Je, inawezekana Jakaya Kikwete ndiye Nyerere wa leo?

Je, inawezekana Jakaya Kikwete ndiye Nyerere wa leo?

Sijajaribu kbs wa equate wazee wangu hawa wawili yawezekana ni watu wenye mitazamo miwili tofauti wakishabihiana kwenye maeneo machache sana nilichokitazama hapo ni legacy na nguvu ya ushawishi pamoja na ku-master political game yao kwa namna ya kipekee na kwa muda mrefu.
Angekuwa kama Nyerere, basi asingeruhusu yule mwendawazimu wa Chato ANAJISI Ikulu yetu. Huo mtihani wa kwanza anapata ZERO kwa kumfanya Magufuli mgombea kisha Rais wa Tanzania
 
Wakuu kwanza nianze kwa kujihami mimi ni layman kwenye upande wa political science! Pia si mkereketwa kbs wa siasa lakini kwa kuwa maisha ya binadamu wa leo ni ngumu sana kuyatenga na politics by default najikuta tu niko uwanjani.

Nimejaribu kufuatilia safari ya maisha ya JK ya kisiasa influence yake ndani na nje ya nchi, namna viongozi wanavyokimbilia kwake kuomba ushauri, inanipa nafasi ya kufikiri kwa uchache wake.

Je, inawezekana yeye ndo Nyerere wa Tanzania ya leo?! (Remote from Msoga).
Hapana, haiwezwkani. Jakaya yupo juu sana ya Nyerere kiuongozi.

Magu ndiye unaweza kumfananisha na Nyerere, wote hao walikuwa hawaambiliki, wakurupukaji na walitumia nguvu nyingi kuliko akili katika uongozi.
 
Hapana, haiwezwkani. Jakaya yupo juu sana ya Nyerere kiuongozi.

Magu ndiye unaweza kumfananisha na Nyerere, wote hao walikuwa hawaambiliki, wakurupukaji na walitumia nguvu nyingi kuliko akili katika uongozi.

Aisee kumbe wanaokuitaga wewe ni mahamuma kikongwe mzee wanakutambua vyema! Nami leo naungana nao rasimi! Yaani sijui unachuki gani na ukristo wewe bibi?
 
Aisee kumbe wanaokuitaga wewe ni mahamuma kikongwe mzee wanakutambua vyema! Nami leo naungana nao rasimi! Yaani sijui unachuki gani na ukristo wewe bibi?
Wapi nimetaja ukristo au unajistukia?

"Ad Hominem" ni ujinga wa hali ya juu kwenye mada kama hii.

Shambulia hoja achana na mleta hoja.
 
Wakuu kwanza nianze kwa kujihami mimi ni layman kwenye upande wa political science! Pia si mkereketwa kbs wa siasa lakini kwa kuwa maisha ya binadamu wa leo ni ngumu sana kuyatenga na politics by default najikuta tu niko uwanjani.

Nimejaribu kufuatilia safari ya maisha ya JK ya kisiasa influence yake ndani na nje ya nchi, namna viongozi wanavyokimbilia kwake kuomba ushauri, inanipa nafasi ya kufikiri kwa uchache wake.

Je, inawezekana yeye ndo Nyerere wa Tanzania ya leo?! (Remote from Msoga).
Wote wawili wana kitu kimoja "in common" nacho si kingine zaidi yakuweza kujenga "political hegemony" zao zilizoweza kuwapa ushawishi mkubwa wa siasa za kitaifa na kimataifa hata katika kipindi kirefu baada ya wao kutoka madarakani.

Mwl. Nyerere alikuwa mwana majinuni maarufu na "typical socialist" kwa mawazo, maneno, matendo na pale alipotimiza wajibu wake kama kiongozi wa umma. Hakuwa na tamaa ya kujilimbikizia mali ama serikali yake kuadamwa na kashfa kubwa za rushwa, ama hata kutiliwa mashaka katika suala zima la maadili ya umma ama uadilifu wake. Na alitawala nchi katika kipindi cha utawala wa chama kimoja.

Upande wa Kikwete nafikiri kwa jinsi anavyoongelewa na "social media" atakuwa ni kipenzi cha sera za kibepari. Mengine kuhusu haiba na hulka yake unaweza kujazia wewe mwenyewe. Yeye ametawala katika kipindi cha utawala wa vyama vingi.
 
Wote wawili wana kitu kimoja "in common" nacho si kingine zaidi yakuweza kujenga "political hegemony" zao zilizoweza kuwapa ushawishi mkubwa wa siasa za kitaifa na kimataifa hata katika kipindi kirefu baada ya wao kutoka madarakani.

Mwl. Nyerere alikuwa mwana majinuni maarufu na "typical socialist" kwa mawazo, maneno, matendo na pale alipotimiza wajibu wake kama kiongozi wa umma. Hakuwa na tamaa ya kujilimbikizia mali ama serikali yake kuadamwa na kashfa kubwa za rushwa, ama hata kutiliwa mashaka katika suala zima la maadili ya umma ama uadilifu wake. Na alitawala nchi katika kipindi cha utawala wa chama kimoja.

Upande wa Kikwete nafikiri kwa jinsi anavyoongelewa na "social media" atakuwa ni kipenzi cha sera za kibepari. Mengine kuhusu haiba na hulka yake unaweza kujazia wewe mwenyewe. Yeye ametawala katika kipindi cha utawala wa vyama vingi.
Nashukuru 🙏🏿.
 
Mmoja ni mwanamajumui wa kiafrika na mwingine ana sera za kiliberali.

Mmoja akiamini bila Afrika kukombolewa basi hakuna uhuru wa kweli na mwingine anaamini Tanzania kwanza.
 
Wakuu kwanza nianze kwa kujihami mimi ni layman kwenye upande wa political science! Pia si mkereketwa kbs wa siasa lakini kwa kuwa maisha ya binadamu wa leo ni ngumu sana kuyatenga na politics by default najikuta tu niko uwanjani.

Nimejaribu kufuatilia safari ya maisha ya JK ya kisiasa influence yake ndani na nje ya nchi, namna viongozi wanavyokimbilia kwake kuomba ushauri, inanipa nafasi ya kufikiri kwa uchache wake.

Je, inawezekana yeye ndo Nyerere wa Tanzania ya leo?! (Remote from Msoga).

Elimu, Elimu elimu,
 
Nyerere ana kipi Cha maana zaidi ya kusifiwa na wakatoliki wenzie Kwa sababu wajuazo wao!!

nyerere amedhilumu majumba ya watu tanzania nzima na kukabidhi NHC watu wamkufa kwa presha za nyumba zao vijawanja vya waislamu vimechukuliwa bado akaunda bakwata kuuwa uislamu leo hii anateswa kaburini yeye na farauni hukumu yao moja, bora ya makufuli kamzidi nyerere mara 100
 
Back
Top Bottom