The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
No, PEP co ARV.PEP ndiyo hizohizo ARV au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No, PEP co ARV.PEP ndiyo hizohizo ARV au?
Wacha kupotosha mkuu.Ndio mkuu pep ndo izo izo ARV sema unatumia kwa mwezi mmoja then unaenda kupima na unaendelea na utaratibu utakao pewa
Hivi Huwa zinawasaidia Nini kuku,Wengine wanachanganya kwenye chakula cha kuku
Lazima aiseeTupime...
Kit zinauzwa pharmacy...Lazima aisee
Ndo mpango...maana wazazi wanatupenda wanategemea tuwalee then ghafla tuwape jukumu la kutuvisha pampers siye.Jitunze kamandaKit zinauzwa pharmacy...
Baada ya kupima ni mpimano...Ndo mpango...maana wazazi wanatupenda wanategemea tuwalee then ghafla tuwape jukumu la kutuvisha pampers siye.Jitunze kamanda
Siyo wa nchi hiiBaada ya kupima ni mpimano...
Mwendo wa deep stick...Siyo wa nchi hii
Pep ni nn sasa Kama sio izo?Wacha kupotosha mkuu.
Ha ahahahha we jamaa nimecheka mno! Kamanda kaishaTayari kamanda yuko gridini
Pep ni post-exposure prophylaxis, ni dawa anayopewa mtu anayehisi kuambukizwa virusi vya ukimwi, vinapaswa vitumike kabla ya masaa 72 kupita ndipo vinafanya kazi.Pep ni nn sasa Kama sio izo?
Upo sahihi kabisa, sasa ni dawa gan izo?Pep ni post-exposure prophylaxis, ni dawa anayopewa mtu anayehisi kuambukizwa virusi vya ukimwi, vinapaswa vitumike kabla ya masaa 72 kupita ndipo vinafanya kazi.
Kukutwa na samaki haina maana wewe ni mvuvi.
AstaghafillullahIvyo ni vyenyewe mkuu, kama alikuta vitano na havipo kwenye vikopo vyake (hua zinatolewa vya miezi 3 au 6 na huwekwa kwenye vile vikopo ili kutunza ubora)kuna mambo kadhaa apo
1. Either alipima akakuta yupo positive ila akachagua kituo tofauti na alichopimia kuchukua dawa kwahyo wakampa za kuanzia.
2. Ni mtumiaji wa mda kwahyo ARV zilimwishia labda akiwa mbali akapita kituo chochote cha karibu wakampa za kusogeza siku hadi arudi anapochukuliaga
3. Kawa exposed to HIV labda weekend na alipoenda kuchukua hosptl wamempa chache maana CTC nyingi hua weekend hazifanyi kazi kwahyo wamempa izo chache ili asubiri siku za week apewe full dose ya siku 30.
Ila kwa kuhitimisha ndo zenyewe kwahyo akae na huyo mpenz wake amwelekeze vizuri ikiwezekana nae akapime pia.
Siyo demu wa mwana, NI WEWE!.now nimepata picha kwasabbu demu wa mwana ni wakuruka ruka sana,there is 80% kwa ili,nitakacho mshauri mwana ni akaipime nae akigoma akapime mwenyewe
Genye mbaya sana.Wakuu nimeshindwa kuropoka jibu kwa huyu jamaa yangu, katika pekua pekua katika vitu vya mpenzi wake akakutana na vidonge vyeupe vibukwa kwa jina la LA75,
Alivikuta vitano ktk gazeti vimefungwa kanitumia picha nikaseez kidogo sijampa jibu kamili nimemuacha dilema.
Swali nililomuuliza aliona vikopo akajibu hapana, nipeni jibu sahihi na ushauri nimjibuje maana alivyomuuliza mchumba wake huyo alimjibu ni vya tumbo 😎😭
View attachment 2167046