Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling

Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling

Nafikiri ndivyo alivyo.

Unaweza kuwa na imagination kuwa mtu fulani ana uwezo mzuri wa kufikiri, hoja na Agenda za nguvu. Kumbe Ni takataka kabisa na hawezi kuwa tofauti.

Kwahiyo tatizo kubwa siyo yeye, Ni wewe uliyedhani alivyo kumbe sivyo.
Sentences ya mwisho umemaliza kila kitu.
 
Sasa kumbe ali disco. Ni aliunga unga, full stop.

Historia ya kuwa ali"disco" wapi umeipata? Na ndio maana nikasema kuna "maneno" ikimaanisha sio taarifa za uhakika kuwa alimaliza kwa kubebwa na sio kwamba kubebwa kwake ni sababu ya kichwa kibovu na wapo watu huwa wanafeli sababu ya uvivu na sio uwezo kuwa mdogo

Jakaya kufaulia Kibaha ambayo ni shule ya vipaji itoshe kukujuza yeye ni _______ utajaza mwenyewe
 
Wanabodi,

Jee Kuna Uhusiano Kati ya IQ, Dini ya Mtu na Longevity?. Naomba Kuwatumia Marais wa Tanzania as Sampling factors.

Haya ni maswali valid yanayo hitaji majibu ya utafiti wa kina.

Tanzania tumebahatika kuwa na marais 6.
  1. Julius Kambarage Nyerere
  2. Ali Hassan Mwinyi
  3. Benjamin William Mkapa
  4. Jakaya Mrisho Kikwete
  5. John Pombe Magufuli
  6. Samia Suluhu Hassan
Dini Zao
  1. Mkiristu
  2. Kiislamu
  3. Mkiristu
  4. Muislamu
  5. Mkiristu
  6. Muislamu
Hapa kwenye Dini zao, naona kama kuna kupokezana kati ya Mkiristu na Muislamu, jee is it planned au imetokea tuu?. Kama ni planned, then anayefuata ni lazima atoke upande wa pili. If it just happened, then anaweza kufuatiwa na wa kutoka upande wowote.

Denominations zao
  1. Mkiristu RC
  2. Muislamu
  3. Mkiristu RC
  4. Muislamu
  5. Mkiristu RC
  6. Muislamu
Kwa Wakristu, rais akiwa Mkiristu je ni lazima awe RC?. Kwanini wote walioshika urais ni RC only?. Is this planned or it just happened?.
If it's planned ni nani anayepanga?. Hivi Wakristu wa dominions nyingine kama Lutherans, Anglicans, Wasabato, Walokole etc hawawezi?.

Kwa Waislamu, Tanzania tuna Sunni, Issmailia Ahamadia, wale Mabohora, jee nao kuna siku watapata zamu?.

Uhai wao
  1. Amekufa
  2. Yuko Hai
  3. Amekufa
  4. Yuko Hai
  5. Amekufa
  6. Yuko Hai
Jee kuna uhusiano wa dini fulani na longevity?. Kwanini ni marais wa dini moja tuu ndio wametangulia, lakini wa dini nyingine wote wapo?.

Elimu Zao
  1. Straight to University Masters Level
  2. Aliunga Unga ila alipata Masters
  3. Straight to University Masters Level
  4. Aliunga Unga Ila alipata Bachelor ya GPA flani
  5. Straight to University Ph.D iliotiliwa shaka humu JF, (mtia shaka just vanished into thin air)
  6. Aliunga Unga to Masters
Jee kuna uhusiano wa IQ na dini ya mtu?.
Kwa nini watu wa dini fulani shule imesimama, halafu wa dini nyingine ni shule za kuunga Unga?.

Matumizi ya Busara
  1. Busara Sana
  2. Busara Sana na ustaatarabu
  3. Hakuna Busara Ila Ustaatabu
  4. Muungawana, Busara, Ustaarabu
  5. Hakuna Busara, Uungwana wala Ustaarabu
  6. Busara, Uungwana, Ustaarabu Ila na Mipasho!.
Kwanini watu wa dini fulani ndio wanaonekana na busara zaidi kuliko wa dini nyingine?. Jee kuna uhusiano wa dini ya mtu na busara?

Dhana ya Udikiteta
  1. Dikiteta
  2. Hakuwa Dikiteta
  3. Dikiteta
  4. Hakuwa Dikiteta
  5. Dikiteta
  6. Sio Dikiteta
Viongozi wetu madikiteta au wenye udikiteta ni wa dini fulani tuu!. Jee kuna uhusiano wa dini na udikiteta?.

NB. Ni wakati naliandika bandiko hili ndio nikaisikia hii sauti
Paskali
Short and clear ,kuishi mda mrefu ni nataka na msingi wake ni kutenda haki lakini wale wa dini ile na lile Kanisa kubwa ni makatili na wamekufa.
 
Hauni hao wakristo wamekufa wote 🤣🤣🤣

Huoni mkristo wa kwanza ndo aliua nchi kubaribu viwanda kweny mikoa kisa mikoa hyo inaishi waislamu

Huoni mkristo wa Kwanza aliweka mikakati ya kufelisha waislamu mpaka ulipokuja mfumo wa mamba chini ya kigoma malima
Kwanza nyie waislam hata kupewa uongozi mnapendelewa tu maana idadi yenu ni sawa na tone la maji katika bahari.
 
Jakaya Kikwete hakuunga unga

Alipasua kibaha A level, Udsm pia alifaulu ingawa yasemekana alikuwa a"disco" ila walimbeba kumaliza Bachelor Degree yake ya Uchumi pale UDSM
Kipindi hicho shule zilikuwa chache lazima angeenda katika shule hizo na chuo hicho cha UDSM.
Jakaya hana tofauti na Makamba Junior form 4 failure-lakini anajiona mjuaji kuliko watu wote Tz.
 
Paskali, pamoja inawezekana lipo lengo jema kwa uzi huu lakini itazaa mpasuko wa dini. Kila mtu atatea imani yake na hilo litazaa product ya udini.
 
Ona sasa unavyokariri ndo mnavyodanganywa sisi magaidi huko kanisani
Kanisa ninalosali halijawahi kuhubili au kuongelea imani ya mtu mwingine kama mfanyavyo nyinyi sisi tunahubili amani na upendo hayo maswala ya Ugaidi tunayaona na kuyasikia kwa macho yetu hakuna anayetudanganya
 
Nashindwa kuwatofautisha Nyerere na. Magufuli! Nikimrejea Mzee Mwinyi naona kabisa kama Mwalimu angekuwa hai angemfurahia sana Magufuli kuona ameshika Urais, kwa style yake ya uongozi.

Mafuli alikuwa na Busara kwa watu ambao walikuwa na Busara kwake, ukienda kumuuliza Shekhe Kishki ye atakuambua Magufuli kwake ni Best kwa kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom