Kumbe na taarifa za Mwambe, Silinde na Lijuakali nazo hazikufika?!Bora uwe na kichwa kigumu kuliko kuwa mwepesi mwepesi tu. Ukweli ndio huo, kama taarifa rasmi hazijafika kwa Ndugai, hawezi kutowatambua. Inakera lakini ndio ukweli
Wewe boya unajua maana ya kutetea uovu? Msema kweli ni msema kweli tu.wewe ni miongoni mwa waimba mapambio wa kila uovu unaofanywa na watawala. naona akili zinaanza kukukaa sawa.
Utakuwa umebadilishiwa chakula, siku hizi hulishwi pumba tena, chakula kikuu cha misukule.Wewe boya unajua maana ya kutetea uovu? Msema kweli ni msema kweli tu.
Are you insane?Utakuwa umebadilishiwa chakula, siku hizi hulishwi pumba tena, chakula kikuu cha misukule.
Nimesoma heading tu, nachangia hili:Kwenye nchi yoyote ya kidemokrasia kunapokuwa na Katiba iliyoandikwa hiyo katiba inakuwa na mamlaka makuu juu ya Taifa zima. Sio Spika, Rais hata Jaji mkuu anaweza kuwa na mamlaka dhidi ya Katiba.
Mamlaka ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yanapatikana kwenye ibara ya 64(5) ambayo yameweka bayana kuwa hakuna mtu au sheria yoyote itayotungwa itakuwa kinyume na Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania.
Kama ninakosea niko tayari kukosolewa, ibara ya 71 (1) (e) imeweka bayana kuwa mbunge atapoteza ubunge wake kama uanachama wake utakoma kwenye chama kilichompa ridhaa ya kugombea ubunge. Hii ni wazi wabunge 19 wa Chadema waliofukuzwa sio wabunge halali hata kama waliapishwa kwa kanuni za bunge. Na spika anawatetea kwa sheria gani, au kanuni gani ambazo zinakinzana na Katiba ya JMT?
Pia inasikitusha sana Spika wa bunge kudharau maoni ya wastaafu. Kwani ibara ya 71(1)(e) imefutwa? Kwani hii ibara haipo kwenye katiba ya JMT mpaka spika Ndugai awe anadharau maoni ya wastaafu na kudai hawajui kinachoendelea? Nini hicho kinachoendelea? Katiba ya JMT imebadilishwa? Katiba ya JMT haina mamlaka juu ya spika?
Jambo la msingi ambalo Spika wa JMT anatakiwa akubumke ni kuwa bunge ni wananchi, ndio maana tunatuma wawakilishi wetu huko,la sivyo kila mtanzania angekuwa mbabe na kujiamlia anavyotaka. Na hakuna mtu kwenye nchi hii aliye juu ya katiba ya JMT.
Ndugai ni fala, anaamini ile Sheria ya kutoshitakiwa waliyojitungia yeye, Magufuli na Ibrahim Juma ndo inamfanya awe juu ya Katiba, Fala!Kwenye nchi yoyote ya kidemokrasia kunapokuwa na Katiba iliyoandikwa hiyo katiba inakuwa na mamlaka makuu juu ya Taifa zima. Sio Spika, Rais hata Jaji mkuu anaweza kuwa na mamlaka dhidi ya Katiba.
Mamlaka ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yanapatikana kwenye ibara ya 64(5) ambayo yameweka bayana kuwa hakuna mtu au sheria yoyote itayotungwa itakuwa kinyume na Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania.
Kama ninakosea niko tayari kukosolewa, ibara ya 71 (1) (e) imeweka bayana kuwa mbunge atapoteza ubunge wake kama uanachama wake utakoma kwenye chama kilichompa ridhaa ya kugombea ubunge. Hii ni wazi wabunge 19 wa Chadema waliofukuzwa sio wabunge halali hata kama waliapishwa kwa kanuni za bunge. Na spika anawatetea kwa sheria gani, au kanuni gani ambazo zinakinzana na Katiba ya JMT?
Pia inasikitusha sana Spika wa bunge kudharau maoni ya wastaafu. Kwani ibara ya 71(1)(e) imefutwa? Kwani hii ibara haipo kwenye katiba ya JMT mpaka spika Ndugai awe anadharau maoni ya wastaafu na kudai hawajui kinachoendelea? Nini hicho kinachoendelea? Katiba ya JMT imebadilishwa? Katiba ya JMT haina mamlaka juu ya spika?
