djzmpr70
JF-Expert Member
- Oct 25, 2020
- 224
- 153
Kwani ni lazima hao mabinti wakajifunze kuogelea baharini? Waende vyuo vya mabaharia vinavyotambulika kama wanataka kuwa mabaharia.
Lakini kama ni kujifunza tu kuogelea, swimming pools zinatosha. Inawezekana nao wanapenda hizo mambo ndani ya maji labda.
Ila mtoa post pia yaelekea unafahamu vizuri sana hiyo issue.
Sent from hell
Lakini kama ni kujifunza tu kuogelea, swimming pools zinatosha. Inawezekana nao wanapenda hizo mambo ndani ya maji labda.
Ila mtoa post pia yaelekea unafahamu vizuri sana hiyo issue.
Sent from hell