Je, jina la Yesu ni kweli lina nguvu na uwezo mkubwa katika kutenda miujiza hadi leo? Wewe limekutendea makubwa gani? Karibu ushuhudie

Je, jina la Yesu ni kweli lina nguvu na uwezo mkubwa katika kutenda miujiza hadi leo? Wewe limekutendea makubwa gani? Karibu ushuhudie

Yesu ndio chanzo cha uzima wangu, nilishawahi kugongwa na treni, licha ya kwamba gari yangu iliharibiwa kabisa lakini mimi binafsi nilitoka nikiwa mzima kabisaaaaaaaaa

Kwahiyo wasomjua Yesu wasingetoka?! Fala kweli wewe
 
Yesu wa Nazareth

The Lost City


The Gospels tell us that Jesus's home town was the 'City of Nazareth' ('polis Natzoree'):



And in the sixth month the angel Gabriel was sent from God unto a CITY of Galilee, named Nazareth, To a virgin espoused to a man whose name was Joseph, of the house of David; and the virgin’s name was Mary.

(Luke1.26,27)

And all went to be taxed, every one into his own city. And Joseph also went up from Galilee, out of the CITY of Nazareth, into Judaea, unto the city of David, which is called Bethlehem; because he was of the house and lineage of David:
(Luke 2.3,4)

But when he heard that Archelaus did reign in Judaea in the room of his father Herod, he was afraid to go thither: notwithstanding, being warned of God in a dream, he turned aside into the parts of Galilee: And he came and dwelt in a CITY called Nazareth: that it might be fulfilled which was spoken by the prophets, He shall be called a Nazarene.
(Matthew 2.22,23)

And when they had performed all things according to the law of the Lord, they returned into Galilee, to their own CITY Nazareth. And the child grew, and waxed strong in spirit, filled with wisdom: and the grace of God was upon him.
(Luke 2.39,40)


The gospels do not tell us much about this 'city' – it has a synagogue, it can scare up a hostile crowd (prompting JC's famous "prophet rejected in his own land" quote), and it has a precipice – but the city status of Nazareth is clearly established, at least according to that source of nonsense called the Bible.


However when we look for historical confirmation of this hometown of a god – surprise, surprise! – no other source confirms that the place even existed in the 1st century AD.


• Nazareth is not mentioned even once in the entire Old Testament. The Book of Joshua (19.10,16) – in what it claims is the process of settlement by the tribe of Zebulon in the area – records twelve towns and six villages and yet omits any 'Nazareth' from its list.

• The Talmud, although it names 63 Galilean towns, knows nothing of Nazareth, nor does early rabbinic literature.

St Paul knows nothing of 'Nazareth'. Rabbi Solly's epistles (real and fake) mention Jesus 221 times, Nazareth not at all.

• No ancient historian or geographer mentions Nazareth. It is first noted at the beginning of the 4th century.
 
Hili ni swali tu katika kujua uweza na uwezo wa nguvu za Jina la Yesu katika kutenda miujiza.

Yesu alipata kuishi yapata miaka 2019 iliyopita. Je inakuwaje jina lake leo lisemwe kwamba lina nguvu sana katika kutenda miujiza?

Kuna manabii wengi sana na mitume wengi wamepita, kina Krishna, Elisha , Elizabeth Mtishbi nk mbona hatusikii visa vya majina yao katika kutenda miujiza? Sanasana Wlisha ametajwa mara moja kwamba jamaaa walibeba maiti wakienda kuzika, walipofika katika kaburi la Elisha ikatokea vita, katika kujinusuru wakaibwaga maiti chini, maiti ikaangukia kaburi la Elisha, maiti ikafufuka, ikatoka nduki kichizi.

Ndugu mnaoelezea uweza wa jina la Yesu njooni hapa mshuhudie


Was there a Jesus?


Of course there was a Jesus – many!




The archetypal Jewish hero was Joshua (the successor of Moses) otherwise known as Yehoshua (Yeshua) bin Nun (‘Jesus of the fish’). Since the name Jesus (Yeshua or Yeshu in Hebrew, Iesous in Greek, source of the English spelling) originally was a title (meaning ‘saviour’, derived from ‘Yahweh Saves’) probably every band in the Jewish resistance had its own hero figure sporting this moniker, among others.


