Je, Kanisa Katoliki ndiye mnyama wa nne duniani wa Unabii wa Daniel na Ufunuo?

Je, Kanisa Katoliki ndiye mnyama wa nne duniani wa Unabii wa Daniel na Ufunuo?

endelea kula nguruwe, na kuabudu siku ya jua siku ya mnyama na sanamu yake, wacha wasabato waitunze sabato ya MUNGU
Hakuna siku ya shetani hata moja! Siku zote zimeumbwa na Mungu. Ni kufuru kubwa kufikiri Jumapili ni siku ya Mungu wa jua.

Suala la nguruwe ni utamaduni wa watu wa uarabuni hata waarabu na waislamu hawali nguruwe, na haiwafai kitu ni utamaduni tu.

Acheni upotofu wa kufikiri mnyama ni papa, mnyama ni shetani na sio binadamu.
 
Hakuna siku ya shetani hata moja! Siku zote zimeumbwa na Mungu. Ni kufuru kubwa kufikiri Jumapili ni siku ya Mungu wa jua.

Suala la nguruwe ni utamaduni wa watu wa uarabuni hata waarabu na waislamu hawali nguruwe, na haiwafai kitu ni utamaduni tu.

Acheni upotofu wa kufikiri mnyama ni papa, mnyama ni shetani na sio binadamu.
Mungu kasema usile nguruwe ni najisi wewe unasema utamaduni
 
Mungu kasema usile nguruwe ni najisi wewe unasema utamaduni
Ndio maana nasema wasabato sio wakristo kwa maana Yesu alishasema sio kimwingiacho mtu ndio kinamtia unajisi bali kimtokacho mtu. Wasabato bado mnaamini mambo ya Agano la kale kuhusu unajisi wa vyakula?!
 
Usibadilishe maelezo, Mimi nilisema Walokole wanashiriki kama Wakatoliki na Walutheri, hakuna mahala nimesema wanaoshana miguu

Onesha niliposema hivyo!!!
Sasa hiyo ni ibada ya Roman Catholic na sio mafundisho ya Yesu

Roman Catholic Ni KAHABA MKUU na Mabint zake ndio hao wanaofata mafundisho yake Roma
 
Ndio maana nasema wasabato sio wakristo kwa maana Yesu alishasema sio kimwingiacho mtu ndio kinamtia unajisi bali kimtokacho mtu. Wasabato bado mnaamini mambo ya Agano la kale kuhusu unajisi wa vyakula?!

Tatizo mnasoma BIBLIA Kama Gazeti, ndio maana mtaendelea kuibiwa na kuuziwa Maji, Mafuta ,udongo na matapeli kina Mwamposa Hadi mnaingia kaburini maana Hamchunguzi Maandiko



BIBLIA HUMAANISHA NINI INAPOSEMA KIMUINGIACHO MTU AKIMTII UNAJISI BALI KIMTOKACHO?

Ni jambo gani ambalo Biblia inasema katika Marko 7:15-23?


Biblia Inasema

"Hakuna kitu kilicho nje ya mtu ambacho kikimwingia chaweza kumtia unajisi, bali vile vimtokavyo, ndivyo vimtiavyo unajisi yule mtu. [Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.]


Hata alipoingia nyumbani, ameuacha mkutano, wanafunzi wake wakamwuliza habari za ule mfano.


Akawaambia, Hivi hata ninyi hamna akili? Hamfahamu ya kwamba kila kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia, hakiwezi kumtia unajisi;
kwa sababu hakimwingii moyoni, ila tumboni tu; kisha chatoka kwenda chooni? Kwa kusema hivi alivitakasa vyakula vyote.
Akasema, Kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi.
Kwa maana ndani ya mioyo ya watu hutoka mawazo mabaya, uasherati,
wivi, uuaji, uzinzi, tamaa mbaya, ukorofi, hila, ufisadi, kijicho, matukano, kiburi, upumbavu.
Haya yote yaliyo maovu yatoka ndani, nayo yamtia mtu unajisi."(Marko 7:15-23).



