Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mfumo wa mahakama zetu bado ni chengamoto sanaKuna uwezekano mkubwa Moses Lijenje alikamatwa na pengine alipelekwa selo za Polisi zisizojulikana pengine na kupewa majina mengine ili asijulikane kama ilivyokuwa kwa akina Adamoo!
Kwa kuwa pia hawakuwa wakiandikishwa wakati wakiingizwa lock-up, mfano pale TAZARA, je kuna uwezekano kwa ushahidi kama huo kesi ikafunguliwa na Ndugu wa Lijenje au hata rafiki kuwataka Polisi kutoa maelezo alipo huyu Kommandooo? Ni hayo tu!
Marehemu Lejenje ana ndugu wa HOVYO SANA, haiwezekani muda wote huo mtu haonekani wao WAMEUFYATA tu. Pumbavu.
Tehe tehe tehe!..usiwe na haraka kuhukumu.
..huenda familia haina uwezo ni masikini.
Ndugu wanahaki ya kujua mwanafamilia mwenzao alipo. Polisi wanafanya ubabe huu kwa sababu hakuna wa kuwauliza, wanatreat watu kama wafungwa wa GUANTANAMO BAYPolisi wameshakwambia hawana mtu kama huyo na bado anatafutwa, kama wewe unamtambua yuko rumande mahala fulani basi uwe ndiye mlalamikaji na dhamira yako uiweke wazi usije ukajuta baadae kwa kushabikia usichokijua!!!!
Yaani LISURA HILO!Ndugu zangu ni mapolisi, naomba Mungu wasifikie hatua za akina [emoji116]View attachment 2035571
AMEEEENIWatu wote walioshiriki kuua watu ili kumfurahisha Magu, Mungu awalaani wao na vizazi vyao vyote. Siku zote damu ya waliowaua iwaandame na wasipate pumziko hapa duniani. Wawe ni watu wa tabu na misukosuko daima!
Ongezea na Aziz, hawa jamaa watakufa vifo vibaya mno.lazima kingai jumanne mahita godluck nawengine akina siro wafikishwe mahakamani
huyu mama pendo hawa kina Goodluck watakuwa wamemuacha salama kweli ? 🤣🤣Atakuwa may be yupo mambele anakula good time afta kuuza mechi pale RAU KWA MAMA PENDO MUUZA gembe
Ulisele vitisho visivyo na mashiko. Kama haiwezekani useme na uweke vigezo vya kisheria kwa nini haiwezekani na ndio majubu atakayo huyu Bwana sio vitisho.Polisi wameshakwambia hawana mtu kama huyo na bado anatafutwa, kama wewe unamtambua yuko rumande mahala fulani basi uwe ndiye mlalamikaji na dhamira yako uiweke wazi usije ukajuta baadae kwa kushabikia usichokijua!!!!
Kuna jitu liko motoni hivi sasaUkiua wenzio kwa mateso makali, nawe lazima ufe kwa mateso makali
Huyu akifa atakuwa kuni za kuwachomea wenzakeNdugu zangu ni mapolisi, naomba Mungu wasifikie hatua za akina [emoji116]View attachment 2035571
Tena Sana tu.Mwangwi wa hii kesi utakuwa mkubwa sana
Viumbe kama wewe mlitakiwa muishie kwenye kondom na kutupwa kwenye shimo la choo.. kwenye ulinwengu wa watu waliostaarabika wewe ni MJAALAANA waawahii!!…!Polisi wameshakwambia hawana mtu kama huyo na bado anatafutwa, kama wewe unamtambua yuko rumande mahala fulani basi uwe ndiye mlalamikaji na dhamira yako uiweke wazi usije ukajuta baadae kwa kushabikia usichokijua!!!!
SureInawezekana, either IGP au RPC wa mkoa husika watakuwa responsible.