Josephus, the first century Jewish historian mentions no fewer than nineteen different Yeshuas/Jesii, about half of them contemporaries of the supposed Christ! In his Antiquities, of the twenty-eight high priests who held office from the reign of Herod the Great to the fall of the Temple, no fewer than four bore the name Jesus: Jesus ben Phiabi, Jesus ben Sec, Jesus ben Damneus and Jesus ben Gamaliel. Even Saint Paul makes reference to a rival magician, preaching ‘another Jesus’ (2 Corinthians 11,4). The surfeit of early Jesuses includes:


Too strange to be a coincidence!

According to the Biblical account, Pilate offered the Jews the release of just one prisoner and the cursed race chose Barabbas rather than gentle Jesus.

But hold on a minute: in the original text studied by Origen (and in some recent ones) the chosen criminal was Jesus Barabbas – and Bar Abba in Aramaic means ‘Son of the Father’!

Are we to believe that Pilate had a Jesus, Son of God and a Jesus, Son of the Father in his prison at the same time??!!

Perhaps the truth is that a single executed criminal helped flesh out the whole fantastic fable.

Gospel writers, in scrambling details, used the Aramaic Barabbas knowing that few Latin or Greek speakers would know its meaning.



Jesus ben Sirach. This Jesus was reputedly the author of the Book of Sirach (aka 'Ecclesiasticus, or the Wisdom of Jesus the Son of Sirach'), part of Old Testament Apocrypha. Ben Sirach, writing in Greek about 180 BC, brought together Jewish 'wisdom' and Homeric-style heroes.


Jesus ben Pandira. A wonder-worker during the reign of Alexander Jannaeus (106-79 BC), one of the most ruthless of the Maccabean kings. Imprudently, this Jesus launched into a career of end-time prophecy and agitation which upset the king. He met his own premature end-time by being hung on a tree – and on the eve of a Passover. Scholars have speculated this Jesus founded the Essene sect.


Jesus ben Ananias. Beginning in 62AD, this Jesus had caused disquiet in Jerusalem with a non-stop doom-laden mantra of ‘Woe to the city’. He prophesied rather vaguely:


"A voice from the east, a voice from the west, a voice from the four winds, a voice against Jerusalem and the holy house, a voice against the bridegrooms and the brides, and a voice against the whole people."

– Josephus, Wars 6.3.


Arrested and flogged by the Romans, Jesus ben Ananias was released as nothing more dangerous than a mad man. He died during the siege of Jerusalem from a rock hurled by a Roman catapult.


Jesus ben Saphat. In the insurrection of 68AD that wrought havoc in Galilee, this Jesus had led the rebels in Tiberias ("the leader of a seditious tumult of mariners and poor people" – Josephus, Life 12.66). When the city was about to fall to Vespasian’s legionaries he fled north to Tarichea on the Sea of Galilee.


Jesus ben Gamala. During 68/69 AD this Jesus was a leader of the ‘peace party’ in the civil war wrecking Judaea. From the walls of Jerusalem he had remonstrated with the besieging Idumeans (led by ‘James and John, sons of Susa’). It did him no good. When the Idumeans breached the walls he was put to death and his body thrown to the dogs and carrion birds.


Jesus ben Thebuth. A priest who, in the final capitulation of the upper city in 69AD, saved his own skin by surrendering the treasures of the Temple, which included two holy candlesticks, goblets of pure gold, sacred curtains and robes of the high priests. The booty figured prominently in the Triumph held for Vespasian and his son Titus.
 