Jambo la msingi ambalo Spika wa JMT anatakiwa akubumke ni kuwa bunge ni wananchi, ndio maana tunatuma wawakilishi wetu huko,la sivyo kila mtanzania angekuwa mbabe na kujiamlia anavyotaka. Na hakuna mtu kwenye nchi hii aliye juu ya katiba ya JMT.
Narudia tena... serikali haifanyi kazi kwa matamko. Speaker anapelekewa taarifa na Tume, kama tume haikupeleka taarifa, unataka Spika afanyaje? Na kama Tume haikupeleka taarifa, nendeni mkaishitaki tume.Kumbe na taarifa za Mwambe, Silinde, na Lijuakali nazo hazikufika?!
Mnaimba tu ngonjera.
Mnaniudhi sana kama mnajua yote haya ila hamna ujasiri wa kuwaburuza watu hawa mahakamani.Ndugai kwa uelewa wake mfupi anadhani yeye ndie bunge, kumbe yeye ni msimamizi wa shughuli za bunge, hajui kutofautisha majukumu kati ya Bunge na Spika.
Mfano: kwenye kuapisha wabunge, wanatakiwa kuapa mbele ya Bunge (kulingana na sheria) sio mbele ya Spika, wale wabunge ni watumishi wa Bunge, wako chini ya sheria na taratibu za Bunge kutimiza majukumu yao, sio sheria za Spika, Spika ni msimamizi tu wa shughuli ile.
Lakini Ndugai anaenda kuwaapishia gereji, yeye ndie kiongozi wa Bunge linalotunga sheria, angetegemewa asimamie sheria hizo, lakini bahati mbaya, yeye ndie kiongozi wa kuzivunja sheria.
Hujui katiba ni kitu gani? Hajui katiba ni kitu gani? Yupo hapo kama spika kwa nguvu za wananchi. Mamlaka ya katiba ya JMT yapo mikononi mwa wananchi.Katiba ni kitu gani kwa ndugai
Hizi za akina Covid-19 nina uhakika zilimfikia. Ndio maana amejibu utumbo na jazba.Kumbe na taarifa za Mwambe, Silinde, na Lijuakali nazo hazikufika?!
Mnaimba tu ngonjera.
Hujui katiba ni kitu gani? Hajui katiba ni kitu gani? Yupo hapo kama spika kwa nguvu za wananchi. Mamlaka ya katiba ya JMT yapo mikononi mwa wananchi.
Katiba is on sabbatical leave.Kwenye nchi yoyote ya kidemokrasia kunapokuwa na Katiba iliyoandikwa hiyo katiba inakuwa na mamlaka makuu juu ya Taifa zima. Sio Spika, Rais hata Jaji mkuu anaweza kuwa na mamlaka dhidi ya Katiba.
Mamlaka ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yanapatikana kwenye ibara ya 64(5) ambayo yameweka bayana kuwa hakuna mtu au sheria yoyote itayotungwa itakuwa kinyume na Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania.
Kama ninakosea niko tayari kukosolewa, ibara ya 71 (1) (e) imeweka bayana kuwa mbunge atapoteza ubunge wake kama uanachama wake utakoma kwenye chama kilichompa ridhaa ya kugombea ubunge. Hii ni wazi wabunge 19 wa CHADEMA waliofukuzwa sio wabunge halali hata kama waliapishwa kwa kanuni za bunge. Na spika anawatetea kwa sheria gani, au kanuni gani ambazo zinakinzana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Pia inasikitusha sana Spika wa bunge kudharau maoni ya wastaafu. Kwani ibara ya 71(1)(e) imefutwa? Kwani hii ibara haipo kwenye katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mpaka spika Ndugai awe anadharau maoni ya wastaafu na kudai hawajui kinachoendelea? Nini hicho kinachoendelea? Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imebadilishwa? Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haina mamlaka juu ya spika?
Jambo la msingi ambalo Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatakiwa akubumke ni kuwa bunge ni wananchi, ndio maana tunatuma wawakilishi wetu huko,la sivyo kila mtanzania angekuwa mbabe na kujiamlia anavyotaka. Na hakuna mtu kwenye nchi hii aliye juu ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
shenzi mimi au mwanao alopost [emoji23][emoji23]
Duh noma sasa. Wananchi wakiingia mitaani?Katiba is on sabbatical leave.
Ulishudia kwa macho yako kura zinaibiwa? Au picha za wahuni wa Twitter ndio ushahidi wako?Nakuuliza, ndio umeamka leo? Toka walivyoanza na sisi tukawa tunapiga kelele nyie si ndio mlikuwa mnasema nchi inayoonyeshwa? Toka lini genge la wezi wa kura wakaoogopa katiba?