KIXI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 1,955
- 2,465
Babu yako kipindi nyerere anapigania nchi alikuwa wapi wewe zwazwaMeli ya serikali iliyouzwa kipindi chake siyo ufisadi?.
Halafu kumpa sifa mtu aliyeshindwa kukuza uchumi wa watu kati ya milioni 9 na 15,ni upuuzi ukimlinganisha na aliyekuza uchumi wa watu kati ya milioni 40 na 50.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app