Je, inawezekana kila kitu ni mpango wa Mungu?

Kuna matendo ya mazingirà ambayo huwezi kuzuia hill Ni mojawapo
Free will ni hadithi tu, watu waliousoma ubongo unavyofanya kazi na wanafalsafa washaandika sana kuhusu hii habari.

Tataizo hatufuatilii haya mambo.

Sasa hapa naweza kutoa link ya article inayoelezea hili, kwa Kingereza, halafu watu ninaobishana naowengi Kiingereza cha manati au hata kama wanajua kusoma kituo cha polisi.

Nam challenge mtu anayetaka kubishana kimantiki kuhusu article hii ya Scientific American kuhusu freewill.

Linkhiyo hapo chini.

c hearly

Is Free Will an Illusion?
 
Dah! Sasa mkuu hujui vilivyomo kwenye dunia hii hujui viliko toka, pia wewe mwenyewe hujui ulipo toka!! Eti! Unataka kujua Mungu kama yupo, vitu vidogo tu hivi vina kuchemsha vikubwa utaviwezea wapi!!?
 
hahaha anshindwa kujiuliza mswali madogo kama hayo "" ama hakika sijui ana matatizo gani ""!?
Ni kutoweza kufikiri nje ya box alilolelewandani yake tangu mtoto.

Wakati wenzake tushaanza kutokanje ya spacetime dimensions box hilolililomo na kuanza kupiga hesabu za string theory kutumia Calabi-Yau manifold kwa Kaluza-Klein topology!
 
Wewe huwezi kuandika ya kwako?
 
Dah! Sasa mkuu hujui vilivyomo kwenye dunia hii hujui viliko toka, pia wewe mwenyewe hujui ulipo toka!! Eti! Unataka kujua Mungu kama yupo, vitu vidogo tu hivi vina kuchemsha vikubwa utaviwezea wapi!!?
Mtu yeyote kutokujua jibu la swali lolote analoweza kujiuliza au kuulizwa ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendowote hayupo.

Angekuwepo, asingekuwa mkatili hivyo wa kumpa mtu swali ambalo jibu lake hana.

Angempa kila mtu majibu ya maswali yote anayoweza kujiuliza.

Mtu kuweza kupata swali ambalohana jibu, ni ishara kwamba Mungu huyo hayupo.

Si ishara kwamba Mungu huyo yupo.Kwa sababu Mungu huyo wa upendo hana asili ya uchoyo awanyime viumbe wake majibu ya maswali yao.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo? Hujathibitisha.
 
Mushi92 ....majibu ya swali lako nadhani uneshayapata ....""


asante mkuu cc. Kiranga
 
duuuuhhh"" hahahaaa "" uwongo mwingine bwana ""... eti kageuzwa ng'ombe "" .... mbona kule sumbawanga kuna story za watu kibao kujigeuza simba"",, je unawazungumziaje na hao "" watakuwa na nasaba ya u mungu ""!?
Mkuu wewe bado uko "gizani" mno.... anyways, wacha nikuache na hilo giza lako, labda ipo siku utautafuta "mwanga" na siku ukiutafuta hakika utauona.
 

Kafiri mkuu hiki ni cheo nilicho kupa! Hapa kidogo umechemka, kutokujua jibu la swali haimaanishi kuwa jibu lake halipo.
Wakatimwengine hoja zako hua naziogopa hata kuzisom.
 
Kafiri mkuu hiki ni cheo nilicho kupa! Hapa kidogo umechemka, kutokujua jibu la swali haimaanishi kuwa jibu lake halipo.
Wakatimwengine hoja zako hua naziogopa hata kuzisom.

Mtu mmoja kumuita mwingine kafiri pia ni ishara Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendowote hayupo.

Angekuwepo, angeumba duniayenye upendo tu na hakuna kiumbe wake anayeweza kumuita mwingine kafiri kwa dharau.

Zaidi.

Hata hoja niliyoieleza hujaielewa.

Siajandika kwamba kutokujua jibu la swali inamaanisha jibu lake halipo.

Unachopinga si nilichoandika, na nilichoandika hujakielewa.

Hebu rudia kusoma.
 
Kukwita Kafiri sio dharau, KAFIRI maana yake ni mpigaji/mkanushaji. Nilivyokuelewa wewe unapinga/kanusha uwwpp wa Mungu.
 
Ni thibitishe vipi wakati Mungu upo nae hapo ulipo!!?
 
Sasa tatizo lipo wapi mtu kusema anachokiamini ni kweli?
Kama anaweza kuthibitisha, hakuna tatizo.

Kamahawezi kuthibitisha,tatizoni "false advertisement".

Nisawa na mtu kukuuzia muhogo, halafu anakwambia huu muhogo ni dawa ya UKIMWI.

Lazima athibitishe. Asipoweza kuthibitisha anakuwa tapeli anayeweza kuhatarisha maisha ya watu. Kuna watu watapata matumaini feki kwamba muhogo dawa ya UKIMWI na kufanya ngonozembe wakijua muhogoutawaponya, halafu wakafa kwa vile muhogo hauponyi UKIMWI.

Thibitisha muhogounaosema unaponya UKIMWI unaponya UKIMWI kweli.

Kama hujathibitisha, unafanya "false advertisement".

Thibitisha Mungu yupo kweli.

Kama hujathibitisha, na unasemayupokweli, unafanya "false advertisement".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…