Je, Israel ana combat superiority dhidi ya Iran?

Je, Israel ana combat superiority dhidi ya Iran?

kwan hapa point ilikua ni gharama au kuzuia mashambulizi? unachotakiwa ujue kwa israel yeye kutumia gharama kwake sio shida linapokuja suala la usalama wake yeye atatumia gharama yeyote yeye kwake pesa sio shida, ila angalia, israel labda useme katumia gharama so kapata hasara ya pesa..ila iran magenerali wameliwa vichwa wamepotezwa so hapo nani kapata faida nani kapata hasara? pesa zinatafutwa, je hao waliokufa utawareplace na nini?

kama iran alikua analipiza kisasi basi na yeye ilitakiwa afanye mashambulizi ambayo yangeua watu nchini israel
Aisee jamaa unajadili kimahaba sana.
Gharama zilizotumika kuiokoa Israel na shambulio la Iran ni za USA,UK na wengine walioshiriki kudungua hayo makombora ni Jordan na Saudi Arabia.
Imagine mataifa takriban manne yanaungana kuzuia shambulizi moja,embu vuta picha kama hizo drone na makombora yangeenda yote 300+ na angebaki mwenyewe Israel kuzuia kingetokea nini?
Kama makombora 120+ kashindwa kuyadungua kikamilifu!?
USA ilisema imetumia $ 1 billion kwenye kudungua makombora ya Iran yasifike Israel.
Aliyetumia fedha zaidi ni USA na UK sio Israel.
Pia Iran ililenga kambi ya jeshi la anga la Israel Nevatim wala haikulenga raia.
Raia wana makosa gani mpaka wauliwe kwa uzembe wa wanasiasa kama Netanyahu!?
Kwani wao ndio walirusha kombora Syria kwenye Iran consulate?
 
sasa iran walisema israel ikijibu itawashambulia vibaya, haya israel kajibu baada ya siku mbili tena mbona iran hajafanya lolote? mana kipigo tu alichopewa alibaki mdomo wazi hajaamini hata kidogo kama anaweza kupigiwa nchini mwake.
Israel imefanya shambulio dhaifu hata viongozi wa far right pale Israel wamesema kuwa shambulio ni shame and weak.
Bimaana target haikufikiwa,walilenga kulipua kinu cha nuclear Isfahan lakini wamefeli.
Usitumie mahaba niue kujadili haya mambo.
 
Aisee jamaa unajadili kimahaba sana.
Gharama zilizotumika kuiokoa Israel na shambulio la Iran ni za USA,UK na wengine walioshiriki kudungua hayo makombora ni Jordan na Saudi Arabia.
Imagine mataifa takriban manne yanaungana kuzuia shambulizi moja,embu vuta picha kama hizo drone na makombora yangeenda yote 300+ na angebaki mwenyewe Israel kuzuia kingetokea nini?
Kama makombora 120+ kashindwa kuyadungua kikamilifu!?
USA ilisema imetumia $ 1 billion kwenye kudungua makombora ya Iran yasifike Israel.
Aliyetumia fedha zaidi ni USA na UK sio Israel.
Pia Iran ililenga kambi ya jeshi la anga la Israel Nevatim wala haikulenga raia.
Raia wana makosa gani mpaka wauliwe kwa uzembe wa wanasiasa kama Netanyahu!?
Kwani wao ndio walirusha kombora Syria kwenye Iran consulate?
usa ilitumia s1 bilion je iran alitumia kiasi gani kuyarusha?

kama raia hawana makosa ulitakiwa uwaulize hamas kwa nini waliwashambulia raia?

pia kusema mataifa karibu mane eti yameungana sio hoja yeyote sababu kitu ambacho hujui kuhusu america ya sasa hua hapigani vita peke yake, vita zake zote hua anashirikiana na washirika wake hiyo ndio strategy yake, kama pia angeamua israel ashiriki peke yake angeweza tu maana nguvu hiyo wanayo, kwan kumtoa gadafi madarakani walishirikiana wazungu wangapi? gadafi alikua ana nguvu gani za kuwafanya wamchangie?
 