Sasa shida inayokuja hapa watu wameshikilia kula vyakula najisi kuwa ni halali kama vile kitimoto na kambare na wanasema inahusisha mwili tu, wanasahau Kuwa kukaidi agizo la Mungu ni matokeo ya uasi ambao uanzia kwenye maamuzi, Lakini pia wanasahau kuwa Yesu ametaja na mambo mengine yanayoweza kumtia mtu unajisi, kama vile ufisadi, uuaji, uzinzi, wivi, je hivi vinausisha roho tu? Je havina matokeo yoyote kwenye mwili kiasi cha mwili kuhusishwa? Inabidi wafikilie upya.

Katika Marko 7:15-23, Yesu hatamki kwamba mtu anaweza kula kitu chochote. Baadhi ya vyakula na vinywaji havistahili na pia vinafisha, na vingine ni hatari kabisa kwa afya. Angalia katika (Walawi 11:2-23) kwa ajili ya orodha ya wanyama, ndege, samaki, na wadudu wasiofaa kuliwa.

Anachoelekeza Yesu hapa ni imani kuwa endapo Myahudi mtaua (mcha Mungu kwelikweli) akifuata tu sheria za usafi wa taratibu za kidini atakuwa safi kimaadili/kiroho. Kwa upande mwingine, hakuna chakula ambacho kwa chenyewe kinaweza kuinajisi tabia ya mtu. Kinachonajisi ni mawazo maovu (ambayo hujitokeza kwa ndani na kujidhihirisha katika matendo ya nje). Ndiyo maana Biblia inatuambia, “Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo; Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.” (Mithali 4:23)

Hapa Yesu hasemi kuwa vyakula vyote vinaruhusiwa au vinafaa kuliwa. Yesu anatumia vitendo vya nje vya kuosha mikono na kula kama kielelezo cha matendo ya nje ili kuweza kutofautisha na hali ya moyoni. Yesu hugeuza mtazamo wa walimu wa sheria, waliingiza mapokeo ambayo hayakuwa agizo la Mungu, miongoni mwa mapokeo hayo ni kunawa hadi kwenye kiwiko Kabla ya kula Biblia Inasema "Kwa maana Mafarisayo na Wayahudi wote wasiponawa mikono mpaka kiwiko, hawali, wakishika mapokeo ya wazee wao;" (Marko 7:3). Kwa hiyo hata kama ungekula chakula ambacho sio najisi kwao walikiita najisi kwa sababu tu haujanawa hadi kwenye kiwiko, na Habari hizi zilizua mjadala baina ya Yesu na mafarisayo na kuamua kuwaambia ukweli, Biblia Inasema "Akawaambia, Isaya alitabiri vema juu yenu ninyi wanafiki, kama ilivyoandikwa,Watu hawa huniheshimu kwa midomoIla mioyo yao iko mbali nami;
Nao waniabudu bure,Wakifundisha mafundishoYaliyo maagizo ya wanadamu," (Marko 7:6-7).

Basi ingekuwa vyema kwa kila msomaji wa maandiko kutambua kuwa mgogoro ulianzia nyuma kwenye kutokunawa hadi kwenye kiwiko mpaka Yesu anafikia hatua ya kusema "kimuingiacho mtu akimtii unajisi, bali kimtokacho" mawazo ya mafarisayo yalishatiwa unajisi,
walikuwa wamejikita katika mambo ya nje, wakati Yesu alisisitiza matendo ya ndani ya roho, hali ya kimaadili/kiroho. Ni rahisi kudumisha hali ya nje ya kuwa Mkristo kwa kile tunachofanya au tusichofanya. Hata hivyo, wakati ambapo wanadamu huangalia nje, Mungu huangalia hadi ndani ya moyo hupima nia ya makusudi yanayosukuma matendo yetu. (Angalia pia Mwanzo 1:29-30; Matendo 10; 1 Wakorintho 10:31).

