Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling

Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling

Wanabodi,

Jee Kuna Uhusiano Kati ya IQ, Dini ya Mtu na Longevity?. Naomba Kuwatumia Marais wa Tanzania as Sampling factors.

Haya ni maswali valid yanayo hitaji majibu ya utafiti wa kina.

Tanzania tumebahatika kuwa na marais 6.
  1. Julius Kambarage Nyerere
  2. Ali Hassan Mwinyi
  3. Benjamin William Mkapa
  4. Jakaya Mrisho Kikwete
  5. John Pombe Magufuli
  6. Samia Suluhu Hassan
Dini Zao
  1. Mkiristu
  2. Kiislamu
  3. Mkiristu
  4. Muislamu
  5. Mkiristu
  6. Muislamu
Hapa kwenye Dini zao, naona kama kuna kupokezana kati ya Mkiristu na Muislamu, jee is it planned au imetokea tuu?. Kama ni planned, then anayefuata ni lazima atoke upande wa pili. If it just happened, then anaweza kufuatiwa na wa kutoka upande wowote.

Denominations zao
  1. Mkiristu RC
  2. Muislamu
  3. Mkiristu RC
  4. Muislamu
  5. Mkiristu RC
  6. Muislamu
Kwa Wakristu, rais akiwa Mkiristu je ni lazima awe RC?. Kwanini wote walioshika urais ni RC only?. Is this planned or it just happened?.
If it's planned ni nani anayepanga?. Hivi Wakristu wa dominions nyingine kama Lutherans, Anglicans, Wasabato, Walokole etc hawawezi?.

Kwa Waislamu, Tanzania tuna Sunni, Issmailia Ahamadia, wale Mabohora, jee nao kuna siku watapata zamu?.

Uhai wao
  1. Amekufa
  2. Yuko Hai
  3. Amekufa
  4. Yuko Hai
  5. Amekufa
  6. Yuko Hai
Jee kuna uhusiano wa dini fulani na longevity?. Kwanini ni marais wa dini moja tuu ndio wametangulia, lakini wa dini nyingine wote wapo?.

Elimu Zao
  1. Straight to University Masters Level
  2. Aliunga Unga ila alipata Masters
  3. Straight to University Masters Level
  4. Aliunga Unga Ila alipata Bachelor ya GPA flani
  5. Straight to University Ph.D iliotiliwa shaka humu JF, (mtia shaka just vanished into thin air)
  6. Aliunga Unga to Masters
Jee kuna uhusiano wa IQ na dini ya mtu?.
Kwa nini watu wa dini fulani shule imesimama, halafu wa dini nyingine ni shule za kuunga Unga?.

Matumizi ya Busara
  1. Busara Sana
  2. Busara Sana na ustaatarabu
  3. Hakuna Busara Ila Ustaatabu
  4. Muungawana, Busara, Ustaarabu
  5. Hakuna Busara, Uungwana wala Ustaarabu
  6. Busara, Uungwana, Ustaarabu Ila na Mipasho!.
Kwanini watu wa dini fulani ndio wanaonekana na busara zaidi kuliko wa dini nyingine?. Jee kuna uhusiano wa dini ya mtu na busara?

Dhana ya Udikiteta
  1. Dikiteta
  2. Hakuwa Dikiteta
  3. Dikiteta
  4. Hakuwa Dikiteta
  5. Dikiteta
  6. Sio Dikiteta
Viongozi wetu madikiteta au wenye udikiteta ni wa dini fulani tuu!. Jee kuna uhusiano wa dini na udikiteta?.

NB. Ni wakati naliandika bandiko hili ndio nikaisikia hii sauti
Paskali
Kwa mtazamo wa harakaharaka IQ haitegemei na dini ya mtu.
Wapo wagunduzi wa dini tofauti na Hata wasio dini pia, wa rangi na makabila / mataifa tofauti. Kuanzia zamani mpaka sasa.
Hayo mengine naendelea kusoma Kwa wadau mpaka nikijiridhisha nitakuja kukupa maoni yangu.
Nota Bene; kuhusu maraisi wa Kiislamu kuwa Sunni, nafikiri inatokana na wengi kuwa kwenye mfumo na wengi Kwa % dhidi ya Madhehebu mengine (labda zamu yao haijafika).
 
Wanabodi,

Jee Kuna Uhusiano Kati ya IQ, Dini ya Mtu na Longevity?. Naomba Kuwatumia Marais wa Tanzania as Sampling factors.

Haya ni maswali valid yanayo hitaji majibu ya utafiti wa kina.

