The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Alisikika muuza kahawa kariakooNatamani sana kuona vita ya Taiwan na China
Au Marekani na Iran
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisikika muuza kahawa kariakooNatamani sana kuona vita ya Taiwan na China
Au Marekani na Iran
Ogopa hawa jamaa ni hatari sana!Hii nchi, kiuhalisia, ikoje kijeshi? Maana siielewi elewi.
DogoMi nataka sana nione hizo nchi zikipigana tuone mbabe nani, maana Urusi tushajua hana uwezo, hata Tz twamuweza
Wakati uo anasema hivo juu ya wananchi wake, Rais mstaafu kaenda ziara China, karudi anasema wao Taiwan na China ni kitu kimoja!Leo MoD wa Taiwan kaulizwa swali, je wakivamiwa wanaweza jilinda akasema wameshanunua silaha nyingi sana, na kuna nyingine ziko njiani zinakuja.
Akasema kuwa na silaha tu haiwezi kusaidia kama huna watu wanaoitetea nchi yao, akasema wananchi wake wako tayari kwa lolote kutetea nchi na uhuru wao....
Mbona inatishia kama kupinduka.Kweli itaweza hii.Hata hivyo hongera kwa ubunifu na kujiamini.Inaitwa Anadolu na sio hilo ulilotunga wewe
View attachment 2584635