Je, inawezekana Waziri pale Uingereza kusafiri na timu ya mpira kama Man UTD au Man City au ni hapa kwetu tu?

Only in Tanzania.
 
Mbona Rais wa Ufaransa alikuwepo siku timu ya nchi yake inacheza au ulisafiri
 
Hamasa haichezi soka, vilabu vilipotea sababu hakukua na uwekezaji kwenye soka.

Hamasa hata ufanye mwaka mzima 24/7 Kama huna timu bora ni kazi bure.
 
Wazir aende apate exposure kunashida Gai wakati ndege imelipiwa
Mawaziri ambao hawasafiri na timu ina maana hawana exposure? Mfano waziri wa Algeria ambae hakusafiri na timu kuja huku bongo, yeye Hana exposure?
 
unamwonaje kwanza

Umbile lake nikimtazama naona Kama limemnyima uwezo wa kung'amua mambo
 
We unaongea nini wewe dogo, kweli yaani hizo club ulizozitaja unaweza kuzilinganisha na club za Bongo hata Al Ahly na bajeti yake kubwa haiingii hata robo kwenye hizo timu
Jibu hoja lini serikali ya UK au popote ulaya imetoa ndege kuzipeleka timu zao zilizofainali?

Kwani Yanga Ni mara ya kwnza kucheza nje ya tanzania?

Je mara zote walikwenda vipi huko nje bila msaada wa serikali,,

JE NI LINI SERIKALI ZA ULAYA ZIMETOA $8000 kwa kila Goli linalofungwa na timu zao zinazoshiriki Mashindano mbali mbali?

jibu na Hilo.
 
Serikali inapaswa itoe Motisha kwa timu ya taifa na sio timu moja moja,,

Kuna kipindi timu fulani ya Tanzania ilishindwa kwenda kushiriki Mashindano ya kimataifa nje ya inchi sababu ya ukata.


Serikali ilikuwa wapi?kutoa ndege?
 
Kumbuka hiyo ni hela yetu yaani kodi. Ujinga wetu ndiyo silaha yao.
 
Ni bongo tu na ni upumbavu uliovuka viwango.

Hauwezi kukuta huu upumbavu sehem yoyote zaidi ya hapa matakoni mwa dunia
 
Serikali inapaswa itoe Motisha kwa timu ya taifa na sio timu moja moja,,

Kuna kipindi timu fulani ya Tanzania ilishindwa kwenda kushiriki Mashindano ya kimataifa nje ya inchi sababu ya ukata.


Serikali ilikuwa wapi?kutoa ndege?
Boraa umeulizwa hili swalii zuri sanaaa
 
Hao mashabiki walioenda ni amshaamsha au ndiyo mashabiki VIP?
 
Tatizo ni ushamba na kingine wanasiasa wa bongo wanajifanya wajanja sana eti wanajua hiyo ndiyo namna ya kucheza na akili za watu ili waonekane wanawajali sana wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…