Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ulidhani peponi kuna matanga?- Kule ni rahaSheikh usisahau kipozeo amesema pia kutakua na pombe.
In short uislam unasema kwamba peponi kutakua na casino.
Pombe + wanawake ndio ingredients za casino. (With an ever erect penis)
Kwahiyo nikotaka bikira 80 napata ingawa tmeahidiwa bikira 72Qur'an 43:71..watu watapata watakacho,so mwanamke atapata atakachotaka...akitaka kong'oteo atapata,huelewi nini
Akitaka hao bikira 73 na yeye ni mwanamke inakuajeQur'an 43:71 inasema watu watapata watakacho humo peponi,so mwanamke atapata anachotaka
Bora usiende usiniwekee kiwingu kwa bikira 72Kwanza kama ulikua uko swafi huku duniani, means unampenda mumeo huyohuyo, hujqwah kucheat, hujui kula riba, unamsikiliza mumeo peponi unaenda na unakua mzuri zaidi kuliko hao mahurul'ain nakati ya hao wanwake watakaopewa wanaume peponi kama uko kundi hili unaweza kuendelea na mumeo wa duniani
Lakini kwa sababu sisi wanawake kusengenya sisi, kufitini sisi wengi wetu ndio tutakua kuni
Naruhusu kusahihishwa.
hakuna lesbian peponiAkitaka hao bikira 73 na yeye ni mwanamke inakuaje
Bahati mbaya umevamia na kuandika usichokijua. Kuwa huru kuandika lolote siyo sababu ya kuonyesha ujinga na upumbavu mbele wa watu wazima.View attachment 2520162
Mbona tofauti yenu ndogo. Wewe umeweka avatar ya zezeta yeye kaweka ya kwake anayesubiria wanawake 72.
😀😀😀😀😀😀Ha ha haa, utabadili dini mm nitakuwepo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyinyi mtakuwa wasaidizi wa kazi za ndani... Wakati tunanyanduana na mademu zetu huko majuu nyinyi mtakuwa nje mkifua na kufagia bustani
Furesh tuSingle mother
Wamesema unapata unachokitaka,labda wabadili kaulihakuna lesbian peponi
mkuu, kama ulikua umeoa na ukaishi na mkeo kimsingi wa dini inavyotaka bas ukimuomba Mungu utakapokua peponi uendelee na mkeo wa duniani ruksa kila uombacho peponi unapewa without hesitation.Bora usiende usiniwekee kiwingu kwa bikira 72
Kwamba Allah kazi yake itakuwa kukagua kama shughuri inaenda kama alivyopanga! Ni pombe na mabikira.Hiyo pepo itakua kama danguro,ni mwendo wa kunyanduana tu huku alla akishuhudia mitanange ya waumini wake,nadhani na tuzo zitakua zinatolewa.
Inaelekea tafakuri na uelewa kwako shidaAkitaka hao bikira 73 na yeye ni mwanamke inakuaje
Hakuna sehemu Qur'an imeahidi bikira 72,Bali imeahidi wanawake bikira waliotwaharika bila kutaja idadiKwahiyo nikotaka bikira 80 napata ingawa tmeahidiwa bikira 72
Kati ya gesti na sehemu za kuuza pombe zipi nyingi!?...Pombe NO!... Labda kula, kunya, kulala na kugongana njunju au mbususu.
Qur'an haijataja taja idadi ya hao bikira,mwanamke atapata akitakacho, Qur'an 43:71Kwahiyo mwanamke naye atapewa wanaume marijali 72 na mito ya pombe kama mwanaume alivyoahidiwa??
Dah, uelewa wako uko vipi!?Wanaume wametajiwa watakavyopata! Je wanawake? Wao zawadi zao hazijaainishwa?