Iran ana jeshi kubwa sana ,yaani idadi ya wanajeshi, lakini kwa suala la air supremacy Israel wako vizuri kwa sababu alichonacho USA ujue hicho ni cha Israel, hizo ndege za F-35A Israel anazo ambazo Iran hana uwezo wa kuzuia ndege hizo, pale Syria zipo S400 za Russia kwanini ndege za Israel zinaingia na kutoka bila kunasa? Pia hakuna namna ya kuishinda taifa lenye nyuklia, wana slogan yao ya Samson Option ambayo wanasema endapo kuna kitisho cha kufuta taifa la kiyahudi pale middle East Israel iko tayari kufyatua makombora ya nyuklia na kumuangamiza adui kabla hajawaangamizwa. Pia kutokana na kila nchi ya kiarabu na Ulaya kubwa na wayahudi, hao nao wako kazini, unashangaa kuona wanajeshi wa kiyahudi waliko maarifa ya ulaya na America, Africa, Austlaria, nchi za kiarabu ikitokea vita huwa wanaenda kwa ajili ya kupigana upande wa Israel, hawa wana utaalam mbalimbali wa kijeshi tofauti na Iran. Tunakumbuka kile kisa cha mwanajeshi wa Iraq alivyotoroka na ndege ya jeshi la Iraq na kuipeleka Israel , hiyo ndege ilikuwa made on Rusia . Kitu kingine ni vyepesi kupata watu wa Iran ambao wanaweza kusaliti nchi yao kutokana na upinzani uliopo hasa wale wenye ninasaba na utawala wa Shaa iliyopinduliwa miaka ya 1970 kuliko kupata wasaliti ndani ya Israel.