Je, Kanisa Katoliki ndiye mnyama wa nne duniani wa Unabii wa Daniel na Ufunuo?



Hili somo ni JEPESI SANA nitakuelekeza inbox kwako.
Ila kwa sasa nitakuelekeza Yesu alifufuka siku ya kwanza ya Juma.

SIKU YA KWANZA YA JUMA AMBAYO HUWA MNASHEHEREKEA PASAKA KILA MWAKA NI JUMAPILI.

Hata sabato ilipokwisha, ikipambazuka siku ya kwanza ya juma, Mariamu Magdalene, na Mariamu yule wa pili, walikwenda kulitazama kaburi.
Mathayo 28:1

Walipokwenda kutizama kaburi hawakumkuta Yesu walikuta amefufuka.

Kuhusu siku SIKU NI ZILE ZILE 30.
MWEZI MMOJA UNA SIKU 30.

HIZI kalenda za gregolian walipunguza siku na kuongeza kwa matakwa Yao binafsi..

Ukiona siku 28 ujue Mungu wao mwanamke anakuwa kwenye siku ZAKE..

Ila nitakuelekeza vizuri I hop utaenjoy na utanielewa
 


Pole sana rafiki Nina kazi nzito ya kukuelekeza ila utanielewa.

Nitakupa masomo utasoma na I hop UTAELEWA TU brother.
 
Hizi ndiyo mind zinazo dig deep hata mimi naamini almost wengi tunaabudu tusichokijua hilo 666 ni mfumo ulioharibu kabisa Imani ya kweli.
Pole sana rafiki Nina kazi nzito ya kukuelekeza ila utanielewa.

Nitakupa masomo utasoma na I hop UTAELEWA TU brother.
Na mkitaka kujua 666 ina maanisha mnyama yupi katika Biblia (Ufunuo 13:18) basi ni Kaisari Nero. Ikiandikwa Kiebrania herufi zake zikipewa namba na kujumlishwa huja 666. Pia soma hapa:

The letters in Greek for “Nero” (Neron) add up to 1005. However, if the Greek letters for Nero Caesar (Neron Kaisar) are transliterated into Hebrew (nrwn qsr), the letter numbers add up to 666 (50 + 200 + 6 + 50 + 100 + 60 + 200 = 666).

Na utabiri huo wa Ufunuo ulishatimia!
 
Mbona unawashambulia wasabato.

Ingependeza kama ungejega hoja zenye ushahidi wa VITABU.

Nasikitika hata AMRI za Mungu huzijui masikini

UKRISTO SI LELEMAMA.
UKRISTO NI KUJIKANA KUCHUKUA MSALABA NA KUMFUATA YESU KILA SIKU. KWA UKAMILIFU WOTE .
Wewe mbona unashambulia wakatoliki!!?? Wasabato sio Wakristo ... Hamfuati mafundisho yake mnakuwaje Wakristo!!?
 
Wewe mbona unashambulia wakatoliki!!?? Wasabato sio Wakristo ... Hamfuati mafundisho yake mnakuwaje Wakristo!!?

MAFUNDISHO ya Yesu yasiyofuatwa na wasabato ni yepi mkuu.

Mi nadhani ingependeza ungekuwa unakuja na hoja kamili kuliko kurukaruka.

Leta hoja JINSI wasabato wanavyoasi Mafundisho ya Bwana Yesu kristo.
 
Mnavyozidi kutusema, sisi wala hatujali..!! Nyie semeni, sisi ikifika Dominika tunaenda zetu kanisani, baada ya hapo tunaenda kwenye kitimoto na bia, then tunarudi home kupumzika. Ukitaka kujiunga na sisi, we tafuta kanisa lilipo kajieleze utaingia, hutaki tunakuacha na tunaendelea na maisha yetu..!! Wewe toa povu la foma gold sisi tunaendelea na maisha yetu ya ukatoliki..!!
 
MAFUNDISHO ya Yesu yasiyofuatwa na wasabato ni yepi mkuu.

Mi nadhani ingependeza ungekuwa unakuja na hoja kamili kuliko kurukaruka.

Leta hoja JINSI wasabato wanavyoasi Mafundisho ya Bwana Yesu kristo.
Tuanzie tu na EKARIST vipi mnakomunika kama makanisa mengine yote ya Kikristo !!
 
Ulichokiandika hapa ni mahubiri kama yale ya kanisani yanayoitwa DOGMA kuaminishana vitu vya uongo

Ila nashukuru umekubali kuwa Yesu dini yake sio ukristo

Kwahiyo hata wanafunzi wake hakuwafundisha dini ya ukristo Kwa sababu yeye mwenyewe haijui

Swali lipo pale pale wewe dini ya ukristo umeipata wapi?

Ni nani aliyekuambia uwe mkristo na ibada yako uifanyie kanisani ukiwa umepiga magoti na Padre akiwa mbele yenu anaongoza ibada?


Haya ni maneno ya mwisho Yesu aliwambia wanafunzi wake

Yesu akisikitika kuwa wanafunzi wake watatengwa na masinagogi na hao watakao watenga watafanya hayo Kwa kuwa hawamjui Yesu Wala Mungu

Yohana 16:1
Maneno hayo nimewaambia, msije mkachukizwa.
Yohana 16:2
Watawatenga na masinagogi; naam, saa yaja atakapodhania kila mtu awauaye ya kuwa anamtolea Mungu ibada.
Yohana 16:3
Na hayo watawatenda kwa sababu hawakumjua Baba wala mimi.
Yohana 16:4
Lakini nimewaambia hayo, ili makusudi saa ile itakapokuja myakumbuke ya kuwa mimi naliwaambia. Sikuwaambia hayo tangu mwanzo, kwa sababu nalikuwapo pamoja nanyi.
Yohana 16:5
Lakini sasa mimi naenda zangu kwake yeye aliyenipeleka, wala hakuna mmoja wenu aniulizaye, Unakwendapi?


Hao waliowatenga wanafunzi wa Yesu na Masinagogi na kuwauwa ndio walioianzisha dini ya ukristo na ndio huyo mnyama 666
 
Kwani Yesu alianzisha Usabato? Unafikiri Yesu na wafuasi wake (wakristo) walikuwa wanafanya kusanyiko kila Jumamosi?
 
Kwani Yesu alianzisha Usabato? Unafikiri Yesu na wafuasi wake (wakristo) walikuwa wanafanya kusanyiko kila Jumamosi?
Sabato sio dini sabato ni siku ya ibada
Na Yesu alikuwa anafanya ibada siku hiyo ya Jumamosi

Luka 4:16
Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; na siku ya sabato akaingia katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake, akasimama ili asome.
Luka 4:17
Akapewa chuo cha nabii Isaya, akakifungua chuo, akatafuta mahali palipoandikwa,
Luka 4:18
Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa,


Jibu maswali Kwa maandiko

1)Wewe ukristo umeupata wapi wakati Yesu na wanafunzi wake dini Yao haikuwa ukristo?

2)Nani aliyekuambia ufanye ibada kanisani ukiwa umepiga magoti na ibada iongozwe na Padre ?

3)Nani aliyekuambia Jumapili ni siku ya kufanya ibada

Ili tujue kuwa wewe sio zao la mnyama 666
 
Tuanzie tu na EKARIST vipi mnakomunika kama makanisa mengine yote ya Kikristo !!


Unareference ya Bible???

Naomba uwe unakuja na refence za bible.

MATHAYO 15:8.

Watu hawa huniheshimu kwa midomo; Ila mioyo yao iko mbali nami.
Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu.

USILETE MAFUNDISHO YA WANADAMU LLETE BIBLIA.
 
Tuanzie tu na EKARIST vipi mnakomunika kama makanisa mengine yote ya Kikristo !!
Ekaristi Ni mapokeo ya Upagani


Alichoacha Yesu alisema tumege mkate na kutawazana Kama Yeye na wanafunzi wake


Waadventista wanafanya hivo
 
Ngoja kwanza wafausi wa paulo waparuane nipo hapa na 🍿
 
UNAPOTOSHWA NA WEWE UNAPOTOSHA

KUTOKUJUA MAANDIKO KUMEWAFANYA MNAUZIWA MAFUTA ,MAJI NA UDONGO



[https://www]

Log in

Habari na Hoja mchanganyiko

Wakristo wasio Wasabato wanaruhusiwa kula paka, panya, kobe, kinyonga, kenge, kunguru, nyani, n.k?

Thread starterNetMaster

Start dateNov 11, 2022

Tagskula mbwa nyani panya punda wakristo wasabato

1 of 7Next Last

NetMaster

JF-Expert Member

Nov 11, 2022

#1

Kwa kuwa sisi ni wakristo ni kwamba sisi tunafata nyayo za Yesu Kristo. Ni vipi kitu ambacho hakusema Yesu Kristo kinawekewa mabano ya kuweka uchambuzi wa maono ya waliotafsiri biblia? mbaya zaidi kuna biblia hata hayo mabano hayamo, uchambuzi umeunganishwa kuonekana ni maandiko matakatifu yaliyokuwemo kwenye biblia.