Tanzania tumebahatika kuwa na marais 6.
  1. Julius Kambarage Nyerere
  2. Ali Hassan Mwinyi
  3. Benjamin William Mkapa
  4. Jakaya Mrisho Kikwete
  5. John Pombe Magufuli
  6. Samia Suluhu Hassan
Dini Zao
  1. Mkiristu
  2. Kiislamu
  3. Mkiristu
  4. Muislamu
  5. Mkiristu
  6. Muislamu
Hapa kwenye Dini zao, naona kama kuna kupokezana kati ya Mkiristu na Muislamu, jee is it planned au imetokea tuu?. Kama ni planned, then anayefuata ni lazima atoke upande wa pili. If it just happened, then anaweza kufuatiwa na wa kutoka upande wowote.

Denominations zao
  1. Mkiristu RC
  2. Muislamu
  3. Mkiristu RC
  4. Muislamu
  5. Mkiristu RC
  6. Muislamu
Kwa Wakristu, rais akiwa Mkiristu je ni lazima awe RC?. Kwanini wote walioshika urais ni RC only?. Is this planned or it just happened?.
If it's planned ni nani anayepanga?. Hivi Wakristu wa dominions nyingine kama Lutherans, Anglicans, Wasabato, Walokole etc hawawezi?.

Kwa Waislamu, Tanzania tuna Sunni, Issmailia Ahamadia, wale Mabohora, jee nao kuna siku watapata zamu?.

Uhai wao
  1. Amekufa
  2. Yuko Hai
  3. Amekufa
  4. Yuko Hai
  5. Amekufa
  6. Yuko Hai
Jee kuna uhusiano wa dini fulani na longevity?. Kwanini ni marais wa dini moja tuu ndio wametangulia, lakini wa dini nyingine wote wapo?.

Elimu Zao
  1. Straight to University Masters Level
  2. Aliunga Unga ila alipata Masters
  3. Straight to University Masters Level
  4. Aliunga Unga Ila alipata Bachelor ya GPA flani
  5. Straight to University Ph.D iliotiliwa shaka humu JF, (mtia shaka just vanished into thin air)
  6. Aliunga Unga to Masters
Jee kuna uhusiano wa IQ na dini ya mtu?.
Kwa nini watu wa dini fulani shule imesimama, halafu wa dini nyingine ni shule za kuunga Unga?.

Matumizi ya Busara
  1. Busara Sana
  2. Busara Sana na ustaatarabu
  3. Hakuna Busara Ila Ustaatabu
  4. Muungawana, Busara, Ustaarabu
  5. Hakuna Busara, Uungwana wala Ustaarabu
  6. Busara, Uungwana, Ustaarabu Ila na Mipasho!.
Kwanini watu wa dini fulani ndio wanaonekana na busara zaidi kuliko wa dini nyingine?. Jee kuna uhusiano wa dini ya mtu na busara?

Dhana ya Udikiteta
  1. Dikiteta
  2. Hakuwa Dikiteta
  3. Dikiteta
  4. Hakuwa Dikiteta
  5. Dikiteta
  6. Sio Dikiteta
Viongozi wetu madikiteta au wenye udikiteta ni wa dini fulani tuu!. Jee kuna uhusiano wa dini na udikiteta?.

NB. Ni wakati naliandika bandiko hili ndio nikaisikia hii sauti
Paskali

Mkuu mifano yako bado hairepresent uhalisia. Selection ya sample yako haijafuata vigezo vitakavyokukusaidia kukupa ukweli angalau kuukaribia. Je, umetumia formula gani kuja na sample hiyo ya watu wane (4) in a known population yako ?

-
Pia, kuhusu udikteta, nadhani swali lako lilipaswa kuwa , je kuna uhusiano gani kati ya elimu n udikteta. Ukishakuwa intellectual , dunia unaitazama tofauti sana ukilinganisha na jamii ya kawaida. Hii ndio sababu nchi nyingi za ulaya zimeendelea, they are intellectual, na pia wapo tayari kutoa uhai wa Mtu mmoja for mass benefits or protection Kama unavyoiona USA au Russia , au China.

It is all about how you see the world and ready to step out of comfort zone. TZ ni nchi maskini sana kwa Sababu hatuna intellectuel Leaders , angalia uchumi wa nchi enzi ya Benjamin na JPM , na angalia enzi ya Mwinyi, JK na Samia .....Hali huwaga ni mbaya sana.

Samia kapewa nchi hana hata mwaka , angalia hali ya sasa..... lakini yeye anaona anajitahidi... hiyo ndiyo maana ya low IQ na High IQ
 
Usilinganishe Wana wa Mungu na wasio Wana wa Mungu, hawafanani hata kidogo
Wana wa Mungu halafu wauaji.
Watu walikufa sana Zanzibar, watu walipigwa sana mwembe chai, watu wamewekwa sana kwenye viroba wengine shaba.
Halafu unasema wana wa Mungu loh!
Si bora wafuasi wa Mood.
 