Roho Mtakatifu akusaidie kuelewa hili.
 
Hakuna siku ya shetani hata moja! Siku zote zimeumbwa na Mungu. Ni kufuru kubwa kufikiri Jumapili ni siku ya Mungu wa jua.

Suala la nguruwe ni utamaduni wa watu wa uarabuni hata waarabu na waislamu hawali nguruwe, na haiwafai kitu ni utamaduni tu.

Acheni upotofu wa kufikiri mnyama ni papa, mnyama ni shetani na sio binadamu.
KUPITIA maandiko ya Paulo utakutana WALOKOLE wanayasoma na kufungua makanisa na Vioski vya kutapelia watu kwa kuwauzia Mafuta ,udongo, keki, leso na kuibuka na mafundisho Kama kunena kwa Lugha kwa kufokafoka ,kula nguruwe wakidai Paulo karuhusu ,n.k kitu ambacho sio kweli .

Asilimia 90 ya MAKANISA na MADHEHEBU yanayoibuka Ni kupotosha maandiko ya vitabu vya Paulo

Petro mwanafunzi wa Yesu aliposoma maandiko ya Paulo alichanganyikiwa ,itakuwa Mwamposa ,au Gwajima wenye Njaa?

JUZI nilikuwa safarini , njiani nilimsikia muislamu akiponda Sana Agano jipya akidai limeruhusu kula nguruwe , wakati agano la Kale limekataza, nikajisemea Moyoni , NI KUTOKUELEWA TU.......

Mtume Petro alitoa angalizo juu ya usomaji wa nyaraka za Paulo na akatoa onyo lifuatalo:

#2 Petro 3:15-17
Nanyi uhesabuni uvumilivu wa Bwana wetu kuwa ni wokovu, kama vile na ndugu yetu mpenzi Paulo alivyowaandikia kwa hekima aliyopewa;
vile vile kama katika nyaraka zake zote pia, akitoa humo habari za mambo hayo; katika nyaraka hizo yamo mambo ambayo ni vigumu kuelewa nayo; na mambo hayo watu wasio na elimu, wasio imara, huyapotoa, kama vile wayapotoavyo na maandiko mengine, kwa uvunjifu wao wenyewe.

Sio Petro tu ndio anadai kwamba nyaraka za Paul ni ngumu, bali hata watu wengine pia wanasema nyaraka za Paul ni ngumu, Na Paul yeye mwenyewe anashuhudia kwamba watu wanasema nyaraka zake ni nzito/ ngumu:

2 Wakorintho 10:9-10
nisije nikaonekana kana kwamba nataka kuwaogofya kwa nyaraka zangu.
Maana wasema, Nyaraka zake ni nzito, hodari; bali akiwapo mwenyewe mwilini ni dhaifu, na maneno yake si kitu.

Hivyo inabidi umakini mkubwa sana unapokutana na aya tata katika Nyaraka za Paul, pia ieleweke kwamba Nyaraka zote za Paul alikuwa anashugulika na kutatua migogo ya kiimani iliyokuwa inatokea ndani ya Kanisa baina ya washiriki, na pia alikuwa anashugulika na walimu wa uwongo waliokuwa wakiingiza mafundisho potofu ndani ya kanisa. Ikumbukwe kwamba makanisa yote ambayo Paul anayaandikia nyaraka ni makanisa ya watu waliokuwa na mchanganyiko baina ya Wayahudi na watu wa Mataifa, mengine yalikuwa ni machanga katika imani.
 
