Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Black jackal
Hili ni jina la mbabe mmoja hivi hatare kwa jina kamil anaitwa Calos nenda kaisomeni historia yake
 
Nlikua napenda chemistry especially kwenye topic za non metal uandaaji wake nkatokea kuielewa sana chlorine gas
 
Mwanzoni nilikuwa natumia ID moja, ikikuwa maarufu sanaa humu hasa kipindi cha uchaguzi, baada ya sekeseke la lowassa na vijana wa IT, nikabadili ID nikajiita Id nyingine ile nayo nikaona miyeyusho,

Hii sasa ni baada ya Bibi yangu kuniambia utakuja kuwa Mangi kweli,
Kama si juwa na mapesa mingimingi basi hata Rais.

Kwasasa naona pesa ndo zinakuja taratibu na wosia kutimiaa.
Nikifika 35s nitakuwa tajiri mkubwa tz.
Naikumbuka ibilisi
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Umembiwa inasadifu mimi nilivyo, huwa napata taabu kueleweka kwa average brain na small brain kama wewe.
Ukiona unapata tabu kueleweka ujue either hujielewi au huelewi unachotaka kukielewesha.

Sisikitiki mimi kua average au small brain, nahofia kwamba ikiwa mimi ndo small brain, kwa mind yako wewe utakua level gani?
 
Back
Top Bottom