naona watu wanataja kuvuka misukosuko ya maisha kuwa Ni kazi ya Yesu lakini wale tusioamini ktk huyo Yesu tunavuka pia hiyo misukosuko bila kulitaja jina la Yesu Bali kwa imani zetu tunapata kazi,, tunapona ajali,, tunapata nafuu ya maisha,, tunapata uzazi,, tunapona maradhi ya hospitaly na ya kurogwa ,,na tunapata wenza wema, kwa hiyo Kama kigezo pekee Ni kuepushwa na misukosuko ya duniani niseme tu bado sijaona nguvu ya jina la Yesu maana misukosuko inatupata wote na wote tunapona kupitia imani zetu na kufa Kila mmoja atakufa kwa wakati wake bila kujali imani yako ingekua wenzetu hamfi au mkifa mkitaja jina la Yesu mnafufuka hapo sawa. Wandugu tunapona kwa imani ndo maana hata mababu zetu waliokua wakiabudu mawe na Miti mikubwa walikua wakipata majanga wanaenda kutambika na mvua zinanyesha lakini SI kweli kua jiwe au mti Ni Mungu na mkumbuke nabii Ayubu alipopatwa na misukosuko mikubwa hakukuwa na jina la Yesu lakini aliomba kwa imani na akapona. Bali Mungu wetu ni mmoja na Hana uchoyo kwa viumbe vyake humpa yoyote amuombae wakati mwingine bila hata kumuomba kupitia kile unachokiamini lakini siku ya hukumu ndo itajulikana Nani aliabudu Mungu wa kweli na Nani aliabudu vilivyoumbwa na Mungu, hukumu inakuja kwa vile licha ya kuwa Mungu wetu Ni mwenye huruma nyingi lakini pia Ni mwingi wa hasira na mwenye wivu pia katupatia akili na ufahamu wa kufikiri na kutafakari hivo ni wajibu Kila mmoja wetu kufikiri na kutafakari sifa,,ukuu na utukufu wa Mungu na kupima Kama kile unachokiomba na kukiabudu kina sifa na ukuu na utukufu wa kuabudiwa. Mtihani mkubwa upo hapo.
 
Kwamba Mungu Ana Mtoto [emoji1787], Mungu Hafanani Na Kitu Chochote.
Si huwa mnakiri kabisa kuwa Mungu wenu hashindwi na jambo lolote kulitenda ?

Kwanini achemke kuwa na mwana, huoni huyo Mungu wenu ni ubabaishaji ikiwa kila kitu anaweza lakini anashindwa tu kuwa na mwana ?
 
kwa ushahidi gani ??

mbona huku amenukuliwa akisema

John5:30

"Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe.
SOMA BIBLIA UPATE MAARIFA:

Yohana 1: 1- 5.

Yohana 1:14.

Yohana 17 sura yote lakini hasa hasa hapa pana jibu lako.

Yohana 17:5

Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.

Kiujumla Yesu anamaanisha hawezi kufanya kitu yeye pekee pasipo umoja wa Yahweh (Mungu Baba, Yesu na Roho Mtakatifu) na hizo ni nafsi 3 katika umoja.

Kabla hujaniuliza inamaana tunaabudu miungu mitatu ningependa nikuulize inakuwaje yai la kuchemsha la kuku wa kienyeji ni moja lakini limegawanyika sehemu kuu tatu ?

1. Kiini cha yai (rangi njano au nyeusi cha ndani ya yai)

2. Muunganiko wa madini ya protini nyeupe(ndani ya yai)

3. Ganda la nnje ya yai (rangi ya kaki).
 
Yesu ndio chanzo cha uzima wangu, nilishawahi kugongwa na treni, licha ya kwamba gari yangu iliharibiwa kabisa lakini mimi binafsi nilitoka nikiwa mzima kabisaaaaaaaaa
kwenye matukio kama ayo ni wengi tu wanaponyeka ponyek, haimaanishi kama haumuamini yesu bas kwenye ajari haunusuriki,

