijui imefanya test ya taxiing mwaka huu au jana mwishoni. Bado sana hiyo naamini miaka kama mitatu ijayo itakuwa bado. Ndege nyingine ya Hurjet ni light attack sidhani kama itakuwa ngumu ukizingatia Uturuki wana advanced trainer jet wanaongeza vitu vingine. Ndege za kutua kwenye carrier zina changamoto kidogo, unakuta runway haifiki urefu wa pitch ya mpira.
Classification ya Anadolu ni mpya kwenye majeshi ila Iran inayo meli kama hiyo moja imejaa kutu ilichukua meli kubwa ya kiraia ikakata sehemu yake ikajenga deck. Ukiiona tu unaona imetengenezwa kivyakevyake. Uturuki ndio wametoa class mpya, meli mpya mahususi tangu inaundwa ingawa walibadiki gear angani.
Classification yake kwa majeshi mengine ingekuwa amphibious ship kama Mistral ya Ufaransa mbili ziliuzwa Misri, hii ni helicopter carrier. Japan na South Korea wanazo carriers ndogo na nzuri sana zile nazo zinaingia classification hii.
Hakuna nchi dunia ya leo wanaeza kumpiga mchina ukiona nchi Hadi biological weapons anaoagopeka ni hatari Sana China anaeza pukutisha L.A yote kwa amplified moja ya korona version...Marekani inahamu Sana kuzichapa na china. Naona wanatafuta sababu tu ya kuivaa china. Pengine lengo ni kuishusha kiuchumi. Wataalamu hebu tupieni neno kuhusu hilo nini hasa marekani anakitafuta kwa china?
Pro NATO mmarekani kawaharibu,, eti unatamani kuona vita,, siku ukipigwa tu na hata bomu la machozi au mimaji ya kuwasha nadhani utarudi kufuta coment yako hiiNatamani sana kuona vita ya Taiwan na China
Au Marekani na Iran
Wanataka kuwa imara eneo lako halitaki ukae kizembe. Wapo na Iran pembeni huwa hawapendani, wapo na Greece maadui wa kihistoria na wana strait inayopitisha meli kwenda Russia na Pacific na kurudi Ulaya.Dah!.. Uturuki wanakuja juu sana kwenye hii defense industry miaka ijayo atakuwa military power nini ?
Kwamba China, Marekani wamepotea?Dah!.. Uturuki wanakuja juu sana kwenye hii defense industry miaka ijayo atakuwa military power nini ?
China anaogopeka kwa biological weapon gani mzee. Corona yenyewe ugonjwa wa kitoto huu unakuzwa na media, kwanza umeua Wachina wengi kuliko Wamarekani. Marekani ina stockpile ya bio weapons kwenye labs zao za miongo na miongo iliyopita, Russia ana stockpile ya Cold war enzi za USSR mahabara zimefungwa uko. Virusi kama Botulinum vimegandishwa uko uje uwatishe na ugonjwa unaodhibitiwa kwa tangawiziHakuna nchi dunia ya leo wanaeza kumpiga mchina ukiona nchi Hadi biological weapons anaoagopeka ni hatari Sana China anaeza pukutisha L.A yote kwa amplified moja ya korona version...
Ametupelekesha akina nani kwani mm ni Mrusi au?Leo ndo umeona hivyo baada ya Ukraine kuwapelekesha?