Je, kuna mwanaume asiyechepuka?

Mzee sasa hapo kwenye KURUKA UKUTA utahamisha magoli tubadil uelekeo
 
Yaani we acha tu.Mbunye tamu Sana.
 
Ni kweli hainihusu, ila sio jambo la kutamba hadharani eti mumeo hachepuki.!
Mbona unateseka sana kaka??😂😂 Tafsiri ya kutamba umeiwaza wewe na sihusiki na tafsiri yoyote kutoka kww mtu yeyote, yamkini sijawwhi kumfuma hata sms basi ninaweza kuthibitisha popote kuwa hachepuki,
 
Uzinzi ni gharama sana, hasa wpenda pisi kali kama mimi, ni gharama mno bora kutulia kwani hakuna jipya kwenye papuchi
 
Huyo mmoja awe tayari sasa kukupa kila unapotaka! Wengine hawawezi wanazingua tu na nyodo matokeo yake lazma utafte mbadala nje ya ndoa
 
Pole Sana manake unakuwa Kama hayawanu kutwa kukimbizana na papuchi, zichakate kwa Sasa ila hakikish ukifika kwenye 40's uache maana utakuwa umefanya yote katika ujana wako,

Zingatia,
~usimkere mkeo nikimaanisha asikudabe Wala kuhisi chochote,
~kama dini inaruhusu oa mke mwingine
~Matumizi sahihi ya kinga ili usipate magonjwa
~usihonge zaidi ya akiba uliyonayo
~omba Mungu asikuachanize
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…