watu wengi wengine ni atheist lakin wanaponyeka kwenye ajari mbaya kabisa
 
naona watu wanataja kuvuka misukosuko ya maisha kuwa Ni kazi ya Yesu lakini wale tusioamini ktk huyo Yesu tunavuka pia hiyo misukosuko bila kulitaja jina la Yesu Bali kwa imani zetu tunapata kazi,, tunapona ajali,, tunapata nafuu ya maisha,, tunapata uzazi,, tunapona maradhi ya hospitaly na ya kurogwa ,,na tunapata wenza wema, kwa hiyo Kama kigezo pekee Ni kuepushwa na misukosuko ya duniani niseme tu bado sijaona nguvu ya jina la Yesu maana misukosuko inatupata wote na wote tunapona kupitia imani zetu na kufa Kila mmoja atakufa kwa wakati wake bila kujali imani yako ingekua wenzetu hamfi au mkifa mkitaja jina la Yesu mnafufuka hapo sawa. Wandugu tunapona kwa imani ndo maana hata mababu zetu waliokua wakiabudu mawe na Miti mikubwa walikua wakipata majanga wanaenda kutambika na mvua zinanyesha lakini SI kweli kua jiwe au mti Ni Mungu na mkumbuke nabii Ayubu alipopatwa na misukosuko mikubwa hakukuwa na jina la Yesu lakini aliomba kwa imani na akapona. Bali Mungu wetu ni mmoja na Hana uchoyo kwa viumbe vyake humpa yoyote amuombae wakati mwingine bila hata kumuomba kupitia kile unachokiamini lakini siku ya hukumu ndo itajulikana Nani aliabudu Mungu wa kweli na Nani aliabudu vilivyoumbwa na Mungu, hukumu inakuja kwa vile licha ya kuwa Mungu wetu Ni mwenye huruma nyingi lakini pia Ni mwingi wa hasira na mwenye wivu pia katupatia akili na ufahamu wa kufikiri na kutafakari hivo ni wajibu Kila mmoja wetu kufikiri na kutafakari sifa,,ukuu na utukufu wa Mungu na kupima Kama kile unachokiomba na kukiabudu kina sifa na ukuu na utukufu wa kuabudiwa. Mtihani mkubwa upo hapo.
Misingi ya kiimani ya Kikristo imejengwa katika sheria na shuhuda.

ISAYA 8:19-20.
19.Na wakati watakapokuambia, Tafuta habari kwa watu wenye pepo na kwa wachawi; waliao kama ndege na kunong’ona; je! Haiwapasi watu kutafuta habari kwa Mungu wao? Je! Waende kwa watu waliokufa kwa ajili ya watu walio hai?
20.Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi sawasawa na neno hili, bila shaka kwa hao hapana asubuhi.

SHUHUDA = Injili, mahubiri, miujiza na neno la Mungu lililoenezwa na Manabii mbali mbali na Yesu kupitia mwongozo wa Roho Mtakatifu.

1 PETRO 1:19-21.
19.Nasi tuna lile neno la unabii lililo imara zaidi, ambalo, mkiliangalia, kama taa ing’aayo mahali penye giza, mwafanya vyema, mpaka kutakapopambazuka, na nyota ya asubuhi kuzuka mioyoni mwenu.
20.Mkijua neno hili kwanza, ya kwamba hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu.
21.Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.

SHERIA = Amri 10 za Mungu zilizoshushwa na Mungu juu ya mlima wa Sinai kupitia Nabii Musa "KUTOKA 31:1-9"

YESU ASHUHUDIA SHERIA ZA MUNGU [emoji116]

MATHAYO 5:17.
Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza.

MAJARIBU/CHANGAMOTO NI SEHEMU YA MAISHA NA YESU ANASHUHUDIA [emoji116]

YOHANA 16:33.
Hayo nimewaambieni mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu.
 
Ukifikiria kwa makini, wanaoponyesha wanatumia ulimwengu wa roho.
 
SOMA BIBLIA UPATE MAARIFA:

Yohana 1: 1- 5.

Yohana 1:14.

Yohana 17 sura yote lakini hasa hasa hapa pana jibu lako.

Yohana 17:5

Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.

Kiujumla Yesu anamaanisha hawezi kufanya kitu yeye pekee pasipo umoja wa Yahweh (Mungu Baba, Yesu na Roho Mtakatifu) na hizo ni nafsi 3 katika umoja.

Kabla hujaniuliza inamaana tunaabudu miungu mitatu ningependa nikuulize inakuwaje yai la kuchemsha la kuku wa kienyeji ni moja lakini limegawanyika sehemu kuu tatu ?

