Je, hii silaha mpya ya Uturuki inakwenda kubadili sheria za mchezo?

Je, hii silaha mpya ya Uturuki inakwenda kubadili sheria za mchezo?

Wanataka kuwa imara eneo lako halitaki ukae kizembe. Wapo na Iran pembeni huwa hawapendani, wapo na Greece maadui wa kihistoria na wana strait inayopitisha meli kwenda Russia na Pacific na kurudi Ulaya.
Mkuu Uturuki na Iran hawajawahi kuwa maadui bali ni washindani tu wa siasa za kikanda.
 
TCG Anatolia, melivita mpya ya Mturuki yenye uwezo wa kubeba helicopter nk imezinduliwa na mbabe wa kivita Erdogan na ameahidi inakwenda kuwapa ufalme wa Black Sea muda si mrefu.

Kwa wenye uelewa zaidi wa hii melivita mpya njooni huku.
Ina kipi kipya na cha mno mwanangu au ni upofu wa mapenzi na ushabiki kibubusa. Yakitajwa mataifa tishio uturuki yako haipo hata kwenye ishirini. Ni ujuzi mdogo na upofu na upogo wa kupenda kupita kiasi
 
Mi nataka sana nione hizo nchi zikipigana tuone mbabe nani, maana Urusi tushajua hana uwezo, hata Tz twamuweza

Hakuna mbabe hapo sana sana itaongeza ugumu wa maisha tu. Vita sio kitu kizuri.
Fikiria vita ya Ukraine hali imekua hivi.
Je vita kati ya Taiwan na China itakuaje?!
Na sisi waswahili bidhaa zetu nyingi tunamtegema Mchina
 
Mkuu Uturuki na Iran hawajawahi kuwa maadui bali ni washindani tu wa siasa za kikanda.
Ottoman empire na Persians wamepigana vita nyingi tu Ottoman–Persian Wars - Wikipedia

Kabla ya hapo, Safavid empire ilipigana na Ottomans pia. Safavid iliizaa Persian empire nayo ikaizaa modern Iran. Ottomans ndio walivunjwa baada ya kuingzwa mkenge na Ujerumani kwenye WW1, Ujerumani ikapigwa wazungu wengine kwenye mkataba wakaivunja Ottoman. Kemal Ataturk akaitangaza Turkey kama Federation
 
Ottoman empire na Persians wamepigana vita nyingi tu Ottoman–Persian Wars - Wikipedia

Kabla ya hapo, Safavid empire ilipigana na Ottomans pia. Safavid iliizaa Persian empire nayo ikaizaa modern Iran. Ottomans ndio walivunjwa baada ya kuingzwa mkenge na Ujerumani kwenye WW1, Ujerumani ikapigwa wazungu wengine kwenye mkataba wakaivunja Ottoman. Kemal Ataturk akaitangaza Turkey kama Federation
Mm naongelea hizi Uturuki na Iran za kisasa hazina uadui sema uhusiano wao uliingia mshikeli mwaka 2011 baada ya Turkey kuwaunga mkono waasi nchini Syria.
 
Leo MoD wa Taiwan kaulizwa swali, je wakivamiwa wanaweza jilinda akasema wameshanunua silaha nyingi sana, na kuna nyingine ziko njiani zinakuja.
Akasema kuwa na silaha tu haiwezi kusaidia kama huna watu wanaoitetea nchi yao, akasema wananchi wake wako tayari kwa lolote kutetea nchi na uhuru wao....
Hakutakuwepo hiyo vita trust me. China wanapambana wale chama cha zaman waingie madarakan ambao kimsingi hawana shida na china moja shida yao ilikuwa ni capitalism na cominisim.
 
Mm naongelea hizi Uturuki na Iran za kisasa hazina uadui sema uhusiano wao uliingia mshikeli mwaka 2011 baada ya Turkey kuwaunga mkono waasi nchini Syria.
Uturuki na Iran hizi unazoona leo hazipendani. Na ndicho nilichoandika tangu mwanzo. Kutopendana sio kumaanisha kuna uadui, wala usijejidanganya ukadhani Iran inafurahia Turkey kupiga hatua kijeshi, vilevile Turkey haifurahii Iran kupiga hatua.

Nakupa mifano. Kwenye mapigano ya Nagorno-Kabarakh mwaka 2020 Uturuki iliipa misaada Azerbaijan, Iran ikaipa msaada Armenia. Uturuki inauza silaha kwa Ukraine, Iran inauza kwa Urusi. Syria kwenye civil war Uturuki ilikuwa inapigana na jeshi la Syria ndani ya Syria kule Kaskazini mwa nchi ambako kuna Wakurdi, Iran ilikuwa inasaidia jeshi la Syria kupigana na waasi na ISIS. Mwanzoni vita inapamba moto Uturuki ilikuwa inanunua mafuta ya ISIS baadae Urusi wakalipua miundombinu ile ya mafuta.
 
Uturuki na Iran hizi unazoona leo hazipendani. Na ndicho nilichoandika tangu mwanzo. Kutopendana sio kumaanisha kuna uadui, wala usijejidanganya ukadhani Iran inafurahia Turkey kupiga hatua kijeshi, vilevile Turkey haifurahii Iran kupiga hatua.

