Hakuna siku ya shetani hata moja! Siku zote zimeumbwa na Mungu. Ni kufuru kubwa kufikiri Jumapili ni siku ya Mungu wa jua.endelea kula nguruwe, na kuabudu siku ya jua siku ya mnyama na sanamu yake, wacha wasabato waitunze sabato ya MUNGU
Mungu kasema usile nguruwe ni najisi wewe unasema utamaduniHakuna siku ya shetani hata moja! Siku zote zimeumbwa na Mungu. Ni kufuru kubwa kufikiri Jumapili ni siku ya Mungu wa jua.
Suala la nguruwe ni utamaduni wa watu wa uarabuni hata waarabu na waislamu hawali nguruwe, na haiwafai kitu ni utamaduni tu.
Acheni upotofu wa kufikiri mnyama ni papa, mnyama ni shetani na sio binadamu.
Ndio maana nasema wasabato sio wakristo kwa maana Yesu alishasema sio kimwingiacho mtu ndio kinamtia unajisi bali kimtokacho mtu. Wasabato bado mnaamini mambo ya Agano la kale kuhusu unajisi wa vyakula?!Mungu kasema usile nguruwe ni najisi wewe unasema utamaduni
Sasa hiyo ni ibada ya Roman Catholic na sio mafundisho ya YesuUsibadilishe maelezo, Mimi nilisema Walokole wanashiriki kama Wakatoliki na Walutheri, hakuna mahala nimesema wanaoshana miguu
Onesha niliposema hivyo!!!
Ndio maana nasema wasabato sio wakristo kwa maana Yesu alishasema sio kimwingiacho mtu ndio kinamtia unajisi bali kimtokacho mtu. Wasabato bado mnaamini mambo ya Agano la kale kuhusu unajisi wa vyakula?!
KUPITIA maandiko ya Paulo utakutana WALOKOLE wanayasoma na kufungua makanisa na Vioski vya kutapelia watu kwa kuwauzia Mafuta ,udongo, keki, leso na kuibuka na mafundisho Kama kunena kwa Lugha kwa kufokafoka ,kula nguruwe wakidai Paulo karuhusu ,n.k kitu ambacho sio kweli .Hakuna siku ya shetani hata moja! Siku zote zimeumbwa na Mungu. Ni kufuru kubwa kufikiri Jumapili ni siku ya Mungu wa jua.
Suala la nguruwe ni utamaduni wa watu wa uarabuni hata waarabu na waislamu hawali nguruwe, na haiwafai kitu ni utamaduni tu.
Acheni upotofu wa kufikiri mnyama ni papa, mnyama ni shetani na sio binadamu.
SIKU YA KIAMA ,M/MUNGU KAAHIDI MOTO MKALI KWA WALA NGURUWE NA MACHUKIZO MENGINESabato sio kwa ajili ya Sabato ni kwa ajili ya kumwabudu Mungu. Mnaofikiri Mungu anaabudiwa Sabato pekee basi ni tatizo kubwa katika imani yenu. Nguruwe pia ni kitu kinachowafanya muwe kama waislamu tu, watu wa kimwili zaidi.
Wakristo kwa mujibu wako Ni wale wanaobadili Amri za Mungu ,kuabudu na kuchonga masanamu, kula kenge,nguruwe, mende ,kuuza Mafuta, udongo,keki,leso kwa mgongo vina upako ,ibada za kipagani ,x mass paganism,Easter paganism,Dominica paganism, n.kNdio maana nasema wasabato sio wakristo kwa maana Yesu alishasema sio kimwingiacho mtu ndio kinamtia unajisi bali kimtokacho mtu. Wasabato bado mnaamini mambo ya Agano la kale kuhusu unajisi wa vyakula?!
Inashangaza sana jinsi mnavyoendelea kujishika na Agano la kale! Kuna mambo tele ya Agano la kale hamyashiki mmekuja kujichagulia vifungu flani flani mnavishika. Mfano Kutoka 22: 1-28 zipo sheria nyingi tu za kale je mnazifuata kama zilivyo leo?SIKU YA KIAMA ,M/MUNGU KAAHIDI MOTO MKALI KWA WALA NGURUWE NA MACHUKIZO MENGINE
Dhambi ya USHOGA Ni Sawa na DHAMBI ya kula Nguruwe ,panya,kenge ,na najisi nyingine, HIVO JIANGALIE UNPOWANYOOSHEA KIDOLE MASHOGA ,JUA MPO KUNDI MOJA KWA MUJIBU WA MAANDIKO
USHOGA NI NAJISI, NGURUWE NI NAJISI ,PANYA NI NAJISI, KENGE NI NAJISI, N.K
Nakupa Ushahidi wa kiamaandiko
Makosa ya kawaida Mungu anayaita Dhambi , ila Yale najisi anayaita MACHUKIZO ,
Ulaji Nguruwe unaitwa MACHUKIZO
Wakawi 11
7 Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
20 Tena vyote vitambaavyo vyenye mabawa viendavyo kwa miguu minne, hivi ni machukizo kwenu
KWA NABII ISAYA ANA GRUOP PIA ULAJI NAJISI KAMA MACHUKIZO
Isa 66:17 Watu wale wajitakasao, na kujisafisha katika bustani, nyuma ...