1. Kiini cha yai (rangi njano au nyeusi cha ndani ya yai)

2. Muunganiko wa madini ya protini nyeupe(ndani ya yai)

3. Ganda la nnje ya yai (rangi ya kaki).

Hiyo tafsiri ni ya biblia ipi ?
Kutoka kiswahili kwenda lugha gani?
 
naona watu wanataja kuvuka misukosuko ya maisha kuwa Ni kazi ya Yesu lakini wale tusioamini ktk huyo Yesu tunavuka pia hiyo misukosuko bila kulitaja jina la Yesu Bali kwa imani zetu tunapata kazi,, tunapona ajali,, tunapata nafuu ya maisha,, tunapata uzazi,, tunapona maradhi ya hospitaly na ya kurogwa ,,na tunapata wenza wema, kwa hiyo Kama kigezo pekee Ni kuepushwa na misukosuko ya duniani niseme tu bado sijaona nguvu ya jina la Yesu maana misukosuko inatupata wote na wote tunapona kupitia imani zetu na kufa Kila mmoja atakufa kwa wakati wake bila kujali imani yako ingekua wenzetu hamfi au mkifa mkitaja jina la Yesu mnafufuka hapo sawa. Wandugu tunapona kwa imani ndo maana hata mababu zetu waliokua wakiabudu mawe na Miti mikubwa walikua wakipata majanga wanaenda kutambika na mvua zinanyesha lakini SI kweli kua jiwe au mti Ni Mungu na mkumbuke nabii Ayubu alipopatwa na misukosuko mikubwa hakukuwa na jina la Yesu lakini aliomba kwa imani na akapona. Bali Mungu wetu ni mmoja na Hana uchoyo kwa viumbe vyake humpa yoyote amuombae wakati mwingine bila hata kumuomba kupitia kile unachokiamini lakini siku ya hukumu ndo itajulikana Nani aliabudu Mungu wa kweli na Nani aliabudu vilivyoumbwa na Mungu, hukumu inakuja kwa vile licha ya kuwa Mungu wetu Ni mwenye huruma nyingi lakini pia Ni mwingi wa hasira na mwenye wivu pia katupatia akili na ufahamu wa kufikiri na kutafakari hivo ni wajibu Kila mmoja wetu kufikiri na kutafakari sifa,,ukuu na utukufu wa Mungu na kupima Kama kile unachokiomba na kukiabudu kina sifa na ukuu na utukufu wa kuabudiwa. Mtihani mkubwa upo hapo.

UMEMALIZA na uzi ufungwe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Misingi ya kiimani ya Kikristo imejengwa katika sheria na shuhuda.

ISAYA 8:19-20.
19.Na wakati watakapokuambia, Tafuta habari kwa watu wenye pepo na kwa wachawi; waliao kama ndege na kunong’ona; je! Haiwapasi watu kutafuta habari kwa Mungu wao? Je! Waende kwa watu waliokufa kwa ajili ya watu walio hai?
20.Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi sawasawa na neno hili, bila shaka kwa hao hapana asubuhi.

SHUHUDA = Injili, mahubiri, miujiza na neno la Mungu lililoenezwa na Manabii mbali mbali na Yesu kupitia mwongozo wa Roho Mtakatifu.

1 PETRO 1:19-21.
19.Nasi tuna lile neno la unabii lililo imara zaidi, ambalo, mkiliangalia, kama taa ing’aayo mahali penye giza, mwafanya vyema, mpaka kutakapopambazuka, na nyota ya asubuhi kuzuka mioyoni mwenu.
20.Mkijua neno hili kwanza, ya kwamba hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu.
21.Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.

SHERIA = Amri 10 za Mungu zilizoshushwa na Mungu juu ya mlima wa Sinai kupitia Nabii Musa "KUTOKA 31:1-9"

YESU ASHUHUDIA SHERIA ZA MUNGU [emoji116]

MATHAYO 5:17.
Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza.

MAJARIBU/CHANGAMOTO NI SEHEMU YA MAISHA NA YESU ANASHUHUDIA [emoji116]

YOHANA 16:33.
Hayo nimewaambieni mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu.

Unaongelea ukristo wa kanisa lipi Na biblia ipi ?
 
Back
Top Bottom