Je, inawezekana matumizi ya aina fulani ya pedi yakabadili 'flow' ya damu ya hedhi?

ila hii ni pantliner .hizi zina madhara sio za hq tu
 
Mtoa mada uko tayari kuwa sampuli ya majaribio(case study)?

Sikatae maoni yako lakini kibiashara sio sawa, inachukua muda mrefu sana na gharama kubwa mtu/mfanyabiashara/mvumbuzi kukitengeneza kitu chake mpaka kikakubalika sokoni.

Vyakula/dawa na vitu vyote vinavohusiana na afya ya binadamu vinapitia hatua mbalimbali kabla havijapitishwa na mamlaka husika, hivo hivo kwa padi za HC.

Hatukatai kuna madhara ambayo hayakutegemewa au hayakuonekana wakati wa majaribio hivo hayana budi kutolewa taarifa wakati wa matumizi kama hilo la kwako kama ni kweli linaletwa na pedi za HC.

Kuhusu tatizo lako ni vema uwaone madakitari wa kina mama watakufanyia uchunguzi na kuangalia historia ya maisha yako,vitu kama aina ya pedi unazotumia ni baathi ya maswali yatakayomsaidia mtoa afya.

Kutokana na hayo mimi nafikiri sio sawa wala uungwana kuhitimisha moja kwa moja na kushauri wanawake wenzako wasitishe matumizi ya pedi za HC. Ni bora malalamiko yako ukayapeleka kwa wasambazaji anuani yao ipo kwenye hizo pedi,nafikiri ni mgulani, itakusaidia wewe wao na watumiaji wote wa HC
 
Mmmmmm maana tokea nimeanza kutumia HC nikitumia mbadala naumwa tumbo ila nahilo swala la kiwango cha dam kupungua pia nimekiona japo sikuwazA kama ni tatizo
 
HC japo inashida hio uliosema ila ni ped ambazo kwangu hua sikosi kuwanazo.
 
kuna always moja ile ambayo pink yake imekolea sana inawasha balaa sijui ni ya nchi gani kuna siku nilivua chupi barabarani
[emoji39] [emoji39]

sent from my samsung galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
 
Kweli kabisa muhenga. Mi nazipenda balaa
 
Hizo za ndani kwa ndani zikoje jamani??? Damu inaenda wapi sasa???


Damu inajilundika ukienda kuitoa unafanya kama unaenda haja kubwa kwa kuisuma inatoka mfululizo! sio nzuri kabisa sijui kwanini wanawake wanazipenda
 
Kiukweli pad zinategemea na mtu na mtu kuhusu always, freestyle rose sijui HC au HQ kwa wengine ni pad nzuri na haiwezi kukuaibisha kirahisi...
 
Hahahahaha, ndugu yangu twende pm

kudu ukudulie umande, mvua haina ukuduzi
Ungeweka hapa basi tuelimike wote..mie najitahidi sana kubadili pad ila huwa zinanichubua sijui kwa nini.natafuta mbadala wake

love thé love or hâte thé love.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…