Sabato sio kwa ajili ya Sabato ni kwa ajili ya kumwabudu Mungu. Mnaofikiri Mungu anaabudiwa Sabato pekee basi ni tatizo kubwa katika imani yenu. Nguruwe pia ni kitu kinachowafanya muwe kama waislamu tu, watu wa kimwili zaidi.
SIKU YA KIAMA ,M/MUNGU KAAHIDI MOTO MKALI KWA WALA NGURUWE NA MACHUKIZO MENGINE

Dhambi ya USHOGA Ni Sawa na DHAMBI ya kula Nguruwe ,panya,kenge ,na najisi nyingine, HIVO JIANGALIE UNPOWANYOOSHEA KIDOLE MASHOGA ,JUA MPO KUNDI MOJA KWA MUJIBU WA MAANDIKO

USHOGA NI NAJISI, NGURUWE NI NAJISI ,PANYA NI NAJISI, KENGE NI NAJISI, N.K

Nakupa Ushahidi wa kiamaandiko

Makosa ya kawaida Mungu anayaita Dhambi , ila Yale najisi anayaita MACHUKIZO ,

Ulaji Nguruwe unaitwa MACHUKIZO

Wakawi 11

7 Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

20 Tena vyote vitambaavyo vyenye mabawa viendavyo kwa miguu minne, hivi ni machukizo kwenu

KWA NABII ISAYA ANA GRUOP PIA ULAJI NAJISI KAMA MACHUKIZO

Isa 66:17 Watu wale wajitakasao, na kujisafisha katika bustani, nyuma ...

... wakila nyama ya nguruwe, na MACHUKIZO, na panya; watakoma pamoja, asema BWANA

USHOGA NI MACHUKIZO

Law 18:22

. Usilale na mwanamume mfano wa kulala na mwanamke; ni MACHUKIZO.

UMEONA KUNA DHAMBI NA MACHUKIZO

MUNGU anapozungumzia NAJISI ANAZIITA MACHUKIZO ,

USHOGA NA ULAJI NAJISI(NGURUWE,KENGE,N.K) NI SAWA

Kwa Mungu wote adhabu Ni moja
 
Ndio maana nasema wasabato sio wakristo kwa maana Yesu alishasema sio kimwingiacho mtu ndio kinamtia unajisi bali kimtokacho mtu. Wasabato bado mnaamini mambo ya Agano la kale kuhusu unajisi wa vyakula?!
Wakristo kwa mujibu wako Ni wale wanaobadili Amri za Mungu ,kuabudu na kuchonga masanamu, kula kenge,nguruwe, mende ,kuuza Mafuta, udongo,keki,leso kwa mgongo vina upako ,ibada za kipagani ,x mass paganism,Easter paganism,Dominica paganism, n.k



ILA YESU MUANZILISHI WA UKRISTO ANASEMA


“Msidhani [wengi mno leo wanadhani] ya kuwa nalikuja kuitangua torati [Sheria] au manabii;” akasema, “sikuja kutangua [kuifutilia mbali], bali kutimiliza [kuitekeleza]. Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka [bado zipo], yodi moja [,] wala nukta moja [.] HAITAONDOKA hata yote yatimie [yaani, mpaka hapo mbingu na nchi zitakapoondoka]. Basi [kwa hiyo] mtu ye yote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo [Yak.2:10-12], na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa [mnyonge hataingia – Ufu.21:27] katika ufalme wa mbinguni; bali mtu ATAKAYEZITENDA [Amri Kumi] NA KUZIFUNDISHA, huyo ataitwa mkubwa [mtawala/mfalme – Ufu.20:4; Dan. 7:27] katika ufalme wa mbinguni.” Mathayo 5:17-19.
 
SIKU YA KIAMA ,M/MUNGU KAAHIDI MOTO MKALI KWA WALA NGURUWE NA MACHUKIZO MENGINE

Dhambi ya USHOGA Ni Sawa na DHAMBI ya kula Nguruwe ,panya,kenge ,na najisi nyingine, HIVO JIANGALIE UNPOWANYOOSHEA KIDOLE MASHOGA ,JUA MPO KUNDI MOJA KWA MUJIBU WA MAANDIKO

USHOGA NI NAJISI, NGURUWE NI NAJISI ,PANYA NI NAJISI, KENGE NI NAJISI, N.K

Nakupa Ushahidi wa kiamaandiko

Makosa ya kawaida Mungu anayaita Dhambi , ila Yale najisi anayaita MACHUKIZO ,

Ulaji Nguruwe unaitwa MACHUKIZO

Wakawi 11

7 Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

20 Tena vyote vitambaavyo vyenye mabawa viendavyo kwa miguu minne, hivi ni machukizo kwenu

KWA NABII ISAYA ANA GRUOP PIA ULAJI NAJISI KAMA MACHUKIZO

Isa 66:17 Watu wale wajitakasao, na kujisafisha katika bustani, nyuma ...

