Babu yako kipindi nyerere anapigania nchi alikuwa wapi wewe zwazwaMeli ya serikali iliyouzwa kipindi chake siyo ufisadi?.
Halafu kumpa sifa mtu aliyeshindwa kukuza uchumi wa watu kati ya milioni 9 na 15,ni upuuzi ukimlinganisha na aliyekuza uchumi wa watu kati ya milioni 40 na 50.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Jk ana kipi cha maana zaidi ya kusifiwa na nyinyi wavaa makobadhi?Nyerere ana kipi Cha maana zaidi ya kusifiwa na wakatoliki wenzie Kwa sababu wajuazo wao!!
Hata huo muda wa kuandika kejeli zako ukiwa huru na amani tele chumbani kwako ni matunda ya Julius. Aliiunganisha nchi na kujenge msingi tunaouishi hata sasa.Nyerere ana kipi Cha maana zaidi ya kusifiwa na wakatoliki wenzie Kwa sababu wajuazo wao!!
Unamjua mzee Mwamindi?.Ndiyo babu alikuwa anapiga mishe hizo za pesa, wakati huyo teacher anajikomba kwa watoto wa mjini.Babu yako kipindi nyerere anapigania nchi alikuwa wapi wewe zwazwa
Hakuna kitu kama hichoKwenda kinyume ni presha za wahisani zinazokuwa ni sababu tusizozifahamu za nyuma ya pazia.
Kwenda kinyume pengine ni ile roho ya wasaidizi wa marais wanaotaka kutajirika wakijua kuwa kipindi cha kupata neema ni ile miaka kumi ya kuwa pamoja na rais.
Kuongoza nchi sio kazi ya rais peke yake, anakuwa na timu nzima ya wasaidizi nyuma yake.
Acha kumlinganisha Nyerere na vitu vya kipuuziWakuu kwanza nianze kwa kujihami mimi ni layman kwenye upande wa political science! Pia si mkereketwa kbs wa siasa lakini kwa kuwa maisha ya binadamu wa leo ni ngumu sana kuyatenga na politics by default najikuta tu niko uwanjani.
Nimejaribu kufuatilia safari ya maisha ya JK ya kisiasa influence yake ndani na nje ya nchi, namna viongozi wanavyokimbilia kwake kuomba ushauri, inanipa nafasi ya kufikiri kwa uchache wake.
Je, inawezekana yeye ndo Nyerere wa Tanzania ya leo?! (Remote from Msoga).
Watanganyika walikua wamoja tangu kabla ya Nyerere kufundisha pugu,ndiyo maana alipoingia siasa, waswahili wa dar walimpa nyumba magomeni Aishi Bure huku wakiilea familia yake,Kama unazungumzia muungano basi zbar na Tanganyika walikua wamoja, ndiyo maana mzee mwinyi alihamia zbar akiwa na wazazi akiwa na umri wa miaka mitano,uhuru ni kazi ya waswahili wa pwaniHata huo muda wa kuandika kejeli zako ukiwa huru na amani tele chumbani kwako ni matunda ya Julius. Aliiunganisha nchi na kujenge msingi tunaouishi hata sasa.
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Pia Nyerere hakuwa mwizi na mtu wa upendeleoAngekuwa kama Nyerere, basi asingeruhusu yule mwendawazimu wa Chato ANAJISI Ikulu yetu. Huo mtihani wa kwanza anapata ZERO kwa kumfanya Magufuli mgombea kisha Rais wa Tanzania
Alijenga barabara za lami 6000km wakati awamu tatu za mwanzo hazikujenga zaidi ya 4000km,alijenga shule za kata ili watu wasome wakati awamu zilizopita zilirithi shule za mkoloni na hazikujenga sekondari hata moja,alifungua fursa za elimu ya juu nchi ikawa inatoa wahitimu mpaka 50k wakati kabla ilikua 10k,aliongea zaidi ya $30d kwenye GDP ya nchi,aliajiri,Jenga hospitali kubwa na kuboresha,aliinua kilimo nkJk ana kipi cha maana zaidi ya kusifiwa na nyinyi wavaa makobadhi?
Hata mimi nakubali kuwa JK alifanya makubwa mengi wakati wake. Lakini naomba usi discount yaliyofanywa na watangulizi wake ukadhani ni madogo.Alijenga barabara za lami 6000km wakati awamu tatu za mwanzo hazikujenga zaidi ya 4000km,alijenga shule za kata ili watu wasome wakati awamu zilizopita zilirithi shule za mkoloni na hazikujenga sekondari hata moja,alifungua fursa za elimu ya juu nchi ikawa inatoa wahitimu mpaka 50k wakati kabla ilikua 10k,aliongea zaidi ya $30d kwenye GDP ya nchi,aliajiri,Jenga hospitali kubwa na kuboresha,aliinua kilimo nk
Simjui huyo zwazwaUnamjua mzee Mwamindi?.Ndiyo babu alikuwa anapiga mishe hizo za pesa, wakati huyo teacher anajikomba kwa watoto wa mjini.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Duh! Ukafiri utakuua.Alitakiwa awaangamize wote hao wabaguzj
Acha udini kama Nyerere. Kuwa na fikira nzuri.Ni bora kwa sababu ni muislamu mwenzio
Maoni yako yanaruhusiwa siku zote.Hakuna kitu kama hicho
Nyerere huyu aliekuwa anaambiwa na Kenyatta anaongoza Maiti??? Walikuwa na kipindi Kenya kama kile cha klab la leo walikuwa wakiuliza masuali ni nchi gani wanavaa mipira ya gari kama viatu??? Jibu Tanzaniaaaa Heeeee wanashangilia walitudharau sana wakenya kipindi cha babayenu wa Taifa.Unalinganisha Nyerere na JK wewe kweli barvicha
USSR
Yaani wewe unafikiri tuko zama za giza unamdanganya nani ni shule zipi Tanzania ambazo Waislam walijenga kabla ya uhuru?Soma reference zenye akili kisha ndo uje kuandika. Wajerumani walipofika tanganyika walikuta wasomi wakiwa waislamu ambao waliandika kila kitu kwa hati ya kiarabu.
Taasisi ya EAST AFRICA MUSLIM WELFARE SOCIETY iliyojenga mashule kibao Tanganyika kwa ajili ya waislamu Nyerere aliipiga ban mwaka 1968.
Kama ni mtu wa usawa kwa nini hakupiga marufuku mashirika ya kikristo yaliyomiliki shule mbalimbali ili kufanya usawa?
Sasa nakusaidia. Kasome Kitabu cha Padre Dr John Sivalon na Kitabu cha Mohamed Said humo utapata kumjua Nyerere ni nani hasa na utaacha porojo zako ulizodesa kutoka magazeti ya uhuru na mzalendo. Utaelewa kwa nini wakati wa kuandika historia ya Tanganyika na uhuru wake walipewa hiyo kazi watu 2 :
1. Dr Wilbert Kleruu
2. Abdulwaheed Sykes
Baadaye Abdulwaheed akaondolewa na akaandika Dr Kleruu peke yake.
SOMA KIJANA ACHA POVU.
Aisee kama mimi ni kimeo basi wewe ni kilaza au the best kimeo.Duh! Katika vimeo you take a lead.
Shule ya msingi lumumba pale karibu na magazeti ya ccm, Kinondoni muslim, kibohehe sec kule moshi.Yaani wewe unafikiri tuko zama za giza unamdanganya nani ni shule zipi Tanzania ambazo Waislam walijenga kabla ya uhuru?