Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa hatafutwi mvuvi, bali atakayekutwa na samakiKukutwa na samaki haina maana wewe ni mvuvi.
Wengine wanachanganya kwenye chakula cha kukuanaweza kunywa ili kuzuia maambukizi! sio lazma awe ameambukizwa
ni kweliWengine wanachanganya kwenye chakula cha kuku
Shukrani ila iyo ulionyesha ni vidogo na vipo ktk pakti,iyo ni donge kubwa LA75
kuzuia maambukizi ni vidonge vingapi?anaweza kunywa ili kuzuia maambukizi! sio lazma awe ameambukizwa
mwezi mzima kila sku kimojakuzuia maambukizi ni vidonge vingapi?
Hahaha hakuna bana yupo jamaa angu mi ningeenda direct kupima,alafu sinaga kawaida ya kusearch mikoba ya wanawakeMkuu hiyo ishu imekukuta wewe,
Usijifiche wala kuona aibu. Hizo mbaazi wengi tunakula.
Nasisitiza matumizi ya neno labdaLabda ni homa ya ini jamani.
PEP ndiyo hizohizo ARV au?mwezi mzima kila sku kimoja
Yes, hizo ni Lamuvidine kwaajili ya waathirika wa HIV, lakini muhimu ni KUTOKUWA na wasiwasi kwasababu kama kweli huyo anayetumia anafuata dose kadri inavyotakiwa uwezekano wa kuambukiza ni mdogo sana.Wakuu nimeshindwa kuropoka jibu kwa huyu jamaa yangu, katika pekua pekua katika vitu vya mpenzi wake akakutana na vidonge vyeupe vibukwa kwa jina la LA75,
Alivikuta vitano ktk gazeti vimefungwa kanitumia picha nikaseez kidogo sijampa jibu kamili nimemuacha dilema.
Swali nililomuuliza aliona vikopo akajibu hapana, nipeni jibu sahihi na ushauri nimjibuje maana alivyomuuliza mchumba wake huyo alimjibu ni vya tumbo 😎ðŸ˜
View attachment 2167046
Hujui matumizi ya GoogleWakuu nimeshindwa kuropoka jibu kwa huyu jamaa yangu, katika pekua pekua katika vitu vya mpenzi wake akakutana na vidonge vyeupe vibukwa kwa jina la LA75,
Alivikuta vitano ktk gazeti vimefungwa kanitumia picha nikaseez kidogo sijampa jibu kamili nimemuacha dilema.
Swali nililomuuliza aliona vikopo akajibu hapana, nipeni jibu sahihi na ushauri nimjibuje maana alivyomuuliza mchumba wake huyo alimjibu ni vya tumbo 😎ðŸ˜
View attachment 2167046
Ndio mkuu pep ndo izo izo ARV sema unatumia kwa mwezi mmoja then unaenda kupima na unaendelea na utaratibu utakao pewaPEP ndiyo hizohizo ARV au?