Israel imefanya shambulio dhaifu hata viongozi wa far right pale Israel wamesema kuwa shambulio ni shame and weak.
Bimaana target haikufikiwa,walilenga kulipua kinu cha nuclear Isfahan lakini wamefeli.
Usitumie mahaba niue kujadili haya mambo.
mzee point haikua kulipua kinu mana mzozo ungeongezeka.. na pia kulipua vinu vya iran usifikiri ni rahisi kiivo mana mitambo yao mingi iko chini ya ardhi, na haiko pamoja imeachana achana, wao ndo wanaojua gharama za vita na ugumu wake sio wewe mshinda kibarazani, ndio mana wote sasa hivi wamekaa kimya wamerudi kwenye proxy war mana hiyo ndo haina gharama kubwa
 
usa ilitumia s1 bilion je iran alitumia kiasi gani kuyarusha?

kama raia hawana makosa ulitakiwa uwaulize hamas kwa nini waliwashambulia raia?

pia kusema mataifa karibu mane eti yameungana sio hoja yeyote sababu kitu ambacho hujui kuhusu america ya sasa hua hapigani vita peke yake, vita zake zote hua anashirikiana na washirika wake hiyo ndio strategy yake, kama pia angeamua israel ashiriki peke yake angeweza tu maana nguvu hiyo wanayo, kwan kumtoa gadafi madarakani walishirikiana wazungu wangapi? gadafi alikua ana nguvu gani za kuwafanya wamchangie?
😂😂😂😂😂😂😂😂
Nikutajie vita ama mapigano Israel aloshiriki peke yake na matokeo yake?
1)Ramadhan/Yomkippur war 1973 Israel aliipoteza Sinai na askari wengi wa IDF kuwa mateka wa vita kwa Egypt.
2)Israel-Lebanese war 2006 IDF ilifukuzwa Bint jubeir kusini mwa Lebanon kwa mtutu wa bunduki.
3)Operation ya 2021 Gaza kumuokoa askari mmoja wa IDF ikafeli wakaachia wafungwa elfu wa KiPalestina kwaajili ya askari mmoja wa IDF.
4)2023/2024 kutokana na tukio la Oktoba 7 2023 wameshindwa kuzuia roketi za hamas,Hamas oktoba 7 ilirusha roketi 5000 roketi 2400+ zilipenya zilizobaki ndizo zikadunguliwa.
Sasa jiulize kama Hamas ambaye anatumia unguided rockets na kashindwa kuzizuia za Iran angeweza?
Kuhusu gharama za Iran,drone za Iran ni drone zenye bei rahisi kuliko pia hata makombora thamani yake ni ndogo kuliko gharama walizotumia USA.
Kafuatilie mbona walitoa mchanganuo wa kila hisabu.
Pia Hamas raia alioua ni results ya unguided rockets alizorusha.
Pia usifananishe conflict ya Hamas na Iran ni vitu viwili tofauti.
Palestina na Israel raia kwa raia wanatafutana kwa visu na bastola.

USA kama sio washirika wasingempata Gaddafi.
Gaddafi alikua na jeshi imara.
Operation aliyofanikiwa USA peke yake ni moja tu,operation ya kuokoa mateka dhidi ya jeshi la Vietnam inaitwa OPERATION CABANATUAN.
 