... wakila nyama ya nguruwe, na MACHUKIZO, na panya; watakoma pamoja, asema BWANA
USHOGA NI MACHUKIZO
Law 18:22
. Usilale na mwanamume mfano wa kulala na mwanamke; ni MACHUKIZO.
UMEONA KUNA DHAMBI NA MACHUKIZO
MUNGU anapozungumzia NAJISI ANAZIITA MACHUKIZO ,
USHOGA NA ULAJI NAJISI(NGURUWE,KENGE,N.K) NI SAWA
Kwa Mungu wote adhabu Ni moja
Ni taswira tu hesabu ya kuzidisha muda mwingine majib hufanana na hesabu ya kujumlisha ila muda mwingine majib hutofautiana mbali saana mfanooSIKU YA KIAMA ,M/MUNGU KAAHIDI MOTO MKALI KWA WALA NGURUWE NA MACHUKIZO MENGINE
Dhambi ya USHOGA Ni Sawa na DHAMBI ya kula Nguruwe ,panya,kenge ,na najisi nyingine, HIVO JIANGALIE UNPOWANYOOSHEA KIDOLE MASHOGA ,JUA MPO KUNDI MOJA KWA MUJIBU WA MAANDIKO
USHOGA NI NAJISI, NGURUWE NI NAJISI ,PANYA NI NAJISI, KENGE NI NAJISI, N.K
Nakupa Ushahidi wa kiamaandiko
Makosa ya kawaida Mungu anayaita Dhambi , ila Yale najisi anayaita MACHUKIZO ,
Ulaji Nguruwe unaitwa MACHUKIZO
Wakawi 11
7 Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
20 Tena vyote vitambaavyo vyenye mabawa viendavyo kwa miguu minne, hivi ni machukizo kwenu
KWA NABII ISAYA ANA GRUOP PIA ULAJI NAJISI KAMA MACHUKIZO
Isa 66:17 Watu wale wajitakasao, na kujisafisha katika bustani, nyuma ...
... wakila nyama ya nguruwe, na MACHUKIZO, na panya; watakoma pamoja, asema BWANA
USHOGA NI MACHUKIZO
Law 18:22
. Usilale na mwanamume mfano wa kulala na mwanamke; ni MACHUKIZO.
UMEONA KUNA DHAMBI NA MACHUKIZO
MUNGU anapozungumzia NAJISI ANAZIITA MACHUKIZO ,
USHOGA NA ULAJI NAJISI(NGURUWE,KENGE,N.K) NI SAWA
Kwa Mungu wote adhabu Ni moja
Paulo ndio anawaruhusu kula hiki na kuacha kile? Mfuateni Yesu Kristo sio Paulo.KUPITIA maandiko ya Paulo utakutana WALOKOLE wanayasoma na kufungua makanisa na Vioski vya kutapelia watu kwa kuwauzia Mafuta ,udongo, keki, leso na kuibuka na mafundisho Kama kunena kwa Lugha kwa kufokafoka ,kula nguruwe wakidai Paulo karuhusu ,n.k kitu ambacho sio kweli .
Mnajifanya Mnatumia AGANO JIPYA TU ,Inashangaza sana jinsi mnavyoendelea kujishika na Agano la kale! Kuna mambo tele ya Agano la kale hamyashiki mmekuja kujichagulia vifungu flani flani mnavishika. Mfano Kutoka 22: 1-28 zipo sheria nyingi tu za kale je mnazifuata kama zilivyo leo?
Kutoka 22: 18. Muuwe mwanamke yeyote anayefanya uchawi. Je mnafanya hivyo? Jueni kwamba Yesu hakuja kutuletea sheria kama hizi, alileta msamaha na upendo. Mambo ya vitu najisi ni mambo ya Agano la kale. Hatunajisiki kwa kula au kunywa. Sio kimwingiacho mtu kinamtia unajisi bali kimtokacho mtu. Mbona nyie wasabato bado mpo Agano la kale?