Nakupa mifano. Kwenye mapigano ya Nagorno-Kabarakh mwaka 2020 Uturuki iliipa misaada Azerbaijan, Iran ikaipa msaada Armenia. Uturuki inauza silaha kwa Ukraine, Iran inauza kwa Urusi. Syria kwenye civil war Uturuki ilikuwa inapigana na jeshi la Syria ndani ya Syria kule Kaskazini mwa nchi ambako kuna Wakirudi, Iran ilikuwa inasaidia jeshi la Syria kupigana na waasi na ISIS. Mwanzoni vita inapamba moto Uturuki ilikuwa inanunua mafuta ya ISIS baadae Urusi wakalipua miundombinu ile ya mafuta.
Ndio maana nimekuambia ni washindani wa siasa za kikanda lakini sio maadui.

Marekani na Ulaya ni marafiki wa kufa na kupona lakini sidhani kama Marekani inapenda kuiona Ulaya ikijitegemea hasa katika suala la ulinzi.

Urusi na Belarus ni marafiki wakubwa lakini Urusi haiwezi kufurahia kiona Belarus ikiendelea kijeshi.

China na N.korea ni washirika wakubwa lakini sidhani kama china inafurahia mafanikio ya kijeshi anayo onesha N.korea.
Alafu nikurekebishe kidogo ni kuwa Iran haikujihusisha kabisa na vita vya Azebaijan na Armenia.
 
Ndio maana nimekuambia ni washindani wa siasa za kikanda lakini sio maadui.

Marekani na Ulaya ni marafiki wa kufa na kupona lakini sidhani kama Marekani inapenda kuiona Ulaya ikijitegemea hasa katika suala la ulinzi.

Urusi na Belarus ni marafiki wakubwa lakini Urusi haiwezi kufurahia kiona Belarus ikiendelea kijeshi.

China na N.korea ni washirika wakubwa lakini sidhani kama china inafurahia mafanikio ya kijeshi anayo onesha N.korea.
Alafu nikurekebishe kidogo ni kuwa Iran haikujihusisha kabisa na vita vya Azebaijan na Armenia.
Hakuna sehemu nimesema hao ni maadui, nimesema hawapendani. Wewe umesema "hawajawahi kuwa maadui" hapa
Mkuu Uturuki na Iran hawajawahi kuwa maadui bali ni washindani tu wa siasa za kikanda.
Ndio nikakueleza kama ni uadui basi waliwahi kuwa. Huwezi sema Uturuki na Iran za zamani sio za sasa hivyo wanaishi tofauti wakati mipaka waliyowekeana tangu empires zao ndio hiyo hiyo inatumika.

Hapo kwa North Korea na China nakubaliana na wewe ila Iran kaisaidia Armenia, na Azerbaijan ana msaada mwingine wa Israel kwahiyo hawezi kuwa upande wa Iran. Russia nayo iko upande wa Armenia
 
Ametupelekesha akina nani kwani mm ni Mrusi au?
kwani Urusi amesha shindwa vita mpaka useme anapelekeshwa?
Urusi tutajua ameshindwa vita mpaka pale atakapo kimbia kwa aibu kama Marekani alivyo kimbia Vietnam, Afghanistan na Somalia baada ya kipigo cha mbwa koko.

Au tutajua Urusi amepelekeshwa na kushindwa iwapo ataya tema maeneo aliyo yateka kutoka Ukraine kama Israel ilivyo itema rasi ya Sinai mwaka 1972 baada ya kupokea kipigo kutoka Misri au kama alivyo itema ardhi ya Rebanon baada ya kipigo cha aibu kutoka kwa Hizibullah mwaka 2006

Au ukitaka kujua kuwa vita sio lele mama iulize Israel nn kilicho ikuta baada ya kujaribu kuivamia Gaza mwaka 2014 kwa lengo la kuiangamiza Hamas.

Au ukitaka kujua vita sio lele mama iulize Saudia na vibaraka wake kimewakuta nn baada ya kiwaparamia waasi wa kihuthi.

Ukitaka kujua vita sio lele mama iulize Urusi ilitumia miaka mingapi mpaka kuwashinda waasi wa kichechinia na ililipa gharama kiasi gani.
Urusi atayatema tu hayo maeneo, ni suala la muda.
 
TCG Anatolia, melivita mpya ya Mturuki yenye uwezo wa kubeba helicopter nk imezinduliwa na mbabe wa kivita Erdogan na ameahidi inakwenda kuwapa ufalme wa Black Sea muda si mrefu.

Kwa wenye uelewa zaidi wa hii melivita mpya njooni huku.
Meri za kivita hasa hizo za kubeba Ndege ni kwa ajili ya kudili na wanamgambo ila sio kwenye vita kubwa, Marekani alisha wahi sema Iitokea Vita kubwa cha kwansa watakacho ulizana ni je Meli zao za Kubeba Ndege ziko wapi?
 
Kwa mikombora ya Urusi hiyo mimeli ni kama majeneza yanayotembea.... Kinzhal imemfanya mpaka Rais Macron wa Ufaransa kuona muda umefika Kwa Ulaya kujitenga na unafiki unaosambazwa na Marekani.
 
Back
Top Bottom