... wakila nyama ya nguruwe, na MACHUKIZO, na panya; watakoma pamoja, asema BWANA

USHOGA NI MACHUKIZO

Law 18:22

. Usilale na mwanamume mfano wa kulala na mwanamke; ni MACHUKIZO.

UMEONA KUNA DHAMBI NA MACHUKIZO

MUNGU anapozungumzia NAJISI ANAZIITA MACHUKIZO ,

USHOGA NA ULAJI NAJISI(NGURUWE,KENGE,N.K) NI SAWA

Kwa Mungu wote adhabu Ni moja
Inashangaza sana jinsi mnavyoendelea kujishika na Agano la kale! Kuna mambo tele ya Agano la kale hamyashiki mmekuja kujichagulia vifungu flani flani mnavishika. Mfano Kutoka 22: 1-28 zipo sheria nyingi tu za kale je mnazifuata kama zilivyo leo?

Kutoka 22: 18. Muuwe mwanamke yeyote anayefanya uchawi. Je mnafanya hivyo? Jueni kwamba Yesu hakuja kutuletea sheria kama hizi, alileta msamaha na upendo. Mambo ya vitu najisi ni mambo ya Agano la kale. Hatunajisiki kwa kula au kunywa. Sio kimwingiacho mtu kinamtia unajisi bali kimtokacho mtu. Mbona nyie wasabato bado mpo Agano la kale?

18 "Put to death any woman who does evil magic.
19 "Put to death anyone who has sexual relations with an animal.
20 "Destroy completely any person who makes a sacrifice to any god except the Lord.
 
SIKU YA KIAMA ,M/MUNGU KAAHIDI MOTO MKALI KWA WALA NGURUWE NA MACHUKIZO MENGINE

Dhambi ya USHOGA Ni Sawa na DHAMBI ya kula Nguruwe ,panya,kenge ,na najisi nyingine, HIVO JIANGALIE UNPOWANYOOSHEA KIDOLE MASHOGA ,JUA MPO KUNDI MOJA KWA MUJIBU WA MAANDIKO

USHOGA NI NAJISI, NGURUWE NI NAJISI ,PANYA NI NAJISI, KENGE NI NAJISI, N.K

Nakupa Ushahidi wa kiamaandiko

Makosa ya kawaida Mungu anayaita Dhambi , ila Yale najisi anayaita MACHUKIZO ,

Ulaji Nguruwe unaitwa MACHUKIZO

Wakawi 11

7 Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

20 Tena vyote vitambaavyo vyenye mabawa viendavyo kwa miguu minne, hivi ni machukizo kwenu

KWA NABII ISAYA ANA GRUOP PIA ULAJI NAJISI KAMA MACHUKIZO

Isa 66:17 Watu wale wajitakasao, na kujisafisha katika bustani, nyuma ...

... wakila nyama ya nguruwe, na MACHUKIZO, na panya; watakoma pamoja, asema BWANA

USHOGA NI MACHUKIZO

Law 18:22

. Usilale na mwanamume mfano wa kulala na mwanamke; ni MACHUKIZO.

UMEONA KUNA DHAMBI NA MACHUKIZO

MUNGU anapozungumzia NAJISI ANAZIITA MACHUKIZO ,

USHOGA NA ULAJI NAJISI(NGURUWE,KENGE,N.K) NI SAWA

Kwa Mungu wote adhabu Ni moja
Ni taswira tu hesabu ya kuzidisha muda mwingine majib hufanana na hesabu ya kujumlisha ila muda mwingine majib hutofautiana mbali saana mfanoo

2x2=4

2+2=4

Huu ni mfano wa majibu ya kufanana kwa njia tofaut lkn muda mwingine unaweza kutumia hesabu ile ile na ukapata majib tofaut saaana mfanoo

7x7=49

7+7=14

Dah ama kweli maisha ni jinsi utakavyoo
utakavyoo NIACHENI NA UPUMBAVU WANGU.
 
KUPITIA maandiko ya Paulo utakutana WALOKOLE wanayasoma na kufungua makanisa na Vioski vya kutapelia watu kwa kuwauzia Mafuta ,udongo, keki, leso na kuibuka na mafundisho Kama kunena kwa Lugha kwa kufokafoka ,kula nguruwe wakidai Paulo karuhusu ,n.k kitu ambacho sio kweli .
Paulo ndio anawaruhusu kula hiki na kuacha kile? Mfuateni Yesu Kristo sio Paulo.
 
Inashangaza sana jinsi mnavyoendelea kujishika na Agano la kale! Kuna mambo tele ya Agano la kale hamyashiki mmekuja kujichagulia vifungu flani flani mnavishika. Mfano Kutoka 22: 1-28 zipo sheria nyingi tu za kale je mnazifuata kama zilivyo leo?

Kutoka 22: 18. Muuwe mwanamke yeyote anayefanya uchawi. Je mnafanya hivyo? Jueni kwamba Yesu hakuja kutuletea sheria kama hizi, alileta msamaha na upendo. Mambo ya vitu najisi ni mambo ya Agano la kale. Hatunajisiki kwa kula au kunywa. Sio kimwingiacho mtu kinamtia unajisi bali kimtokacho mtu. Mbona nyie wasabato bado mpo Agano la kale?

18 "Put to death any woman who does evil magic.
19 "Put to death anyone who has sexual relations with an animal.
20 "Destroy completely any person who makes a sacrifice to any god except the Lord.
Mnajifanya Mnatumia AGANO JIPYA TU ,

Kwenye Swala la Zaka na Sadaka mnatumia Agano la kale kutishia watu mpate Sadaka


Mnaserebuka Ibadan na kucheza Mayenu ,mkiulizwa mnasema DAUDI alicheza mkitumia AGANO LA KALE

Yesu aliwaita wanafiki wakubwa


Amri za kuwapiga mawe WACHAWI, n.k Hadi leo zipo Kama hujui ,TATIZO WAPIGAJI WANATAKIWA WAWE WASAFI AU HAWANA DHAMBI



Yohane 8:7 ...

Walipozidi kumwuliza, Yesu akainuka, akawaambia, “Mtu asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza kumpiga jiwe


SOMENI BIBLIA JAMANI ACHENI KUSOMEWA NA KINA GWAJIMA,MWAMPOSA , MACKENZIE ,GEO DEVIE ,NA MATAPELI WENGINE WALA NGURUWE
 
Paulo ndio anawaruhusu kula hiki na kuacha kile? Mfuateni Yesu Kristo sio Paulo.
Hakuna SEHEMU YESU karuhusu ule kenge ,nguruwe, mende, mbwa


Ni uroho wenu na kutokuelewa Maandiko na kudanganywa na matapeli Kama kina mwamposa
 
Ni taswira tu hesabu ya kuzidisha muda mwingine majib hufanana na hesabu ya kujumlisha ila muda mwingine majib hutofautiana mbali saana mfanoo

2x2=4

2+2=4

Huu ni mfano wa majibu ya kufanana kwa njia tofaut lkn muda mwingine unaweza kutumia hesabu ile ile na ukapata majib tofaut saaana mfanoo

7x7=49

7+7=14

Dah ama kweli maisha ni jinsi utakavyoo
utakavyoo NIACHENI NA UPUMBAVU WANGU.
Huwa nawashangaa Sana ,mtu anatokwa povu anasema MASHOGA WAUWAWE


