Je, Israel ana combat superiority dhidi ya Iran?

Je, Israel ana combat superiority dhidi ya Iran?

ripoti zipi mzee unataka na hizo ripoti unataka upewe na nani?
Mbona unajiuma uma bro kiasi unakosea kuandika!?
Mnadai kuwa nusu ya makombora yalifeli,hao hao wanaosema nusu ya makombora yalifeli ndio waliotoa ripoti kuwa makombora yalorushwa ni 120 na 110+ yalidunguliwa na 7 yakapenya,na kiuhalisia ni kweli Iran alirusha makombora 120 zilizobakia ni drone.
Sasa kama nusu ya makombora yalifeli kwanini hawakutoa ripoti kuwa yaliruka makombora 60 na mamkombora 60 yalifeli!?
Sijui unaelewa swali!
 
Huwenda hujaelewa nacholenga.
Weka urafiki pembeni,hata ikitokea conflict baina ya Israel na Germany,Israel itatandikwa kama ilivyotandikwa kipindi cha nyuma tu.
Huo urafiki ni kwa sababu ya USA na UK.
Kiufupi hata sasa Israel hana nguvu za kijeshi za kuifikia Germany.
hizo unazoongea bado ni zilipendwa, german iliwaua wayahudi wa kipindi hicho, hivo unavotaka kusema safari hii german ikitaka kuwaua wayahudi wa sasa hivi ambao ndo hawa wakina mark zukerberg wa facebook na sergei brin wa google itaweza kweli?
 
hizo unazoongea bado ni zilipendwa, german iliwaua wayahudi wa kipindi hicho, hivo unavotaka kusema safari hii german ikitaka kuwaua wayahudi wa sasa hivi ambao ndo hawa wakina mark zukerberg wa facebook na sergei brin wa google itaweza kweli?
Mark zuckerberg raia wa USA sio Israel.
Bro kwani Hizbollah huko mpakani anawafanya nini Israel!?
Nazungumzia uwezo wa kijeshi baina ya taifa la Israel na taifa la Germany.
 
makombora aliyoyafyatua juzi nusu yake yote yalianguka yenyewe kwa kukosa nguvu
We jamaa wewe wenzio wamehama north israel kule shauri ya missile za lebanon zinachapa kila siku weye unasema hazina nguvu, kama hazina nguvu israel kilichomtoa lebanon 2006 ni nini au umeanza kufuatilia siasa za mashariki juzi
 
Mark zuckerberg raia wa USA sio Israel.
Bro kwani Hizbollah huko mpakani anawafanya nini Israel!?
Nazungumzia uwezo wa kijeshi baina ya taifa la Israel na taifa la Germany.
hatujaongelea uraia wa nchi acha kujitoa ufahamu, mbona unajizima data wewe? kwan hiyo ujerumani unayoiongelea iliwaua waisrael au wayahudi?
 
We jamaa wewe wenzio wamehama north israel kule shauri ya missile za lebanon zinachapa kila siku weye unasema hazina nguvu, kama hazina nguvu israel kilichomtoa lebanon 2006 ni nini au umeanza kufuatilia siasa za mashariki juzi
kawaulize lebanon hadi leo hawataki vita, kilichowakuta 2006 wao ndo wanakijua
 
hatujaongelea uraia wa nchi acha kujitoa ufahamu, mbona unajizima data wewe? kwan hiyo ujerumani unayoiongelea iliwaua waisrael au wayahudi?
Mbona unajivuruga mzee!?
Ulipotoa mfano wa Japan na China ulikusudia uraia au taifa!?
Embu jibu hapo.
 
kawaulize lebanon hadi leo hawataki vita, kilichowakuta 2006 wao ndo wanakijua
Kaifuatilie vizuri vita ya Israel-Lebanese war ya 2006.
IDF walipakimbia Bint jubeir kusini mwa Lebanon,jiulize kwanini walipakimbia?
 
1714044186462.png
... wengine wanachokoza huku wana pa kukimbilia!
 
Mbona unajivuruga mzee!?
Ulipotoa mfano wa Japan na China ulikusudia uraia au taifa!?
Embu jibu hapo.
nilikusudia taifa, ila wewe ulitoa mfano wa ujerumani ilivoua wayahudi, je ulikusudia uraia au taifa? taifa la israel lilikuwepo kipindi hicho? swali limerudi kwako mzee
 
Kaifuatilie vizuri vita ya Israel-Lebanese war ya 2006.
IDF walipakimbia Bint jubeir kusini mwa Lebanon,jiulize kwanini walipakimbia?
hakuna vita ambayo israel amewahi kukimbia sabab vita ndio maisha ya israel, yeye bora afie vitani lakini sio kukimbia, atleast US anaweza kukimbia vita kama akiona haina maslahi yake na anatumia gharama kubwa, ila sio israel, bila vita israel hawezi kusurvive, unalijua hilo?
 
nilikusudia taifa, ila wewe ulitoa mfano wa ujerumani ilivoua wayahudi, je ulikusudia uraia au taifa? taifa la israel lilikuwepo kipindi hicho? swali limerudi kwako mzee
Ulitoa mifano miwili ya Japan dhidi ya China na Germany dhidi ya wayahudi/waisraeli.
Na mimi nikakujibu kulingana na mifano yako.
 
hakuna vita ambayo israel amewahi kukimbia sabab vita ndio maisha ya israel, yeye bora afie vitani lakini sio kukimbia, atleast US anaweza kukimbia vita kama akiona haina maslahi yake na anatumia gharama kubwa, ila sio israel, bila vita israel hawezi kusurvive, unalijua hilo?
Kafuatilie hiyo vita vizuri hujaifuatilia bila shaka.
IDF iliiacha Bint jubeir kwa bunduki wakasogea mpaka Shebah farms.
Kafuatilie vizuri.
 
