Je, hizi ni ARV's? Vimekutwa kwa begi la mwanamke

Je, hizi ni ARV's? Vimekutwa kwa begi la mwanamke

Tayari kamanda yuko gridini
Bado elimu haijafika vizuri watu wakaelewa...

Huwa elimu ya matumizi ya ARV bado jamii nyingi hawana taarifa nazo..

Mtu akiwa anatumia ARV.. Ipasavyo hawezi kuambukiza ugonjwa kwa mtu mwingine... Chances are very minimal
Matumizi ya ARV ni :

I) Kupunguza makali ya ugonjwa kwa mhusika

II) Kupunguza au kuzuia maambukizi mapya kwa mtu mwingine

III) Hutumika kama profilaxis ( kuzuia maambukizi kwa mtu aliyejichoma sindano au kubakwa na mtu unayehisi sio salama)

IV) Kwa mama mjamzito akitumia huondoa uwezekano kwa maambukizi kwa mtoto atakaye zaliwa
 
Bado elimu haijafika vizuri watu wakaelewa...
Huwa elimu ya matumizi ya ARV bado jamii nyingi hawana taarifa nazo..
Mtu akiwa anatumia ARV.. Ipasavyo hawezi kuambukiza ugonjwa kwa mtu mwingine... Chances are very minimal
Matumizi ya ARV ni :
I) Kupunguza makali ya ugonjwa kwa mhusika
II) Kupunguza au kuzuia maambukizi mapya kwa mtu mwingine
III) Hutumika kama profilaxis ( kuzuia maambukizi kwa mtu aliyejichoma sindano au kubakwa na mtu unayehisi sio salama)
IV) Kwa mama mjamzito akitumia huondoa uwezekano kwa maambukizi kwa mtoto atakaye zaliwa
Ndiyo Ukweli Wenyewe
 
Ina maana unaweza meza ARVs kuzuia maambukizi kweli!!?mpya HII sijawahi sikia hiyo!!
Huduma hiyo ipo mkuu.

Sifa ya kwanza unapimwa ukutwe ni HIV negative, kama upo mikoa ya (dar na mbeya) fika kituo cha afya ama hospital yoyote watakupa abc za huduma hiyo,

Kwa ufupi ni huduma ya kupunguza maambukizi mapya hivyo kwa awali imewalenga, dada poa, mashoga, wajindunga madawa ya kulevya, wanandoa wenye majibu kinzani, wanaohamahama kutafuta fursa za maisha nk.

Na wao wanatakiwa kunywa kila siku mpaka atakapoona yupo nje ya kuweza kupata maambukizi anaruhusiwa kuacha.
 
.now nimepata picha kwasabbu demu wa mwana ni wakuruka ruka sana,there is 80% kwa ili,nitakacho mshauri mwana ni akaipime nae akigoma akapime mwenyewe
Tutaomba mrejesho pls ili nasi tupate kujifunza
 
Wakuu nimeshindwa kuropoka jibu kwa huyu jamaa yangu, katika pekua pekua katika vitu vya mpenzi wake akakutana na vidonge vyeupe vibukwa kwa jina la LA75,

Alivikuta vitano ktk gazeti vimefungwa kanitumia picha nikaseez kidogo sijampa jibu kamili nimemuacha dilema.

Swali nililomuuliza aliona vikopo akajibu hapana, nipeni jibu sahihi na ushauri nimjibuje maana alivyomuuliza mchumba wake huyo alimjibu ni vya tumbo [emoji41][emoji24]

View attachment 2167046
Dawa za vidonge vyenye muundo wa sura ya jeneza huwa ni viagra bila kujali rangi gani ingawa mara nyingi huwa ni vya bluu kama uchumi wa Zanzbar!

Arvs hazina sura yenye mfumo maalumu, kila toleo na sura yake.

Hata hivyo kama ni vya "ngoma" basi waathirika wa maambukizi wanaotumia dawa, waje watuthibitishie bila kuona hiyana wala aibu!
 
Wakuu nimeshindwa kuropoka jibu kwa huyu jamaa yangu, katika pekua pekua katika vitu vya mpenzi wake akakutana na vidonge vyeupe vibukwa kwa jina la LA75,

Alivikuta vitano ktk gazeti vimefungwa kanitumia picha nikaseez kidogo sijampa jibu kamili nimemuacha dilema.

Swali nililomuuliza aliona vikopo akajibu hapana, nipeni jibu sahihi na ushauri nimjibuje maana alivyomuuliza mchumba wake huyo alimjibu ni vya tumbo [emoji41][emoji24]

View attachment 2167046
Kwahiyo jamaa kakutana na Ak47 bila kujua? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom