Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Mimi nilihisi wewe ulikuwa ndiye dreva, maana wanasema alikuwa na mwanamke, nikahisi ulikuwa unampa Asprin.
Babu gani anaendesha lori? Utakuwa umechanganya madesa... mi niko Sauz huku baada ya ndege yenu kutekwa. Nasubiri usuluhishi niirudishe ndege yenu afu nistaafu. Huyu air hostess ananisaidia tu kubrashi viatu.
 
Aisee we jamaa...tupeane madini. Mzee mzima nisije kutongoza mara ya pili nikaumbuka
Mpwa kabla ya kufanya mchakato wowote, inabidi ufanye due diligence kwa kupekua kumbukumbu toka maktaba...
 
Babu gani anaendesha lori? Utakuwa umechanganya madesa... mi niko Sauz huku baada ya ndege yenu kutekwa. Nasubiri usuluhishi niirudishe ndege yenu afu nistaafu. Huyu air hostess ananisaidia tu kubrashi viatu.

Hivi mnalishwa na serikali ama mnatoa mfukoni kwenu!
 
Mpwa kabla ya kufanya mchakato wowote, inabidi ufanye due diligence kwa kupekua kumbukumbu toka maktaba...
Dah kweli nazeeka vibaya. Nilitaka nianze mchakato kumbe ningeingia cha kike. Ngoja niende maktaba kwanza
 
Daah ni story ya kusikitisha na kuhuzunisha that's why nalewa ili niwe nasahau sometimes nalala kabisa bar nanyanyuliwa napalekwa home ..nikipata wasaa naperuzi jamii forums nkiwa kwangu nimejifungia peke angu sina mda na jirani wala watu.

Kwanzaa nimeacha assets zangu nkatoweka sjulikan nilipo na rafki nikisema ndugu nadanganya maana Mimi mwenyewe siwajui ndo nina almost 3yrs nimekuja kuishi hili eneo as ordinary person hakuna anaejua background yangu wala jina baba mwenye nyumba ananijua jina tu kodi namlipa fresh japo ananidanganya mambo mengine na michango hapo home ili kunipiga pesa Mimi Nampa tu sihoji chochote hajui nafanya kazi gan pesa natoa wapi

japo kuna sister jiran anijui jina ananiita mlevi mmoja ndo nimelipenda natumia humu ndo akiona nimechelewa kurudi atanitafuta ataomba Msaada nisaidiwe kubebwa sometimes anakuja ananisaidia kufanya usafi sometimes ananikuta asubuhi na pombe zangu kazaa mezani anazichukua anazitupa ananifokea sana sometimes ananipikia

Mara nilale kweny baraza za watu hapo nimelewa wananisachi wananichukulia phone pesaa ila hyo hainiumizi kichwa.. Pesa kwangu hazina samani ni jambo dogo.. Makaratasi.. Pesa sio kila kitu nyie jidanganyeni tu

Nalewa nazidiwa na pombe mpaka nazima kwa kifafa napelekwa hospital huyu sister sijataka kujua jina Lake namuita Miss annoying maana naona ni msumbufu ananifuatilia life langu ..well anakuja kunicheki hospital ananiletea matunda tunapiga story na nikiwa sijalewa naongea point na mcheshi kwelikweli .

ila zle story zangu zakwenda ugaibun kpind hcho kutafuna papuchi siziingizi tukiongea [emoji23] mabaharia mnaelewa..tuachane na hlo hako kalikua kautani tu sitaki mtu hapa nlpo ajue Mimi na background ila yote tisa Mungu ambariki tu kwakweli

Tuachane na hayo sku nikipata mda ntaandika kwa nini niko hivi nadhani kuna somo watajifunza watu


pombe zitakuu mda si mrefu mkuu.. ukiona we ni mlevi na unaanguka na kifafa hiyo dalili tosha umezidisha Sana inaonekana hata hujali kabisa yaani huna cha kupoteza kabisa.. je Mali zako mkuu.? rafiki zako je?

nimpongeze huyo sister kwa kukusave still kuna watu wanapenda uwepo wako mkuu

siku ukiandika uzi wako nitag ningependa nijifunze nijue kisa hcho cha simanzi kilichokufanya uwe hvyo
 
pombe zitakuu mda si mrefu mkuu.. ukiona we ni mlevi na unaanguka na kifafa hiyo dalili tosha umezidisha Sana inaonekana hata hujali kabisa yaani huna cha kupoteza kabisa.. je Mali zako mkuu.? rafiki zako je?

nimpongeze huyo sister kwa kukusave still kuna watu wanapenda uwepo wako mkuu

siku ukiandika uzi wako nitag ningependa nijifunze nijue kisa hcho cha simanzi kilichokufanya uwe hvyo
Majibu yako
.Zitaenda orphanage kuchangia
.Rafiki yangu ni pombe sio watu sipendi watu
.haha unaogopa kifo kila mtu atakufa
.yes anaonekana kujali ila Kama amenipenda au wapo wanaotamani uwepo wangu imekula kwao wapambane na Hali zao waniache na mm nipambane na Hali yangu
.mwisho nikiandika nitakutag
 
Daah ni story ya kusikitisha na kuhuzunisha that's why nalewa ili niwe nasahau sometimes nalala kabisa bar nanyanyuliwa napalekwa home ..nikipata wasaa naperuzi jamii forums nkiwa kwangu nimejifungia peke angu sina mda na jirani wala watu.

Kwanzaa nimeacha assets zangu nkatoweka sjulikan nilipo na rafki nikisema ndugu nadanganya maana Mimi mwenyewe siwajui ndo nina almost 3yrs nimekuja kuishi hili eneo as ordinary person hakuna anaejua background yangu wala jina baba mwenye nyumba ananijua jina tu kodi namlipa fresh japo ananidanganya mambo mengine na michango hapo home ili kunipiga pesa Mimi Nampa tu sihoji chochote hajui nafanya kazi gan pesa natoa wapi

japo kuna sister jiran anijui jina ananiita mlevi mmoja ndo nimelipenda natumia humu ndo akiona nimechelewa kurudi atanitafuta ataomba Msaada nisaidiwe kubebwa sometimes anakuja ananisaidia kufanya usafi sometimes ananikuta asubuhi na pombe zangu kazaa mezani anazichukua anazitupa ananifokea sana sometimes ananipikia

Mara nilale kweny baraza za watu hapo nimelewa wananisachi wananichukulia phone pesaa ila hyo hainiumizi kichwa.. Pesa kwangu hazina samani ni jambo dogo.. Makaratasi.. Pesa sio kila kitu nyie jidanganyeni tu

Nalewa nazidiwa na pombe mpaka nazima kwa kifafa napelekwa hospital huyu sister sijataka kujua jina Lake namuita Miss annoying maana naona ni msumbufu ananifuatilia life langu ..well anakuja kunicheki hospital ananiletea matunda tunapiga story na nikiwa sijalewa naongea point na mcheshi kwelikweli .

ila zle story zangu zakwenda ugaibun kpind hcho kutafuna papuchi siziingizi tukiongea [emoji23] mabaharia mnaelewa..tuachane na hlo hako kalikua kautani tu sitaki mtu hapa nlpo ajue Mimi na background ila yote tisa Mungu ambariki tu kwakweli

Tuachane na hayo sku nikipata mda ntaandika kwa nini niko hivi nadhani kuna somo watajifunza watu
ukiandika naomba uni tagi mkuu
 
Daah ni story ya kusikitisha na kuhuzunisha that's why nalewa ili niwe nasahau sometimes nalala kabisa bar nanyanyuliwa napalekwa home ..nikipata wasaa naperuzi jamii forums nkiwa kwangu nimejifungia peke angu sina mda na jirani wala watu.

Kwanzaa nimeacha assets zangu nkatoweka sjulikan nilipo na rafki nikisema ndugu nadanganya maana Mimi mwenyewe siwajui ndo nina almost 3yrs nimekuja kuishi hili eneo as ordinary person hakuna anaejua background yangu wala jina baba mwenye nyumba ananijua jina tu kodi namlipa fresh japo ananidanganya mambo mengine na michango hapo home ili kunipiga pesa Mimi Nampa tu sihoji chochote hajui nafanya kazi gan pesa natoa wapi

japo kuna sister jiran anijui jina ananiita mlevi mmoja ndo nimelipenda natumia humu ndo akiona nimechelewa kurudi atanitafuta ataomba Msaada nisaidiwe kubebwa sometimes anakuja ananisaidia kufanya usafi sometimes ananikuta asubuhi na pombe zangu kazaa mezani anazichukua anazitupa ananifokea sana sometimes ananipikia

Mara nilale kweny baraza za watu hapo nimelewa wananisachi wananichukulia phone pesaa ila hyo hainiumizi kichwa.. Pesa kwangu hazina samani ni jambo dogo.. Makaratasi.. Pesa sio kila kitu nyie jidanganyeni tu

Nalewa nazidiwa na pombe mpaka nazima kwa kifafa napelekwa hospital huyu sister sijataka kujua jina Lake namuita Miss annoying maana naona ni msumbufu ananifuatilia life langu ..well anakuja kunicheki hospital ananiletea matunda tunapiga story na nikiwa sijalewa naongea point na mcheshi kwelikweli .

ila zle story zangu zakwenda ugaibun kpind hcho kutafuna papuchi siziingizi tukiongea [emoji23] mabaharia mnaelewa..tuachane na hlo hako kalikua kautani tu sitaki mtu hapa nlpo ajue Mimi na background ila yote tisa Mungu ambariki tu kwakweli

Tuachane na hayo sku nikipata mda ntaandika kwa nini niko hivi nadhani kuna somo watajifunza watu
Aisee

Pole
 
"Yaani we mwanaume usingenioa ningekuwa kichaa. Nimeolewa na dawa. Nikijisikia maumivu natamani nikuone ili maumivu yaishe" ... bibi yenu.

Kwanini nisiwe aspirin? Wakati anatamka maneno hayo dawa pekee ya kutuliza maumivu ilikuwa aspirin (wengi hapa baba zenu walikuwa hawajazaliwa, najua kwakuwa nilikuwa boyfriend wa bibi zenu)

Sky Eclat hebu njoo hapa uthibitishe hii kauli kabla sijabadili mawazo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] babu bhana
 
Back
Top Bottom