Wakati Maandiko yanasema WALA NGURUWE NI MACHUKIZO KWA MUNGU

MASHOGA NI MACHUKIZO KWA MUNGU


Mashoga = Wala nguruwe,kenge,mende ,na najisi nyingine
 
Hakuna SEHEMU YESU karuhusu ule kenge ,nguruwe, mende, mbwa


Ni uroho wenu na kutokuelewa Maandiko na kudanganywa na matapeli Kama kina mwamposa
Kwani ni wapi tumeruhusiwa kula ndizi au mbogo, tembo, na twiga? Acheni sheria za kale hatuwi najisi kwa chakula Yesu alishasema vyakula vyote ni halali na twapasa kumshukuru Mungu kwavyo. Wasabato bado ni kama Wayahudi wa zamani.
 
Kwani ni wapi tumeruhusiwa kula ndizi au mbogo, tembo, na twiga? Acheni sheria za kale hatuwi najisi kwa chakula Yesu alishasema vyakula vyote ni halali na twapasa kumshukuru Mungu kwavyo. Wasabato bado ni kama Wayahudi wa zamani.
Hakuna Sehemu Yesu karuhusu ule uchafu

Labda yule Yesu wa Kenya
 
Huwa nawashangaa Sana ,mtu anatokwa povu anasema MASHOGA WAUWAWE


Wakati Maandiko yanasema WALA NGURUWE NI MACHUKIZO KWA MUNGU

MASHOGA NI MACHUKIZO KWA MUNGU


Mashoga = Wala nguruwe,kenge,mende ,na najisi nyingine
Wewe nawe na biblia yako hiyo, inakufanya unakuwa mjinga, we unajua kwann waliambiwa wasile? Kwahyo wasiojua kusoma hiyo Bible kama wahadzabe wanaokula nyani watachomwa moto?
Swala la ushoga ni issue ya maadili sio Dini wala biblia
 
Wewe nawe na biblia yako hiyo, inakufanya unakuwa mjinga, we unajua kwann waliambiwa wasile? Kwahyo wasiojua kusoma hiyo Bible kama wahadzabe wanaokula nyani watachomwa moto?
Swala la ushoga ni issue ya maadili sio Dini wala biblia
Kumbe wewe kuwa choko Ni maadili


Unajua MUNGU alichoma Moto Hadi leo Kuna ushahidi pale bahari mfu na nyasi hazioti sababu ya Uchoko

Biblia imeandika hivo


Hao wahdzabe wako watahukumiwa kwa nuru waliyopata


Wewe endelea Kula mende, kenge ,panya ,nyama ya binadamu
 
Kumbe wewe kuwa choko Ni maadili


Unajua MUNGU alichoma Moto Hadi leo Kuna ushahidi pale bahari mfu na nyasi hazioti sababu ya Uchoko

Biblia imeandika hivo


Hao wahdzabe wako watahukumiwa kwa nuru waliyopata


Wewe endelea Kula mende, kenge ,panya ,nyama ya binadamu
Tatizo unafikiria Biblia iliandikwa na Mungu. Biblia inaitwa neno la Mungu kwa sababu yaliyomo humo yamekusudiwa kuleta mahusiano chanya na Mungu. Vitu vingine waandishi Wa Biblia waliandikia hata mila na desturi zao wale waliowaandikia. Na mambo hayo leo wewe kama Mtanzania hayakufai. Ndio kisa nikasema kama haukubaliani na ukweli huo basi fuata sheria zote 39 za sabato ikiwemo wallowaandikia. Na mambo hayo leo wewe kama Mtanzania hayakufai. Ndio kisa nikasema kama haukubaliani na ukweli huo basi fuata sheria zote 39 za sabato ikiwemo kutupa jiwe kama determinant ya umbali wa kutembea siku ya sabato au uwe unaadhimisha sabato za miaka 7 na miaka 49.
Mimi sijaunga mkono ushoga kuwa muelewa,
 
Back
Top Bottom