Je, inawezekana Waziri pale Uingereza kusafiri na timu ya mpira kama Man UTD au Man City au ni hapa kwetu tu?

Je, inawezekana Waziri pale Uingereza kusafiri na timu ya mpira kama Man UTD au Man City au ni hapa kwetu tu?

Kwani huo alioufata waziri wetu Algeria siyo mchezo?

Wewe haupo dunia hii, waziri wa michezo wa Uingereza alikwenda Qatar kushabikia na kujaribu kuueneza ushoga, wakakapiga pini, hawakumpiga picha official, waliompiga picha na kuzisambaza ni mashoga wenzake tu.

Tafadhali usimfananishe waziri wetu na like shoga la Kingereza
Bibi umevurugwaa wee, sio buree khaaah
 
Imenishangaza sana kuona waziri mzima wa michezo badala ya kuwa bize kushughulikia sera ili ziinue michezo kuhakikisha taifa letu linag'ara kimichezo badala yake anazurula na ndege hadi Algeria.

Nadhani tuna tatizo kubwa sana linalopelekea tuwe na safari ndefu la kuinua michezo kama watungaji na wasimamizi wa sera ndio Hawa!!!
Kwahiyo Macron Rais wa France alivyoenda Qatar kuona fainal ya France vs Argentina nayo ulikuwa ni utoto?
 
Mtoa post una kitu cha msingi naomba asipuuzwe..

Ongezea na serikali ya UK lini ilitoa ndege kuipeleka LIVERPOOL,AU MANCHESTER UNITED,AU MAN CITY,AU CHELSEA,AU ARSENAL kwenda kwenye fainali yeyote?
We unaongea nini wewe dogo, kweli yaani hizo club ulizozitaja unaweza kuzilinganisha na club za Bongo hata Al Ahly na bajeti yake kubwa haiingii hata robo kwenye hizo timu
 
Image iliyobebwa na city ni sawa na Yanga, una ubongo kweli we jamaa??

Timu za England zimechukua UEFA mara ngapi, UEROPA mara ngapi, ubingwa wa dunia mara ngapi??

Haya hizo timu za bongo zimefanya nini kimataifa??
Unafananisha yanga na man u????
Kwa akili yako Kuna mahali nimeandika yanga na man u zinafana a?
 
Imenishangaza sana kuona waziri mzima wa michezo badala ya kuwa bize kushughulikia sera ili ziinue michezo kuhakikisha taifa letu linag'ara kimichezo badala yake anazurula na ndege hadi Algeria.

Nadhani tuna tatizo kubwa sana linalopelekea tuwe na safari ndefu la kuinua michezo kama watungaji na wasimamizi wa sera ndio Hawa!!!
Miafrika sie ni wapumbaf kabisa. Jamaa hakukosea kusema kuwa waafrica wapo m.kunduni mwa dunia
 
Kwani wachezaji wa National team wanaocheza kwenye timu zao za Taifa na kisha kucheza WC wanatoka hewani ?
Vilabu ni biashara binafsi tofautisha na timu ya taifa huyu waziri anatafuta umaarufu tu kama angekuwa na nia njema angeanza kuhamasisha hizi timu ambazo hazina funbase kama geita gold etc
 
Tofauti ni kwamba bongo hawana majumu mazito
Hawana majukumu mazito na nchi bado masikinišŸ˜†
Meaning ni tatizo la watanzania wote tunashindwa kusimamia majukumu ya viongozi kwakushindwa kuwawajibisha pale wanapopenda na matakwa ya wananchi.
Poor my country😫
 
Imenishangaza sana kuona waziri mzima wa michezo badala ya kuwa bize kushughulikia sera ili ziinue michezo kuhakikisha taifa letu linag'ara kimichezo badala yake anazurula na ndege hadi Algeria.

Nadhani tuna tatizo kubwa sana linalopelekea tuwe na safari ndefu la kuinua michezo kama watungaji na wasimamizi wa sera ndio Hawa!!!
Hizo nafasi wanazopewa baadhi ya mawaziri ni kama zawadi
 
Kwani huo alioufata waziri wetu Algeria siyo mchezo?

Wewe haupo dunia hii, waziri wa michezo wa Uingereza alikwenda Qatar kushabikia na kujaribu kuueneza ushoga, wakampiga pini, hawakumpiga picha official, waliompiga picha na kuzisambaza ni mashoga wenzake tu.

Tafadhali usimfananishe waziri wetu na like shoga la Kingereza
Kwa mawazo kama haya nadhani alhaj mwinyi hakukosea kwamba Tanzania kwenye soka ni kichwa cha mwendawazimu waziri hawezi kuimarisha michezo kwa kuzurura na team kwa kisingizio kwamba anawaongezea hamasa waziri anatakiwa apambane kukarabati sera ili zilete tija. Sio kurukia rukia tu kwenye mafanikio ya watu
 
Ulipo zaliwa tu ulikua Yanga, baadae kwa kufanya matumizi mabaya ya akili ndiyo ukahamia huko kwingine
Hakuna kitu kama hicho Kila mtu anazaliwa akiwa mwanamsimbazi ndo maana ukijichana ni pure red means ni Simba fan mnajizima data.
 
Back
Top Bottom