Je, inawezekana Jakaya Kikwete ndiye Nyerere wa leo?

Je, inawezekana Jakaya Kikwete ndiye Nyerere wa leo?

Hata Wazanzibari wanataka kujitawala, mbona tunawabania?

Double standard?
Kwa hiyo umehama kutoka west africa mpaka Tanzania?
Okay ni asilimia ngapi ya Wazanzibari wanaotaka kujitenga?
Ifanyike referundum ikiwa Unguja peke yake, Pemba peke yake na Tumbatu peke yake?
Ikiwa watataka kujitenga na sio undumu la kuwili wanaweza?

ila kwa sasa Muungano unawanufahisha Wazanzibari kuliko Watanganyika.
 
Wakuu kwanza nianze kwa kujihami mimi ni layman kwenye upande wa political science! Pia si mkereketwa kbs wa siasa lakini kwa kuwa maisha ya binadamu wa leo ni ngumu sana kuyatenga na politics by default najikuta tu niko uwanjani.

Nimejaribu kufuatilia safari ya maisha ya JK ya kisiasa influence yake ndani na nje ya nchi, namna viongozi wanavyokimbilia kwake kuomba ushauri, inanipa nafasi ya kufikiri kwa uchache wake.

Je, inawezekana yeye ndo Nyerere wa Tanzania ya leo?! (Remote from Msoga).
Usimfananishe Nyerere na vitu vya ajabu ajabu
 
Ukiwapanga marais wanne bora kidemokrasia nchini
Namba 1 ni JKN
2. Mzee Ruksah
3. Ni JMK
4. Samia (huyu mpaka amalize kipindi chake akiendelea hiv, akawapuuza wahafidhina) kuna uwezekano akawa namba 2)
5. Mkapa
6. Hakuna
Mimi napinga namba Moja kuwa baba haambiliki.
 
Mimi napinga namba Moja kuwa baba haambiliki.
Kwa nyakati zake ilikuwa lazima sometimes awe kichwa ngumu. Nchi ilikuwa na wajinga wengi na kwa bahati mbaya hao hao wajingo ndo ndo walikuwa pia walalahoi. JKN alikuwa dikteta kwa kias fulan kwa kulazimishwa na mazingira na nyakati, huwez kulinganisha na udikteta wa yule mchungi wa ng'ombe
 
Kwa nyakati zake ilikuwa lazima sometimes awe kichwa ngumu. Nchi ilikuwa na wajinga wengi na kwa bahati mbaya hao hao wajingo ndo ndo walikuwa pia walalahoi. JKN alikuwa dikteta kwa kias fulan kwa kulazimishwa na mazingira na nyakati, huwez kulinganisha na udikteta wa yule mchungi wa ng'ombe
Unadhani Watanzania ni wajinga kumwita baba haambiliki?

Aliharibu uchumi wa wananchi kwa kuwahamishia kwenye vijiji ya ujamaa vya mfano.

Watanzania wenye asili ya Tz hawakuruhusiwa kufanya biashara binafsi kila kitu duka la ushirika ila watu kutoka Asia waliachiwa matokeo yake Sasa wamekamata njia kuu zote za kiuchumi.

Kuna aina nyingi ya ulafi kwa baba haambiliki yeye ilikuwa power na sio Mali yaani ukionekana unakitaka kile kiti ujue kitakupata Cha mtema kuni mfano kamuulize Kambona.

Nchi kutokuwa na vipaumbele binafsi na kuamini kwenye umajumui wa Afrika hivyo kama Taifa kupoteza rasilimali muhimu ikiwemo fedha, watu na hakuna Cha maana tulichopata.

Unadhani kwa nini alikoswa kupinduliwa kama mara tatu, hii ya mwisho na kina bibi titi, captain maganga na kina Hans pope?

Kifupi nchi ilivurugwa kwa muda wake wote wa miaka 24 aliyokaa madarakani.

Hivyo maraisi wangu bora kiuchumi na kidemokrasia ni;
1.Benjamin William Mkapa
2.Jakaya Mrisho Kikwete

N.B Sasa Kuna wajinga wengi kuliko zamani
 
Acha dharau unawezaje kumfananisha Nyerere na kikwete

Nyerere alikuwa mbali Sana kuliko akina kikwete ,na maraisi wengine kiufupi sioni wa kufananisha na Nyerere
 
Wana hasira na mchungi wa mifugo kuingia patakatifuni magogoni
Vita vya uchumi ni vigumu jamani ona Magufuli kuwatumbua vyeti feki, wakwepa kodi, wadhulumaji, mafisadi, wezi, walamba asali, majizi, wauza madawa ya kulevya,wanamchukia hawariziki kuamini amekufa bado wanapambana nae huku wakijificha kwenye kichaka cha udikteta,watu wametekwa,watu wameuawa,sijui kapora democrasia lakini yote ukifatilia kiini ni kuwatumbua vyeti feki, wakwepa kodi, wadhulumaji, mafisadi
 
Unadhani Watanzania ni wajinga kumwita baba haambiliki?

