Ukhanisi ndio hautibiki, lakini tatizo la nguvu za kiume linatibika.
Hata wanawake wengi wana tatizo la nguvu za like ila wengi hawalijuhi hilo.
Siyo Mara zote kumridhisha mwanamke ni tatizo la nguvu za kiume Bali ni tatizo la nguvu za like.
Wanawake wanaokazwa na majini mahaba ni tatizo sana, mpaka upambane kwanza kulitowa jini mahaba ndio mtaelewana.
Wengi mnaishi duniani kama vipofu hata kinachoendelea kwenye maisha yenu hamuelewi.