Je, Kiusalama na Kiulinzi hiki ninachokiona sasa huku nchini Puerto Rico si hatari kwa Rais wetu?

Je, Kiusalama na Kiulinzi hiki ninachokiona sasa huku nchini Puerto Rico si hatari kwa Rais wetu?

Kwa jinsi unavyochangia humu na hasa hasa kushikilia ' Bango ' kuhusu BAN ya ' Kamarada ' The Bold sasa kwa kujiamini kabisa tena kwa 100% nathibitisha kuwa Wewe ndiyo Yeye na hii ni ID yako nyingine. Tuliobobea katika ' Psychology ' tumeweza ' Kukung'amua ' kirahisi mno Mkuu. Pole sana kwa kupigwa BAN ila ni matumaini yangu kuwa muda mfupi tu ujao utarudi na ile ile ID yako ya ' Kijasusi ' ya The Bold. Hivi na Mimi nitafanyaje Mkuu ili niweze kuwa na ' multiple ' ID's humu JF kama Wewe na wengineo wengi.

You are wrong mkuu, hii ID yangu mimi Joseverest kama Joseverest na haina uhusiano wowote na ile ya The Bold.. Kumtetea The Bold kuhusu Ban kwani inamaanisha mimi ndio The Bold?? Hauko sahihi na ninakupinga kwa 100% zilizotukuka
 
Usingetaja uliko unadhani usingejibiwa? Au ungejibiwa usingeyaelewa hayo majibu?

Wewe lazima ni MHAYA
Raia wenyewe wa Tanzania ndio kama hawa, kwa akili hizi mnategemea nini!?

Mungu atusaidie Rais anatawala maiti,
 
Mambo ya usalama mimi siyajui nakumbuka wakati wa Nyerere kulikua hakuna mambo haya yule alikua Raisi kipenzi cha watu na alikua anajumika nao bila silaha kali. Sijui hawa wa sasa nini kimetokea

Nyerere ilikua kiboko mkuu..
 

Attachments

  • IMG-20170702-WA0037.jpg
    IMG-20170702-WA0037.jpg
    62 KB · Views: 38
Kwa jinsi unavyochangia humu na hasa hasa kushikilia ' Bango ' kuhusu BAN ya ' Kamarada ' The Bold sasa kwa kujiamini kabisa tena kwa 100% nathibitisha kuwa Wewe ndiyo Yeye na hii ni ID yako nyingine. Tuliobobea katika ' Psychology ' tumeweza ' Kukung'amua ' kirahisi mno Mkuu. Pole sana kwa kupigwa BAN ila ni matumaini yangu kuwa muda mfupi tu ujao utarudi na ile ile ID yako ya ' Kijasusi ' ya The Bold. Hivi na Mimi nitafanyaje Mkuu ili niweze kuwa na ' multiple ' ID's humu JF kama Wewe na wengineo wengi.
Mkuu kwa hili naomba kupingana na wewe,kuna nadharia mbili juu ya Mkuu joseverest....moja ni mtu wa karibu na admin/mod wa humu Jf na mbili ni mtu zaidi ya mmoja,ila ya kwanza inahold much water!
 
Puerta Rico sio pa kujisifia ukienda!
Kwa ishu ulioongea, desperate times call for desperaye measures!
Tupo ktk vita na mafisadi na watu wenue nguvu sana! Kinga ni bora kuliko tiba!
Binafsi sijaona ulinzi wowote pale!! Ulinzi wa j.f. kened unajuA ulikuaje??
 
Ulinzi wa rais huhusisha vyombo mbalimbali vya ulinzi. Hao wanaoshika silaha/ walinzi wanaooneka ni sehemu tu ya ulinzi huo
 
Puerta Rico sio pa kujisifia ukienda!
Kwa ishu ulioongea, desperate times call for desperaye measures!
Tupo ktk vita na mafisadi na watu wenue nguvu sana! Kinga ni bora kuliko tiba!
Mkuu hapo katumia sanaa ya kugha kufikisha ujumbe
 
Kweli mkuu..nipo simple sana, huwa sitaki kujiingiza malumbanoni na mtu kisa kitu kidogo tu kama hiki, ndio maana namwambia poa au sawa au muda mwingine unakaa kimya..ni Jibu tosha

Thanks Mkuu
Uko vizuri sana mkuu, nakukubali sana [emoji109]
 
Mbona nipo huku siku nyingi sana Mkuu? Labda Wewe ni ' Mgeni ' Kwangu ila karibia 80% ya wana JF wanajua kuwa GENTAMYCINE naishi nchini Puerto Rico. Vipi unajisikia vibaya Mkuu kusikia Mimi naishi huku na Wewe mpaka sasa bado uko tu katika ' vumbi ' la Tanzania? Hata hivyo nitashukuru kama utanijibu swali langu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ..Wala vumbi( in Nyani Ngabu's Voice)
 
Roho ya korosho hivyo inaleta umasikini. Mtu kuishi Puerto Rico ni ajabu? kwani huko hawaishi watu? au unafikiri kuishi nje ya TZ unaishi bure? Ni maisha tu kadiri yamfuko wako. Waweza kuwa TZ na ukawa na maisha bora kuliko anayeishi Puerto Rico au Cuba au Canada. Haina maana kuishi kule ananeemeka zaidi bure, la hasha. Sikuona haja ya phrase hiyo. La hukubahatika kama unaona ni bahati basi ni bahati yake usikasirike labda ya kwako iko njiani. Kuwa tu mpole ndugu.
 
Teh teh teh nimekuelewa mkuu,Risasi haina mbambe,ikikukuta,mawili,tukuzike au tuje wodini kukujulia hali,Kibiti si mchezo

Nashukuru kwa kunielewa Mkuu kwani ukiona Mtu anamuelewa vizuri sana GENTAMYCINE hasa kutokana na ' Threads ' zake au ' posts ' zake humu JF basi jua ya kwamba hata uwezo wake wa ' akili ' ni mkubwa na kwamba ana IQ iliyotukuka na wale wote wasionielewa humu ni ' Opposite ' ya hiko nilichokiandika.
 
Back
Top Bottom