View attachment 2969643
Katika nchi zenye uwezo kijeshi Israeli mtoe, ule uongo mliokua mkidanganya marahii umefika mwisho. Hana uwezo hata wa kupigana na wanamgambo, mwezi wa sita huu anahangaika na Hamas. Kuporomosha majumba na kuuwa wanawake na watoto huo ni wendawazimu sio vita.
Kwaiyo marekani alipojitoa afganistan, au aliposhindwa vita vya vietnum alikua dhaifu?? Usichanganye vita ambavyo ungesema kashindwa endapo anapigana na watu wanaoonekana kama urus na ukrain ila hamas sio watu mchana raia wa kawaid usiku wana ak47 sada utafanyaje
 
Ìran ni dudu washa achana nalo
Iran haijawahi kupigana na yeyote zaidi Vita vya Miaka Minane na Iraq. Israel ameishawahi kupigana vita na nchi za Kiarabu zaidi ya Sita kwa wakati mmoja na akazishinda. Hapo tia akili mkichwa nani zaidi.
 
Iran haijawahi kupigana na yeyote zaidi Vita vya Miaka Minane na Iraq. Israel ameishawahi kupigana vita na nchi za Kiarabu zaidi ya Sita kwa wakati mmoja na akazishinda. Hapo tia akili mkichwa nani zaidi.
Sasa hivi hamas wanamtoa kamasi mwezi wa sita huu.
 
hakuna vita ambayo israel amewahi kukimbia sabab vita ndio maisha ya israel, yeye bora afie vitani lakini sio kukimbia, atleast US anaweza kukimbia vita kama akiona haina maslahi yake na anatumia gharama kubwa, ila sio israel, bila vita israel hawezi kusurvive, unalijua hilo?
Mbona hii ya Iran kakimbia?
Huwa wanajitia wanajua sana, sasa wamerushiwa makombora zaidi ya 100 na drones za kutosha, nao wangerudisha makombora 200 ma drones 200 tuone ubabe wake.

Na kitu ili angetisha zaidi angepiga Tehran Na kwenye vinu nuclear facilities.

Kwa aibu akatuma kikombora kimoja ambacho hadi sasa hakuna picha hata za satellite zimethibitisha damage.

Kila siku tumekuwa tunawaambia hapa Israel sio lolote, si chochote, anatandikwa vizuri tu na hakuna kitu atafanya.
 
Sasa hivi hamas wanamtoa kamasi mwezi wa sita huu.
Ni kweli. Ni ngumu sana kupambana na adui anayetumia 'human shields". Hata Osama Bin Laden na magaidi wengi wa pande hizo wanapenda sana kunitumia na ndio maana inakuwa hida sana kupambana nao. Lakini, ingekuwa ni battle ya askari kwa askari katika Uwanja wa vita, mbona mapema tu!
 
Mbona hii ya Iran kakimbia?
Huwa wanajitia wanajua sana, sasa wamerushiwa makombora zaidi ya 100 na drones za kutosha, nao wangerudisha makombora 200 ma drones 200 tuone ubabe wake.

Na kitu ili angetisha zaidi angepiga Tehran Na kwenye vinu nuclear facilities.

Kwa aibu akatuma kikombora kimoja ambacho hadi sasa hakuna picha hata za satellite zimethibitisha damage.

Kila siku tumekuwa tunawaambia hapa Israel sio lolote, si chochote, anatandikwa vizuri tu na hakuna kitu atafanya.
israel alipiga balozi ya iran syria akaua mageneral, iran akakaa kama wiki mbili ndo akalipiza kisasi, akarusha msururu wa makombora na drones ambayo nusu yake yalianguka yenyewe angani na hayakuleta madhara yeyote israel, then israel akakaa SIKU MBILI tu akafanya shambulio kutokea nchi ya iran yan yeye hakuhitaji kua nchini kwake kurusha makombora, alitumia ardhi hiyo hiyo ya adui kurusha makombosha hapo hapo kwa adui, alitumia rampage misile na akaharibu kabisa mtambo wa s300 wa ulinzi wa iran

so alichofanta yeye ilikua ni kutuma tu salamu kwa alayotah, hakua na mpango wa kulipua hivo vinu mana hakutaka mambo yawe makubwa zaidi.

iran alikaa kimya kwa aibu hiyo mana hakutegemea kushambuliwa kutoka hapo nchini kwake, tena sehemu ambayo ni very sensitive, sasa hapo mwenye akili tu ndo atajua nani mbabe kwa mwenzake.
 
Sasa hivi hamas wanamtoa kamasi mwezi wa sita huu.
hamas wamejipanga zaidi ya miaka kumi wanatengeneza njia za chini kwa chini yani akiwa huko chini anasafiri anatokea syria,

then wanatumia wamama, watoto, mashule na mahospital kama ngao, wanajichanganya na raia na wanavaa nguo za kiraia, ukipiga bomu badala waokoe watu wanaanza kurekodi wanatuma aljazera, ulitarajia mtu kama huyo utamshinda kwa wiki mbili?
 
Back
Top Bottom