mzee point haikua kulipua kinu mana mzozo ungeongezeka.. na pia kulipua vinu vya iran usifikiri ni rahisi kiivo mana mitambo yao mingi iko chini ya ardhi, na haiko pamoja imeachana achana, wao ndo wanaojua gharama za vita na ugumu wake sio wewe mshinda kibarazani, ndio mana wote sasa hivi wamekaa kimya wamerudi kwenye proxy war mana hiyo ndo haina gharama kubwa
Bro unaonekana umeanza kufuatilia mzozo wa Iran na Israel juzi.
Israel imeshalipua sanaaaaa vinu vya nuclear vya Iran na kuvihujumu sana tu,kama ingefanikiwa mara hii basi ingekua ni mara zaidi hata ya tano au sita.
Ushahidi upo wa Israel kuhujumu vinu vya nuclear vya Iran.
Na nuclear facility za awamu hii ndio zimejengwa kiutofauti na za awamu za kwanza,kama Iran angejenga nuclear facility kwa mtindo ule wa zamani kama alivyokua anajenga basi ungesikia kimelipuliwa tena.
Kitu pekee Israel anachohofia kwa Iran ni uwezo wa Iran kuunda silaha za nuclear.
Kaa fuatilia hilo.
Kililengwa kinu cha nuclear.
 
View attachment 2969643
Katika nchi zenye uwezo kijeshi Israeli mtoe, ule uongo mliokua mkidanganya marahii umefika mwisho. Hana uwezo hata wa kupigana na wanamgambo, mwezi wa sita huu anahangaika na Hamas. Kuporomosha majumba na kuuwa wanawake na watoto huo ni wendawazimu sio vita.
Fala kweli kweli wewe umejaa Udini, Eti nchi zenye uwezo wa kijeshi Israel mtoe,juha mkubwa wewe
 
usa ilitumia s1 bilion je iran alitumia kiasi gani kuyarusha?

kama raia hawana makosa ulitakiwa uwaulize hamas kwa nini waliwashambulia raia?

pia kusema mataifa karibu mane eti yameungana sio hoja yeyote sababu kitu ambacho hujui kuhusu america ya sasa hua hapigani vita peke yake, vita zake zote hua anashirikiana na washirika wake hiyo ndio strategy yake, kama pia angeamua israel ashiriki peke yake angeweza tu maana nguvu hiyo wanayo, kwan kumtoa gadafi madarakani walishirikiana wazungu wangapi? gadafi alikua ana nguvu gani za kuwafanya wamchangie?
We ni mjinga huwezi fananisha nchi yenye miaka 70 ikawa sawa na nchi ina miaka 2500, Iran ipo pale pale miaka nenda rudi,.
Akina Ottoman, Babylonian,Romans, , British walishapotea lakini Iran ipo pale na hicho kinamtia wasi wasi hata US.
Katika hio miaka Iran imepambana na bado iko pale, uapaswa kujiuliza katika hio miaka 2500 imekuwaje Persian wako pale walipo? wakati Israel walipotea wakatawanyika duniani kote hadi Africa. Ki nchi cha mwaka 1945, we ni mweupe.



Iran akiishmbulia Tel Aviv kisawa sawa hakutokuwa na Israel, Lakini Israel hana uwezo kuishambulia Iran akaimaliza.
 
Hawa ndio wale wale wa taarifa za kuokoteza.
Wanadai nusu ya makombora yalifeli,makombora yalirushwa 120 kama nusu yalifeli si wangetoa ripoti 60 ndio yameruka!?
Israel ilipolipua balozi ya Iran Syria picha zilisambaa za kila aina,hapakufichwa kitu.
Cha kushangaza picha za Isfahan hazijidhihirishi kama za balozi.
Hawawezi kutangaza aibu ile imebakia Siri yao!!
 