Aliharibu uchumi wa wananchi kwa kuwahamishia kwenye vijiji ya ujamaa vya mfano.

Watanzania wenye asili ya Tz hawakuruhusiwa kufanya biashara binafsi kila kitu duka la ushirika ila watu kutoka Asia waliachiwa matokeo yake Sasa wamekamata njia kuu zote za kiuchumi.

Kuna aina nyingi ya ulafi kwa baba haambiliki yeye ilikuwa power na sio Mali yaani ukionekana unakitaka kile kiti ujue kitakupata Cha mtema kuni mfano kamuulize Kambona.

Nchi kutokuwa na vipaumbele binafsi na kuamini kwenye umajumui wa Afrika hivyo kama Taifa kupoteza rasilimali muhimu ikiwemo fedha, watu na hakuna Cha maana tulichopata.

Unadhani kwa nini alikoswa kupinduliwa kama mara tatu, hii ya mwisho na kina bibi titi, captain maganga na kina Hans pope?

Kifupi nchi ilivurugwa kwa muda wake wote wa miaka 24 aliyokaa madarakani.

Hivyo maraisi wangu bora kiuchumi na kidemokrasia ni;
1.Benjamin William Mkapa
2.Jakaya Mrisho Kikwete

N.B Sasa Kuna wajinga wengi kuliko zamani
Ndo maana nikakuambia alilazimishwa na mazingira. Vinginevyo zingatia Lengo kuu la diktata wengi huwa ni kujinufaisha binafsi yeye na watu wake wa karibu wanaotii na kushadidia udikteta wake, nambie JKN alijinufaisha vip na udiktata wake?

Mkapa labda kias flan kiuchumi lakn kidemokrasia hamkaribii JMK. Mzee Kikwete ni baba wa demikrasia wa Taifa hili, jana leo na kesho...labda Mama akijitahidi kujitenga na magenge ya wahafidhina anaweza kumpiku JMK huko mbeleni lakin kwa sasa JMK hana ulingansho kidemokrasia na kiuchumi pia.
 
Wakuu kwanza nianze kwa kujihami mimi ni layman kwenye upande wa political science! Pia si mkereketwa kbs wa siasa lakini kwa kuwa maisha ya binadamu wa leo ni ngumu sana kuyatenga na politics by default najikuta tu niko uwanjani.

Nimejaribu kufuatilia safari ya maisha ya JK ya kisiasa influence yake ndani na nje ya nchi, namna viongozi wanavyokimbilia kwake kuomba ushauri, inanipa nafasi ya kufikiri kwa uchache wake.

Je, inawezekana yeye ndo Nyerere wa Tanzania ya leo?! (Remote from Msoga).
Kumlinganieha Jakaya na Nyerere nahisi ni kuto msoma vizur Nyerere na kujia itikadi yake ile ilikuwa ni hipi hasa!
 
Kwa maana ya kuwa kuwafananisha kwa uGodfather yes, JK ndio Godfather wa siasa zetu sio tu Bongo bali Afrika Mashariki yote wanajua hili kama ambavyo alikuwa Nyerere enzi za SADCC. Mtu mrefu pale hii legacy ya JK inamuuma sana, anatamani angekuwa yeye, sema ndio hivyo haaminiki.
 
Ndo maana nikakuambia alilazimishwa na mazingira. Vinginevyo zingatia Lengo kuu la diktata wengi huwa ni kujinufaisha binafsi yeye na watu wake wa karibu wanaotii na kushadidia udikteta wake, nambie JKN alijinufaisha vip na udiktata wake?

Mkapa labda kias flan kiuchumi lakn kidemokrasia hamkaribii JMK. Mzee Kikwete ni baba wa demikrasia wa Taifa hili, jana leo na kesho...labda Mama akijitahidi kujitenga na magenge ya wahafidhina anaweza kumpiku JMK huko mbeleni lakin kwa sasa JMK hana ulingansho kidemokrasia na kiuchumi pia.
Hivi unajua sio kila dikteta ni mpenda Mali?
Vladimir Lenin alikuwa dikteta, je alipenda Mali?
Vipi Stalin alikuwa mfujaji wa Mali?

Mazingira gani yaliyomlazimisha wakati nchi alipewa bila kumwaga damu?

Kikwete kwa nini unadhani ndio baba wa demokrasia?
Wakati kipindi chake tu Dr ulimboka alitekwa, Mwandishi wa habari aliuwawa na maoni ya katiba ya Warioba yalivurugwa na hayakupita?

Anakuwaje baba wa demokrasia wakati watu mbalimbali wakifungwa kisa siasa.

Mfumuko wa bei ulikuwa uncontrollable?
 
Back
Top Bottom