Je, ikitokea Hayati Magufuli kafufuka nini kitatokea?


Kwani nchi ilikuwa mali yake? Akifufuka atakaa Kwa kutulia, vinginevyo atatakiwa kuonyesha watu alioagiza wauwawe.
 
Hivi Mkuu huwezi kutoa maoni yako bila kuhusisha kabila fulani? Mimi siyo Sukuma Gang wala sijawahi kuwa mfuasi wa hilo kundi wala Jiwe Mwenyewe.

Uzi huu ni mahususi kwa wale wenye kutumia bongo zao vizuri ktk kufikiri.
 
Wewe utaliwa tigo
 
Jiwe ninani kwani nchi hii mwenye alikuwa Julius Kambarage Nyerere sio huyo mpuuzi wako !!! Bora ungesema Nyerere by the way mama anafanya vema kwenye serikali hayo ya uchawa ni Yao wenyewe ccm
 
Kesho anafufuka pale airport ya kijijini kwake ngoja tuone itakuwaje, usikose kufika mapema tushuhudie mkuu wa malaika akiibuka
 
Inategemea itatokea kafufukaje maana anaweza kufufuka kama Msukule, ikawa badala ya yeye kuwashangaa wao, CCM wakamshangaa yeye [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Anyways usiwaze sana, kufufuka sio rahisi alishafungiwa yupo motoni saizi wanachoma mahindi na ibilisi

Alipofika tu day 1 alikutana na faili la Ben Sanane limekamilika upelelezi fasta tu akanyoa Nyundo za kutosha japo bado anahudhuria mahakamani daily kwa sababua mafaili mengine bado yanatajwa upelelezi haujakamilika
 


Akifufuka atakuwa ZOMBIE MAGUFULI KAMA HAPA CHINI



 
Kesha ondoka unataka atawale hata akiwa kaburini
 
1.Samia na kikwete watakimbilia uarabuni kutafuta hifadhi..

2. Nape na Makamba watakufa Kwa pressure.

3 Mwigulu atachanganyikiwa
 
Hawezi kufufuka
 
Bora vipaumbele vya Taifa kuwa UCHAWA kuliko vipaumbele vya Taifa kuwa ni KUUA WATU WENYE MITAZAMO TOFAUTI NA YA KWAKE.
 
[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…