18 "Put to death any woman who does evil magic.
19 "Put to death anyone who has sexual relations with an animal.
20 "Destroy completely any person who makes a sacrifice to any god except the Lord.
Hakuna SEHEMU YESU karuhusu ule kenge ,nguruwe, mende, mbwaPaulo ndio anawaruhusu kula hiki na kuacha kile? Mfuateni Yesu Kristo sio Paulo.
Huwa nawashangaa Sana ,mtu anatokwa povu anasema MASHOGA WAUWAWENi taswira tu hesabu ya kuzidisha muda mwingine majib hufanana na hesabu ya kujumlisha ila muda mwingine majib hutofautiana mbali saana mfanoo
2x2=4
2+2=4
Huu ni mfano wa majibu ya kufanana kwa njia tofaut lkn muda mwingine unaweza kutumia hesabu ile ile na ukapata majib tofaut saaana mfanoo
7x7=49
7+7=14
Dah ama kweli maisha ni jinsi utakavyoo
utakavyoo NIACHENI NA UPUMBAVU WANGU.
Kwani ni wapi tumeruhusiwa kula ndizi au mbogo, tembo, na twiga? Acheni sheria za kale hatuwi najisi kwa chakula Yesu alishasema vyakula vyote ni halali na twapasa kumshukuru Mungu kwavyo. Wasabato bado ni kama Wayahudi wa zamani.Hakuna SEHEMU YESU karuhusu ule kenge ,nguruwe, mende, mbwa
Ni uroho wenu na kutokuelewa Maandiko na kudanganywa na matapeli Kama kina mwamposa
Hakuna Sehemu Yesu karuhusu ule uchafuKwani ni wapi tumeruhusiwa kula ndizi au mbogo, tembo, na twiga? Acheni sheria za kale hatuwi najisi kwa chakula Yesu alishasema vyakula vyote ni halali na twapasa kumshukuru Mungu kwavyo. Wasabato bado ni kama Wayahudi wa zamani.
Wewe nawe na biblia yako hiyo, inakufanya unakuwa mjinga, we unajua kwann waliambiwa wasile? Kwahyo wasiojua kusoma hiyo Bible kama wahadzabe wanaokula nyani watachomwa moto?Huwa nawashangaa Sana ,mtu anatokwa povu anasema MASHOGA WAUWAWE
Wakati Maandiko yanasema WALA NGURUWE NI MACHUKIZO KWA MUNGU
MASHOGA NI MACHUKIZO KWA MUNGU
Mashoga = Wala nguruwe,kenge,mende ,na najisi nyingine
Kumbe wewe kuwa choko Ni maadiliWewe nawe na biblia yako hiyo, inakufanya unakuwa mjinga, we unajua kwann waliambiwa wasile? Kwahyo wasiojua kusoma hiyo Bible kama wahadzabe wanaokula nyani watachomwa moto?
Swala la ushoga ni issue ya maadili sio Dini wala biblia
Ni kwa sababu hao wanyama hawana kwato, kwani kuku wana kwato, mbona mnakula kuku?Hakuna Sehemu Yesu karuhusu ule uchafu
Labda yule Yesu wa Kenya
Tatizo unafikiria Biblia iliandikwa na Mungu. Biblia inaitwa neno la Mungu kwa sababu yaliyomo humo yamekusudiwa kuleta mahusiano chanya na Mungu. Vitu vingine waandishi Wa Biblia waliandikia hata mila na desturi zao wale waliowaandikia. Na mambo hayo leo wewe kama Mtanzania hayakufai. Ndio kisa nikasema kama haukubaliani na ukweli huo basi fuata sheria zote 39 za sabato ikiwemo wallowaandikia. Na mambo hayo leo wewe kama Mtanzania hayakufai. Ndio kisa nikasema kama haukubaliani na ukweli huo basi fuata sheria zote 39 za sabato ikiwemo kutupa jiwe kama determinant ya umbali wa kutembea siku ya sabato au uwe unaadhimisha sabato za miaka 7 na miaka 49.Kumbe wewe kuwa choko Ni maadili
Unajua MUNGU alichoma Moto Hadi leo Kuna ushahidi pale bahari mfu na nyasi hazioti sababu ya Uchoko
Biblia imeandika hivo
Hao wahdzabe wako watahukumiwa kwa nuru waliyopata
Wewe endelea Kula mende, kenge ,panya ,nyama ya binadamu