😂😂😂😂😂😂😂😂
Nikutajie vita ama mapigano Israel aloshiriki peke yake na matokeo yake?
1)Ramadhan/Yomkippur war 1973 Israel aliipoteza Sinai na askari wengi wa IDF kuwa mateka wa vita kwa Egypt.
2)Israel-Lebanese war 2006 IDF ilifukuzwa Bint jubeir kusini mwa Lebanon kwa mtutu wa bunduki.
3)Operation ya 2021 Gaza kumuokoa askari mmoja wa IDF ikafeli wakaachia wafungwa elfu wa KiPalestina kwaajili ya askari mmoja wa IDF.
4)2023/2024 kutokana na tukio la Oktoba 7 2023 wameshindwa kuzuia roketi za hamas,Hamas oktoba 7 ilirusha roketi 5000 roketi 2400+ zilipenya zilizobaki ndizo zikadunguliwa.
Sasa jiulize kama Hamas ambaye anatumia unguided rockets na kashindwa kuzizuia za Iran angeweza?
Kuhusu gharama za Iran,drone za Iran ni drone zenye bei rahisi kuliko pia hata makombora thamani yake ni ndogo kuliko gharama walizotumia USA.
Kafuatilie mbona walitoa mchanganuo wa kila hisabu.
Pia Hamas raia alioua ni results ya unguided rockets alizorusha.
Pia usifananishe conflict ya Hamas na Iran ni vitu viwili tofauti.
Palestina na Israel raia kwa raia wanatafutana kwa visu na bastola.

USA kama sio washirika wasingempata Gaddafi.
Gaddafi alikua na jeshi imara.
Operation aliyofanikiwa USA peke yake ni moja tu,operation ya kuokoa mateka dhidi ya jeshi la Vietnam inaitwa OPERATION CABANATUAN.
unaongea kama unaharisha so whats ur point here?
 
Bro unaonekana umeanza kufuatilia mzozo wa Iran na Israel juzi.
Israel imeshalipua sanaaaaa vinu vya nuclear vya Iran na kuvihujumu sana tu,kama ingefanikiwa mara hii basi ingekua ni mara zaidi hata ya tano au sita.
Ushahidi upo wa Israel kuhujumu vinu vya nuclear vya Iran.
Na nuclear facility za awamu hii ndio zimejengwa kiutofauti na za awamu za kwanza,kama Iran angejenga nuclear facility kwa mtindo ule wa zamani kama alivyokua anajenga basi ungesikia kimelipuliwa tena.
Kitu pekee Israel anachohofia kwa Iran ni uwezo wa Iran kuunda silaha za nuclear.
Kaa fuatilia hilo.
Kililengwa kinu cha nuclear.
sasa point si ipo pale pale kwamba kulipua vinu vya nuclear vya iran si rahisi kama unavifikiria? hata israel anajua hilo, so kwa mashambulizi ya siku moja haiwezekani, so haikua point ya israel kuvilipua vinu sababu visingewezekana kwa usiku mmoja, so nimeongea nini na wewe umeongea nini?
 
We ni mjinga huwezi fananisha nchi yenye miaka 70 ikawa sawa na nchi ina miaka 2500, Iran ipo pale pale miaka nenda rudi,.
Akina Ottoman, Babylonian,Romans, , British walishapotea lakini Iran ipo pale na hicho kinamtia wasi wasi hata US.
Katika hio miaka Iran imepambana na bado iko pale, uapaswa kujiuliza katika hio miaka 2500 imekuwaje Persian wako pale walipo? wakati Israel walipotea wakatawanyika duniani kote hadi Africa. Ki nchi cha mwaka 1945, we ni mweupe.



Iran akiishmbulia Tel Aviv kisawa sawa hakutokuwa na Israel, Lakini Israel hana uwezo kuishambulia Iran akaimaliza.
israel haikuwepo kama nchi lakini wayahudi ambao ndo waliunda israel walikupewo, na wao pia wanahistoria ya kuanzia zaman tu.. so wote ni wakongwe.. iran anataman sana kuishambulia israel lakini hawezi. angekua na uwezo huo angeshafanya kitambo sana.

sasa nchi ina miaka 2500 imepitwa kiuchumi na nigeria ambayo haina hata miaka 100?
hiyo miaka yote 2500 walikua wanacheza bao nini?
 
