Je, inawezekana Jakaya Kikwete ndiye Nyerere wa leo?

Babu yako kipindi nyerere anapigania nchi alikuwa wapi wewe zwazwa
 
Hakuna kitu kama hicho
 
Acha kumlinganisha Nyerere na vitu vya kipuuzi
 
Hata huo muda wa kuandika kejeli zako ukiwa huru na amani tele chumbani kwako ni matunda ya Julius. Aliiunganisha nchi na kujenge msingi tunaouishi hata sasa.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Watanganyika walikua wamoja tangu kabla ya Nyerere kufundisha pugu,ndiyo maana alipoingia siasa, waswahili wa dar walimpa nyumba magomeni Aishi Bure huku wakiilea familia yake,Kama unazungumzia muungano basi zbar na Tanganyika walikua wamoja, ndiyo maana mzee mwinyi alihamia zbar akiwa na wazazi akiwa na umri wa miaka mitano,uhuru ni kazi ya waswahili wa pwani
 
Jk ana kipi cha maana zaidi ya kusifiwa na nyinyi wavaa makobadhi?
Alijenga barabara za lami 6000km wakati awamu tatu za mwanzo hazikujenga zaidi ya 4000km,alijenga shule za kata ili watu wasome wakati awamu zilizopita zilirithi shule za mkoloni na hazikujenga sekondari hata moja,alifungua fursa za elimu ya juu nchi ikawa inatoa wahitimu mpaka 50k wakati kabla ilikua 10k,aliongea zaidi ya $30d kwenye GDP ya nchi,aliajiri,Jenga hospitali kubwa na kuboresha,aliinua kilimo nk
 
Hata mimi nakubali kuwa JK alifanya makubwa mengi wakati wake. Lakini naomba usi discount yaliyofanywa na watangulizi wake ukadhani ni madogo.

Kazi ya BW Mkapa peke yake ni kubwa pengine kuliko marais wote waliomfuata yaani JK, JPM na Samia. Ila inabidi uwe mbobezi kwenye uchumi na analysis katika issues.

Misingi yote ya uchumi tulionao leo iliwekwa na BWM, hawa wengine wanapita tu kusafiria nyota yake
 
Unalinganisha Nyerere na JK wewe kweli barvicha

USSR
Nyerere huyu aliekuwa anaambiwa na Kenyatta anaongoza Maiti??? Walikuwa na kipindi Kenya kama kile cha klab la leo walikuwa wakiuliza masuali ni nchi gani wanavaa mipira ya gari kama viatu??? Jibu Tanzaniaaaa Heeeee wanashangilia walitudharau sana wakenya kipindi cha babayenu wa Taifa.
 
Yaani wewe unafikiri tuko zama za giza unamdanganya nani ni shule zipi Tanzania ambazo Waislam walijenga kabla ya uhuru?
 
Yaani wewe unafikiri tuko zama za giza unamdanganya nani ni shule zipi Tanzania ambazo Waislam walijenga kabla ya uhuru?
Shule ya msingi lumumba pale karibu na magazeti ya ccm, Kinondoni muslim, kibohehe sec kule moshi.
Yaani kwa ufupi ni nyingi sana.
Wewe soma kitabu cha UNTOLD STORY OF MUSLIM STRUGGLE AGAINST BRITISH COLONIALISM IN TANGANYIKA by MOHAMED SAID kisha ukimaliza urudi hapa kutema pivu lako tuone.
Ukiongeza na kusoma kitabu cha mkatoliki Dr John Sivalon aliykuwa padre utambua kuwa waislamu waliminywa tena maksudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…