Je, huyu Rais wetu wa sasa ni Vasco Da Gama mwingine? Ziara za nje zimekuwa nyingi sana kama enzi za Awamu ya Nne

Kukopa ni akili ya kimasikini sana.
Unakopaje sasa wakati raslimali tele.
Hii "mindset" ya kukopa kama taifa ni kwa wenye ufinyu wa mawazo na akili za kimasikini pamoja na wale wavivu wa kujishughulisha kijumla.

Wale wa kule tulioungana nao tunajua kabisa kuwa vichwani ndio hivyo tena na kujishughulisha ndio kabisaa sio sehemu ya maisha yao. Wao ni wapenda mteremko tu.

Rasilimali zote hizi bado twakopakopa tuu as if hiyo mikopo imewahi saidia nchi yoyote ya ulimwengu wa tatu kuendelea.
 
Kutengeneza "longterm plan na leadership ambayo haitategemea aina ya rais" inataka kuwekwa kwenye katiba. Ndio maana tunasema katiba mpya ni muhimu sana sana kama kweli tunataka tutoke kwenye taifa masikini ombaomba la hovyo.
 
Maji yanayopotea baada ya mvua kunyesha mikoani,kama yangevunwa na kuhifadhiwa na kutumika kwenye kilimo cha umwagiliaji,hakika kusingekuwa na uhaba wa ajira.

Tengeneza mabwawa,hifadhi maji,tengeneza schemes za umwagiliaji,ingiza nchini zana za kisasa za kilimo,wakopeshe vijana walipe miaka 5 mpaka 10 kwa riba ndogo,wezesha watanzania waongeze samani hayo mazao kwa kuyachakata hapahapa na kuyapack vyema na hatimaye kuyauza huko nnje yakiwa yatari.

Kama ambavyo ndugu Chige aliwahi andika kuhusu "multiplier effects" za kwenye LNG, ndivyo ilivyo pia kwenye kilimo.
 
Ukishakuwa mtumwa huwezi kutoka, utaendelea tu kuwa mtumwa. Waacheni watoto wa watumwa waendelee kuwa watumwa kama wazazi wao.
 
Good question
 
Jiwe alifanya nn zaidi kuigawa nchi vipande vipande na kupandikiza ukabila?

Mbona nchi bado ni maskini pamoja na kwamba alikuwa hasafiri?
 
Kweli una wazimu
 
Pia imeenda matumboni mwa wale wala urefu wa kamba zao
 
Mwacheni asafiri kwani Kuna vujipesa huwa vinapatikana huko.
 
Wafute kwanza hiyo kasi yao ya ugaidi wa michongo ili wawekezaji waje kuwekeza wakiwa na amani ya moyo,na uhakika wa usalama wa uwekezaji wao.
Uamsho walipokuwa na kesi kama hiyo mbona hatukuona kuwa ni kikwazo kwa wawekezaji?
 
Unataka aishi kama mnyama? Kama alivyokua dikteta uchwara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…