Kimuingiacho mtu hakimtii unajisi ni jibu alilotoa Yesu baada ya kuulizwa kwanini wanafunzi wake waliokuwa na njaa walikula mahindi wakiwa njiani bila kuosha mikono, kwa sheria walizojiwekea viongozi wa mda huo waliona kwamba kula bila kuosha mikono kunamtia mtu unajisi, Yesu ndipo akawasahisha kwamba sheria zao hazipo sawa na kwamba kula bila kuosha mikono hakumtii mtu unajisi. Sasa je, hapa kulikuwa na haja ipi ya watafsiri kuongeza maneno yao kwamba maana yake ilikuwa ni karuhusu kula vyakula ambavyo havikutakaswa kama mijusi, kenge na nguruwe wakati kilichokuwa kinazungumziwa ni kula bila kuosha mikono?

Wasabato walipuuzia hayo mabano maana hayakuwa maneno ya Yesu na kazi ya watafsiri sio uchambuzi, Wakristo wengine wakadhani ni Yesu kawapa kibali wakaona ni ruksa ya kula chochote.

Sasa najiuliza kwamba mbwa, konokono, vinyonga, kunguru, paka, chunusi, kobe, n.k wanaweza kuliwa?

Mfano kuna samaki na wanyama wana sumu ama huleta madhara wakiliwa na wakawekwa kwenye kundi la vyakula visivyofaa, Mungu alikosea kusema hawatakiwi kuliwa?

Halafu pia nashangaa Biblia za sikuhizi za kiswahili zimeunganisha hayo maneno bila kuweka mabano, ni wazi kabisa wakristo wengi wanaamini haya maneno yalikuwemo bila kujua kuna uhuni umefanyika kuyaunganisha, maskini mweee! Mtu anabisha mpaka mishipa inamtoka shingoni kwasababu ya mistari iliyopachikwa ambayo haikuwahi kuwepo, ni ujanja ujanja tu ukafanyika kupachika.



Reactions:makwega7, Interlacustrine E, mkwepu jr and 1 other person

NetMaster

JF-Expert Member

Nov 11, 2022

#2

Kwa kuwa sisi ni wakristo ni kwamba sisi tunafata nyayo za Yesu Kristo, Ni vipi kitu ambacho hakusema Yesu Kristo kinawekewa mabano ya kuweka uchambuzi wa maono ya waliotafsiri biblia ? mbaya zaidi kuna biblia hata hayo mabano hayamo, uchambuzi umeunganishwa kuonekana ni maneno ya Yesu Kristo.

Kimuingiacho mtu hakimdhuru ni jibu alilotoa Yesu baada ya kuulizwa kwanini wanafunzi wake waliokuwa na njaa walikula mahindi wakiwa njiani bila kuosha mikono, Je hapa kulikuwa na haja ipi ya watafsiri kuweka kwenye mabano kwamba maana yake ilikuwa ni kwamba Yesu karuhusu kula nguruwe wakati kilichokuwa kinazungumziwa ni kula mahindi bila kuosha mikono ??



Reactions:mkwepu jr

hamis77

JF-Expert Member

Nov 11, 2022

#3

Hakuna mabano katika Hilo andiko,yanayoruhusu kula kila kitu ila Wachungaji fake na manabii wauongo matapeli Kama kina mwamposa wasiojua maandiko ndio wanapotosha tafsiri , hata mwakasege anayesifiwa bado biblia inampiga chenga ,maana alifundishwa hivo

Hilo andiko Wala halina mabano ya kuruhusu Kula Mende,kenge,n.k hata wewe umeingia kwenye mtego was kina mwamposa , gwajima,n.k

BIBLIA HUMAANISHA NINI INAPOSEMA KIMUINGIACHO MTU AKIMTII UNAJISI BALI KIMTOKACHO?

Ni jambo gani ambalo Biblia inasema katika Marko 7:15-23?
Biblia Inasema

"Hakuna kitu kilicho nje ya mtu ambacho kikimwingia chaweza kumtia unajisi, bali vile vimtokavyo, ndivyo vimtiavyo unajisi yule mtu. [Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.]