sasa point si ipo pale pale kwamba kulipua vinu vya nuclear vya iran si rahisi kama unavifikiria? hata israel anajua hilo, so kwa mashambulizi ya siku moja haiwezekani, so haikua point ya israel kuvilipua vinu sababu visingewezekana kwa usiku mmoja, so nimeongea nini na wewe umeongea nini?
Mbona unaruka ruka mkuu!?
Inamaana hukuelewa nilichozungumza!?
Miaka ya nyuma Israel amewahi kulipua vinu vya nuclear vya Iran zaidi ya mara tatu au mara nne.
Zingatia neno kama,kama Iran isingebadili mtindo wa facility kwa sasa basi kinu kingelipuka kama kilivyolipuliwa mwaka juzi.
Target ilikua kulipua kinu kama isingekua kulipua kinu kombora lisingeangukia metre chache na nuclear facility za Iran.
 
unaongea kama unaharisha so whats ur point here?
Point yangu usifanye kama hujaiona mkuu.
Ulisema kuwa Israel hata ingeachwa ijitetee yenyewe ingeweza.
Nimekuletea mifano ya mapigano ambayo Israel iliachwa ijitetee yenyewe na maafa waliyoyapata.

Pia ulisema US kazoea kuwa na allies wake kupambana vita ila sio kama kupambana mwenyewe hawezi.
Nikakuletea the most and only successfull millitary operation ilofanywa na USA peke yao ambayo ni cabanatuan.
Tofauti na hapo walizoshiriki wenyewe zote wamefeli.
 
israel haikuwepo kama nchi lakini wayahudi ambao ndo waliunda israel walikupewo, na wao pia wanahistoria ya kuanzia zaman tu.. so wote ni wakongwe.. iran anataman sana kuishambulia israel lakini hawezi. angekua na uwezo huo angeshafanya kitambo sana.

sasa nchi ina miaka 2500 imepitwa kiuchumi na nigeria ambayo haina hata miaka 100?
hiyo miaka yote 2500 walikua wanacheza bao nini?
Mkuu unajisikia unachoongea!?
Nigeria ni low income country Iran ni middle upper income country.
Pia Iran ni nchi ilioishi katika vikwazo vya kiuchumi tokea 1979 mpaka sasa.
 
We ni mjinga huwezi fananisha nchi yenye miaka 70 ikawa sawa na nchi ina miaka 2500, Iran ipo pale pale miaka nenda rudi,.
Akina Ottoman, Babylonian,Romans, , British walishapotea lakini Iran ipo pale na hicho kinamtia wasi wasi hata US.
Katika hio miaka Iran imepambana na bado iko pale, uapaswa kujiuliza katika hio miaka 2500 imekuwaje Persian wako pale walipo? wakati Israel walipotea wakatawanyika duniani kote hadi Africa. Ki nchi cha mwaka 1945, we ni mweupe.



Iran akiishmbulia Tel Aviv kisawa sawa hakutokuwa na Israel, Lakini Israel hana uwezo kuishambulia Iran akaimaliza.
we kweli kichwa maji unatumia akili za kibakuli unasema otoman imepotea wakati uturuki ya sasa ina uchumi imara kuliko nchi zote hapo middle east? hiyo iran ambayo unasema ipo hadi sasa imeachwa mbali kabisa na uturuki haiwezi hata kuisogelea.

Eti unasema roman empire imepotea are you serious? unaijua roman catholic na nguvu aliyonayo papa duniani?
 
Mkuu unajisikia unachoongea!?
Nigeria ni low income country Iran ni middle upper income country.
Pia Iran ni nchi ilioishi katika vikwazo vya kiuchumi tokea 1979 mpaka sasa.
nigeria gdp ni usd 472bilion mwaka 2022
iran gdp ni usd 413.5bilion mwaka 2022
 
US yenyewe inaigopa Iran ikiwa Ma Al Hout wa Yemen kawakimbia iwe Iran.

US labda akapige nuclear tu ndio atamshinda Iran, lakini Iran mwendo anao kwenda nao kwenye kutengeneza silaha, US atie maji kichwani karibu atanyolewa huko huko ndani ya US.
Wavaa kobazi wanasimama na Irani japo wote tunajua kuwa zilirushwa drone 300+ na hakuna hata moja Imehit jengo
 
Back
Top Bottom