Mkuu jaribu kidgo kutofautisha lamivudine 75mg (LA75) na iyo latilin 75mg ni vitu viwili tofauti kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu jaribu kidgo kutofautisha lamivudine 75mg (LA75) na iyo latilin 75mg ni vitu viwili tofauti kabisa
Hiyo namba mbili ni uongo PEP full dose ni siku 301.ni ARV hivo mwanamke ana umeme
2.ni ARV ila kwa ajili ya kukinga maambukizi
Mkuu kwenye guideline ya treatment kwa Tanzania kua sehemu latilin 75 mg inatumika kama ant depression au ushawahi kuona popote ivyo vidonge au unafata Google tuu?Google anasema hivi:-
People also ask
What is la75?
Latilin 75 MG Tablet is an antidepressant medicine. It is used in the treatment of depression and other conditions such as nerve pain and migraine. It works by increasing the levels of chemical substances in your brain and improving your mood.28 Sept 2021
What are LA 75 tablets for?Wakuu nimeshindwa kuropoka jibu kwa huyu jamaa yangu, katika pekua pekua katika vitu vya mpenzi wake akakutana na vidonge vyeupe vibukwa kwa jina la LA75,
Alivikuta vitano ktk gazeti vimefungwa kanitumia picha nikaseez kidogo sijampa jibu kamili nimemuacha dilema.
Swali nililomuuliza aliona vikopo akajibu hapana, nipeni jibu sahihi na ushauri nimjibuje maana alivyomuuliza mchumba wake huyo alimjibu ni vya tumbo [emoji41][emoji24]
View attachment 2167046
Google wanasema hivi:-Kwani Google wanasema je?
Tumia busara na hekima katika kutoa majibu,punguza makali ya maneno umwambiapo.........huenda ukasababisha idadi ya vifo visivyotegemewa nchiniWakuu nimeshindwa kuropoka jibu kwa huyu jamaa yangu, katika pekua pekua katika vitu vya mpenzi wake akakutana na vidonge vyeupe vibukwa kwa jina la LA75,
Alivikuta vitano ktk gazeti vimefungwa kanitumia picha nikaseez kidogo sijampa jibu kamili nimemuacha dilema.
Swali nililomuuliza aliona vikopo akajibu hapana, nipeni jibu sahihi na ushauri nimjibuje maana alivyomuuliza mchumba wake huyo alimjibu ni vya tumbo 😎😭
View attachment 2167046
Wanasema Tuloweke Tu Maana Kufa Kupo Pale PaleKwani Google wanasema je?
Kuna PrEP ya kujikinga na maambukizi nayo unatumia mda wako wote uwapo mazingira hatarishi ya kupata maambukizi ya ukimwi nafuu yake unaweza kuacha kunywa pale utakapoona umeondoka kwenye mazingira ya kukuwezesha kupata ukimwiHiyo namba mbili ni uongo PEP full dose ni siku 30
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kukutwa na samaki haina maana wewe ni mvuvi.
Kweli kabisa ukipiga kavu demu mwenye ngoma asiyetumia dawa huchomoki yaani.Afadhali ugonge demu mwenye ngoma anayetumia arv kuliko mwenye ngoma asiyetumia arv
Yaani ni balaa lakn haiepukiki hamuwez Pima kila sikuSiku hizi ukimwi upo njenje na watu hawasemi.Tuwe tunapimana jamen
Mbona siku hizi watu wenye VVU wanaolewa vizuri tu na jamaa wanapuliza kama kawaida na wanazaa, na majamaa ukiyapima unayakuta Negative kabisa🤣🤣Sasa mbona una lia wewe badala ya jamaa ako..si useme tu ni wewe ndo ume kuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Njo tupimane kwanza 😎Siku hizi ukimwi upo njenje na watu hawasemi.Tuwe tunapimana jamen