Hata alipoingia nyumbani, ameuacha mkutano, wanafunzi wake wakamwuliza habari za ule mfano.
Akawaambia, Hivi hata ninyi hamna akili? Hamfahamu ya kwamba kila kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia, hakiwezi kumtia unajisi;
kwa sababu hakimwingii moyoni, ila tumboni tu; kisha chatoka kwenda chooni? Kwa kusema hivi alivitakasa vyakula vyote.
Akasema, Kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi.
Kwa maana ndani ya mioyo ya watu hutoka mawazo mabaya, uasherati,
wivi, uuaji, uzinzi, tamaa mbaya, ukorofi, hila, ufisadi, kijicho, matukano, kiburi, upumbavu.
Haya yote yaliyo maovu yatoka ndani, nayo yamtia mtu unajisi."(Marko 7:15-23).
Sasa shida inayokuja hapa watu wameshikilia kula vyakula najisi kuwa ni halali kama vile kitimoto na kambare na wanasema inahusisha mwili tu, wanasahau Kuwa kukaidi agizo la Mungu ni matokeo ya uasi ambao uanzia kwenye maamuzi, Lakini pia wanasahau kuwa Yesu ametaja na mambo mengine yanayoweza kumtia mtu unajisi, kama vile ufisadi, uuaji, uzinzi, wivi, je hivi vinausisha roho tu? Je havina matokeo yoyote kwenye mwili kiasi cha mwili kuhusishwa? Inabidi wafikilie upya.

Katika Marko 7:15-23, Yesu hatamki kwamba mtu anaweza kula kitu chochote. Baadhi ya vyakula na vinywaji havistahili na pia vinafisha, na vingine ni hatari kabisa kwa afya. Angalia katika (Walawi 11:2-23) kwa ajili ya orodha ya wanyama, ndege, samaki, na wadudu wasiofaa kuliwa.

Anachoelekeza Yesu hapa ni imani kuwa endapo Myahudi mtaua (mcha Mungu kwelikweli) akifuata tu sheria za usafi wa taratibu za kidini atakuwa safi kimaadili/kiroho. Kwa upande mwingine, hakuna chakula ambacho kwa chenyewe kinaweza kuinajisi tabia ya mtu. Kinachonajisi ni mawazo maovu (ambayo hujitokeza kwa ndani na kujidhihirisha katika matendo ya nje). Ndiyo maana Biblia inatuambia, “Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo; Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.” (Mithali 4:23)

Hapa Yesu hasemi kuwa vyakula vyote vinaruhusiwa au vinafaa kuliwa. Yesu anatumia vitendo vya nje vya kuosha mikono na kula kama kielelezo cha matendo ya nje ili kuweza kutofautisha na hali ya moyoni. Yesu hugeuza mtazamo wa walimu wa sheria, waliingiza mapokeo ambayo hayakuwa agizo la Mungu, miongoni mwa mapokeo hayo ni kunawa hadi kwenye kiwiko Kabla ya kula Biblia Inasema "Kwa maana Mafarisayo na Wayahudi wote wasiponawa mikono mpaka kiwiko, hawali, wakishika mapokeo ya wazee wao;" (Marko 7:3). Kwa hiyo hata kama ungekula chakula ambacho sio najisi kwao walikiita najisi kwa sababu tu haujanawa hadi kwenye kiwiko, na Habari hizi zilizua mjadala baina ya Yesu na mafarisayo na kuamua kuwaambia ukweli, Biblia Inasema "Akawaambia, Isaya alitabiri vema juu yenu ninyi wanafiki, kama ilivyoandikwa,Watu hawa huniheshimu kwa midomoIla mioyo yao iko mbali nami;
Nao waniabudu bure,Wakifundisha mafundishoYaliyo maagizo ya wanadamu," (Marko 7:6-7).

Basi ingekuwa vyema kwa kila msomaji wa maandiko kutambua kuwa mgogoro ulianzia nyuma kwenye kutokunawa hadi kwenye kiwiko mpaka Yesu anafikia hatua ya kusema "kimuingiacho mtu akimtii unajisi, bali kimtokacho" mawazo ya mafarisayo yalishatiwa unajisi,
walikuwa wamejikita katika mambo ya nje, wakati Yesu alisisitiza matendo ya ndani ya roho, hali ya kimaadili/kiroho. Ni rahisi kudumisha hali ya nje ya kuwa Mkristo kwa kile tunachofanya au tusichofanya. Hata hivyo, wakati ambapo wanadamu huangalia nje, Mungu huangalia hadi ndani ya moyo hupima nia ya makusudi yanayosukuma matendo yetu. (Angalia pia Mwanzo 1:29-30; Matendo 10; 1 Wakorintho 10:31).

Roho Mtakatifu akusaidie kuelewa hili.
 
Zimewekwa hoja ,zipinge kwa hoja ,wewe unasema hawana akili

Huoni wewe ndio huna akili
hizo siku za mwisho[nje kidogo ya mada]
'' hutaweza kuuza wa kununua bila chapa ya huyo myama 666'' Huu wakati hatujaufikia au ulipita? je unaamini papa atakujafanya hivyo? je nabii wa uongo atakua nani au ni nani? nieleweshe hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…