Je, Israel ana combat superiority dhidi ya Iran?

Je, Israel ana combat superiority dhidi ya Iran?

Kupima uwezo wa nchi katika medali za kivita ni ngumu kiasi kwasababu Israel anawashirika na Iran anawashirika. Ubora wa hao washirika unanafisi kubwa katika kuamua matokeo chanya. Israel huenda hamuogopi Iran ila anawaogopa washirika wa Iran.
Katika medani za kivita Irani na washirika wake wanaweza Kuwa bora dhidi ya Israel na Washirika wake.
Umejibu mawazo yako
 
iran kapigwa juzi na kombora la rampage kutokea hapo hapo nchini kwake umesikia ameongea tena?
Sasa muiran si anacheka tu wakati kashaweka takriban pin point accuracy makombora zaidi ya 150,000 ndani ya Lebanon yanaitizama israel one call yanavurumishwa watu wanaoption zao ila ni turufu hazitumiwi kijinga jinga tu.
 
iran kapigwa juzi na kombora la rampage kutokea hapo hapo nchini kwake umesikia ameongea tena?
Wangepiga mahala popote Iran ambapo kuna damage ya hilo missiles.

Israel tunavyoifahamu kwa sifa lazima picha zingeenea.
 
Kwa akili zako unaamini Israel ikikutana na Germany sasa hivi Israel anampiga Germany!?
Jidanganye,Germany akiamua kuitandika Israel sasa hivi anaitandika Israel inafutika inasambaratika.
Germany is still Germany kijana.
China ni taifa lilikopiga hatua katika kila nyanja huwezi liweka sawa na Israel ni matusi,China ni mshindani wa USA katika nyanja zote huwezi muweka sahani moja na Israel.
nimekupa mfano kwamba huwezi kutumia historia ya nyuma kwa nyakati za sasa hivi mambo yanabadilika sana.
 
Sasa muiran si anacheka tu wakati kashaweka takriban pin point accuracy makombora zaidi ya 150,000 ndani ya Lebanon yanaitizama israel one call yanavurumishwa watu wanaoption zao ila ni turufu hazitumiwi kijinga jinga tu.
makombora aliyoyafyatua juzi nusu yake yote yalianguka yenyewe kwa kukosa nguvu
 
Israel kama israel hana uwezo wa kupigana na iran ila uhalisia ni kwamba atayekuja kupigana vita ya israel ni marekani na washirika wake
Vita ni hela kupigana na marekani na washirika wake ni ngumu, putin na nchi kama china ndio zina msuli huo wengine wote bado sana , utafilisika
Putin mwenyewe katepeta kwa wamagharibi. Kasababisha warusi wengi kufa uko Ukraine 🇺🇦
 
Vita ya Iraq-Iran ilikuwa hivi na pande kinzani.

Israel alimsaidia Iran

During the conflict, Iraq received an abundance of financial, political, and logistical aid from the United States, the United Kingdom, the Soviet Union, France, Italy, Yugoslavia, and the overwhelming majority of Arab countries.

While Iran was comparatively isolated to a large degree, it received a significant amount of aid from Syria, Libya, China, North Korea, Israel, Pakistan, and South Yemen.
Umeandika kwa kufata kilichopo au umejitungia kutoka kichwani kwako
 
mtambo wa iran wa makombora uliharibiwa wote
Jidanganye.
Maelezo yanasema kombora lilipiga karibu na nuclear facility not other wise.
Na kombora lililenga kupiga kinu cha nuclear cha Iran ila kipo salama.
 
Putin mwenyewe katepeta kwa wamagharibi. Kasababisha warusi wengi kufa uko Ukraine 🇺🇦
Ukraine na NATO vita imewashinda.
Wakae tu mezani laa sivyo Ukraine inageuka kuwa first Gaza in Europe.
Wiki ilopita mitambo yao ya kuzalisha umeme imelipuliwa kuacha mamilioni ya watu giza.
Vita Ukraine na ndugu zake imewashinda.
Russia sio mtu mwepesi.
 
nimekupa mfano kwamba huwezi kutumia historia ya nyuma kwa nyakati za sasa hivi mambo yanabadilika sana.
Kuna historia za nyuma unaweza kuzitumia sasa,inategemea unalinganisha nini na dhidi ya nani.
Kama mfano wa Israel na Germany.
Germany still mbabe wa Israel.
 
makombora aliyoyafyatua juzi nusu yake yote yalianguka yenyewe kwa kukosa nguvu
Na ninyi mnakaa na kuamini eti yalifeli.
Makombora yalirushwa 120 na 110+ yalidunguliwa,kama yalifeli kwanini yalifikia idadi kamili ya 120?
Kwanini hawakutoa ripoti kuwa 60 yamefeli na 60 ndio yameruka!?
Aisee za kuambiwa changanya na zako.
 
Wangepiga mahala popote Iran ambapo kuna damage ya hilo missiles.

Israel tunavyoifahamu kwa sifa lazima picha zingeenea.
Hawa ndio wale wale wa taarifa za kuokoteza.
Wanadai nusu ya makombora yalifeli,makombora yalirushwa 120 kama nusu yalifeli si wangetoa ripoti 60 ndio yameruka!?
Israel ilipolipua balozi ya Iran Syria picha zilisambaa za kila aina,hapakufichwa kitu.
Cha kushangaza picha za Isfahan hazijidhihirishi kama za balozi.
 
german na israel mzee kwa sasa ni maafiki, so unaongea vitu ambavo haviwezekani
Kuna historia za nyuma unaweza kuzitumia sasa,inategemea unalinganisha nini na dhidi ya nani.
Kama mfano wa Israel na Germany.
Germany still mbabe wa Israel.
 
Na ninyi mnakaa na kuamini eti yalifeli.
Makombora yalirushwa 120 na 110+ yalidunguliwa,kama yalifeli kwanini yalifikia idadi kamili ya 120?
Kwanini hawakutoa ripoti kuwa 60 yamefeli na 60 ndio yameruka!?
Aisee za kuambiwa changanya na zako.
ripoti zipi mzee unataka na hizo ripoti unataka upewe na nani?
 
israel in proved record ya kushinda vita, iran ni maneno zaidi
 
german na israel mzee kwa sasa ni maafiki, so unaongea vitu ambavo haviwezekani
Huwenda hujaelewa nacholenga.
Weka urafiki pembeni,hata ikitokea conflict baina ya Israel na Germany,Israel itatandikwa kama ilivyotandikwa kipindi cha nyuma tu.
Huo urafiki ni kwa sababu ya USA na UK.
Kiufupi hata sasa Israel hana nguvu za kijeshi za kuifikia Germany.
 
Back
Top Bottom