Jambazi baadae akibadilika huja kuwa Mlinzi mzuri sana.Kwani ni lazima hao mabinti wakajifunze kuogelea baharini? Waende vyuo vya mabaharia vinavyotambulika kama wanataka kuwa mabaharia. Lakini kama ni kujifunza tu kuogelea, swimming pools zinatosha. Inawezekana nao wanapenda hizo mambo ndani ya maji labda.
Ila mtoa post pia yaelekea unafahamu vizuri sana hiyo issue.
Sent from hell
Inashangaza kidogoWanapenda wenyewe iyo michezo, unakubali vipi kufundishwa kuogelea na mtu usiemfaham
Usikute wewe mwenyewe beachboyHivi IGP Sirro na Watendaji wako umeshindwa kweli 'Kukabiliana' na hawa 'Wahuni' waitwao 'Beach Boys' huku katika 'Fukwe' za Bahari ya Hindi ambao tabia yao ya Kujifanya Wanawafundisha Mabinti...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji109]Kweli hawa jamaa ni noma,najaribu kuwaza,hapa anabalance yeye asizame,anabalance binti asizame na bado at the same time anachakata papuchi...
huu ni ufanisi wa hali ya juu,wakati wewe ukipewa kiss tu hata peni unadondosha jinsi ulivyolegea kwa kusikilizia utamu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa Kuzibua 'Mtaro' ndani ya Maji ni ngumu kulingana na 'Mazingira' husika na aina ya 'Mikao' ila kwa 'Mbunyeni' huwa ni rahisi mno na ya haraka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha ujinga wwNa hata Mawimbi na Chumvi husaidia Kuipanua 'Mbunye' kiurahisi sana ili Kupisha 'Mkuyenge' kutiririka na kuserereka vizuri na Wao Kusuuzika pia.
Hivi mtu anaweza jifunzia kuogelea baharini??????Ebwana ni hatari sana.
Wanawafanyia BLACKMAIL ya kufa mtu.
Najaribu kufikiria UWEPO wa maji ya "chumvi"..huku NGUVU IKITUMIKA katika "ukutanaji" huo haramu, basi WATAALAMU watuambie kama HIZO factors tajwa HAZITOONGEZA(accelerating) "uingiaji" wa VIRUSI vinavyosababisha AIDS?
Na je vipi kuhusu STD's?
PENDEKEZO:
Mamlaka zinazozunguka HIZO BEACH ziweke MABANGO ya kutahadharisha HILO.
Yaani WAONGEZE na maneno "at your own risk".
Dada zetu nao WANA DHIMA ya kutomuamini MTU wasiyemjua KIHOLELA, inashangaza mbona huku MITAANI NA "daladalani" hawatoi/hawatoagi SALAMU kwa WASIYE MJUA? Sembuse hayo ya UKARIBU WA KUBEBANA kupelekana MAJI YA MAGOTI. KUSUKUMANA MAJI YA VIUNO mpaka kule kwenye MAJI YA VIFUA karibu na MIAMBA.
Hizo naina zinaitwa research beach zote yamemkuta yeye tuuuu?Kagongewa demu wake muache ashushe pumzi huku Jf
Hivi unajua kuwa mkemia mkuu anaangaliana na beach pua na mdomo ? Angeweza mburuza mpaka getini bila hata ya usumbufu wa kupita polisi kwa kufunga tu kamba kwenye govi (kama lipo )kutunza ushahidipole sana mkuu ,dunia ndio ilivyo,, ,ila mwamba we mnyonge sana sa ulikuwa unasubiri ushahidi kamili ndio utoe madai polisi...
Ndio inawezekana....Hivi mtu anaweza jifunzia kuogelea baharini??????
Nenda na Mkeo au Demu wako uone kama hatoliwa na hao Mabichi Boi Pimbi Mmoja Wewe.Wanawake washenzi ndo wanaliwa.
HahahahahMtoa mada apewe dawa zake, mwezi huu kichaa kimemuanza mapema.