Mimi nakumbuka niliishia episode ya 300[emoji2]hahahaha niliachana nayo
Madame Sara !!Nina mjomba wangu kila akija home alipenda kuniita madame hiyo s n herufi ya mwanzo ya jina langu.
skumbuki ya ngapi kwa kweli ni baijii alivyokua chizi nikaacha hapohapoMimi nakumbuka niliishia episode ya 300[emoji2]
duh hapana hahahahha sitaki halafuMadame Sara !!
Naikumbuka ibilisiMwanzoni nilikuwa natumia ID moja, ikikuwa maarufu sanaa humu hasa kipindi cha uchaguzi, baada ya sekeseke la lowassa na vijana wa IT, nikabadili ID nikajiita Id nyingine ile nayo nikaona miyeyusho,
Hii sasa ni baada ya Bibi yangu kuniambia utakuja kuwa Mangi kweli,
Kama si juwa na mapesa mingimingi basi hata Rais.
Kwasasa naona pesa ndo zinakuja taratibu na wosia kutimiaa.
Nikifika 35s nitakuwa tajiri mkubwa tz.
HahahhaahNaikumbuka ibilisi
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
ntakutafta s kwa jina hilo umenshtua sana had nimeogopa
duh hapana hahahahha sitaki halafu
nimemuona babekapatia mmoja tu ananichora tu hapa
Hutaki nini.....duh hapana hahahahha sitaki halafu
aisee kwa msisitizo??? Hahahhaa mashaka ninayoWii bwana hutaki kuitwa Binti Sitti[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiona unapata tabu kueleweka ujue either hujielewi au huelewi unachotaka kukielewesha.Umembiwa inasadifu mimi nilivyo, huwa napata taabu kueleweka kwa average brain na small brain kama wewe.
kuitwa saraHutaki nini.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee kwa msisitizo??? Hahahhaa mashaka ninayo
umedandia treni kwa mbele, anaetongozana nani???Acheni kutongozana kwenye Uzi wa mwenyewe, hata aibu Hamna!
siamini ninachokisoma wallah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ulibadili tu usernaneHahahhaah
Hiyo ilikuwa ya pili,