Je, hii silaha mpya ya Uturuki inakwenda kubadili sheria za mchezo?

Mi nataka sana nione hizo nchi zikipigana tuone mbabe nani, maana Urusi tushajua hana uwezo, hata Tz twamuweza
Dogo

Dogo

Dogo

Tema mate chini

Ni mwiko kuiongelea tz mambo ya mkosi km hayo

 
Wakati uo anasema hivo juu ya wananchi wake, Rais mstaafu kaenda ziara China, karudi anasema wao Taiwan na China ni kitu kimoja!

Wanasiasa hawa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…