Je, hizi ni ARV's? Vimekutwa kwa begi la mwanamke

Je, hizi ni ARV's? Vimekutwa kwa begi la mwanamke

Google anasema hivi:-
People also ask

What is la75?

Latilin 75 MG Tablet is an antidepressant medicine. It is used in the treatment of depression and other conditions such as nerve pain and migraine. It works by increasing the levels of chemical substances in your brain and improving your mood.28 Sept 2021
Mkuu kwenye guideline ya treatment kwa Tanzania kua sehemu latilin 75 mg inatumika kama ant depression au ushawahi kuona popote ivyo vidonge au unafata Google tuu?
 
Wakuu nimeshindwa kuropoka jibu kwa huyu jamaa yangu, katika pekua pekua katika vitu vya mpenzi wake akakutana na vidonge vyeupe vibukwa kwa jina la LA75,

Alivikuta vitano ktk gazeti vimefungwa kanitumia picha nikaseez kidogo sijampa jibu kamili nimemuacha dilema.

Swali nililomuuliza aliona vikopo akajibu hapana, nipeni jibu sahihi na ushauri nimjibuje maana alivyomuuliza mchumba wake huyo alimjibu ni vya tumbo [emoji41][emoji24]

View attachment 2167046
What are LA 75 tablets for?

Lamivudine oral tablet is used to treat HIV infection and hepatitis B (HBV) infection.
 
Wakuu nimeshindwa kuropoka jibu kwa huyu jamaa yangu, katika pekua pekua katika vitu vya mpenzi wake akakutana na vidonge vyeupe vibukwa kwa jina la LA75,

Alivikuta vitano ktk gazeti vimefungwa kanitumia picha nikaseez kidogo sijampa jibu kamili nimemuacha dilema.

Swali nililomuuliza aliona vikopo akajibu hapana, nipeni jibu sahihi na ushauri nimjibuje maana alivyomuuliza mchumba wake huyo alimjibu ni vya tumbo 😎😭

View attachment 2167046
Tumia busara na hekima katika kutoa majibu,punguza makali ya maneno umwambiapo.........huenda ukasababisha idadi ya vifo visivyotegemewa nchini
 
Hiyo namba mbili ni uongo PEP full dose ni siku 30
Kuna PrEP ya kujikinga na maambukizi nayo unatumia mda wako wote uwapo mazingira hatarishi ya kupata maambukizi ya ukimwi nafuu yake unaweza kuacha kunywa pale utakapoona umeondoka kwenye mazingira ya kukuwezesha kupata ukimwi
 
Back
Top Bottom