Kwanza nyie waislam hata kupewa uongozi mnapendelewa tu maana idadi yenu ni sawa na tone la maji katika bahari.
Taja miji yenye wakristu na mimi nikutajie miji yenye waislamu wengi.
Mbona huwa mnakataa kuwekwa kipengele cha dini kwenye sensa kama kweli mnajiamini ni wengi?
 
Mkuu mifano yako bado hairepresent uhalisia. Selection ya sample yako haijafuata vigezo vitakavyokukusaidia kukupa ukweli angalau kuukaribia. Je, umetumia formula gani kuja na sample hiyo ya watu wane (4) in a known population yako ?

-
Pia, kuhusu udikteta, nadhani swali lako lilipaswa kuwa , je kuna uhusiano gani kati ya elimu n udikteta. Ukishakuwa intellectual , dunia unaitazama tofauti sana ukilinganisha na jamii ya kawaida. Hii ndio sababu nchi nyingi za ulaya zimeendelea, they are intellectual, na pia wapo tayari kutoa uhai wa Mtu mmoja for mass benefits or protection Kama unavyoiona USA au Russia , au China.

It is all about how you see the world and ready to step out of comfort zone. TZ ni nchi maskini sana kwa Sababu hatuna intellectuel Leaders , angalia uchumi wa nchi enzi ya Benjamin na JPM , na angalia enzi ya Mwinyi, JK na Samia .....Hali huwaga ni mbaya sana.

Samia kapewa nchi hana hata mwaka , angalia hali ya sasa..... lakini yeye anaona anajitahidi... hiyo ndiyo maana ya low IQ na High IQ
Nacheka kwa dharau, halafu nanyamaza tu yapite maana hayakuanza leo haya na hayatoisha mpaka mwisho wa dunia!
 
Well, nijuavyo mimi Capitalism na na Christianity 1-1, Christianity ndio baba wa Capitalism au kwa maneno mengine Christianity imeanzisha Capitalism au free market economy inayotawala Dunia ya leo.

Pia usisahahu corruption kubwa nchini mwetu imetokea wakati wa Awamu ya 4 na sasa hivi na hawa wote wawili have one thing in common, Islam.

Hii nchi haijawahi kuwa mismanaged kama sasa hivi na Awamu ya 4, …
Hivi kwa nini Madiba aligoma kufungua jumba la Mkapa huko South?.
 
Wana wa Mungu halafu wauaji.
Watu walikufa sana Zanzibar, watu walipigwa sana mwembe chai, watu wamewekwa sana kwenye viroba wengine shaba.
Halafu unasema wana wa Mungu loh!
Si bora wafuasi wa Mood.
Kwani kwa wafuasi wa mudy hayakutokea hayo?[emoji848]
 
Wanabodi,

Jee Kuna Uhusiano Kati ya IQ, Dini ya Mtu na Longevity?. Naomba Kuwatumia Marais wa Tanzania as Sampling factors.

Haya ni maswali valid yanayo hitaji majibu ya utafiti wa kina.

Tanzania tumebahatika kuwa na marais 6.
  1. Julius Kambarage Nyerere
  2. Ali Hassan Mwinyi
  3. Benjamin William Mkapa
  4. Jakaya Mrisho Kikwete
  5. John Pombe Magufuli
  6. Samia Suluhu Hassan
Dini Zao
  1. Mkiristu
  2. Kiislamu
  3. Mkiristu
  4. Muislamu
  5. Mkiristu
  6. Muislamu
Hapa kwenye Dini zao, naona kama kuna kupokezana kati ya Mkiristu na Muislamu, jee is it planned au imetokea tuu?. Kama ni planned, then anayefuata ni lazima atoke upande wa pili. If it just happened, then anaweza kufuatiwa na wa kutoka upande wowote.

Denominations zao
  1. Mkiristu RC
  2. Muislamu
  3. Mkiristu RC
  4. Muislamu
  5. Mkiristu RC
  6. Muislamu
Kwa Wakristu, rais akiwa Mkiristu je ni lazima awe RC?. Kwanini wote walioshika urais ni RC only?. Is this planned or it just happened?.
If it's planned ni nani anayepanga?. Hivi Wakristu wa dominions nyingine kama Lutherans, Anglicans, Wasabato, Walokole etc hawawezi?.

Kwa Waislamu, Tanzania tuna Sunni, Issmailia Ahamadia, wale Mabohora, jee nao kuna siku watapata zamu?.

Uhai wao
  1. Amekufa
  2. Yuko Hai
  3. Amekufa
  4. Yuko Hai
  5. Amekufa
  6. Yuko Hai
Jee kuna uhusiano wa dini fulani na longevity?. Kwanini ni marais wa dini moja tuu ndio wametangulia, lakini wa dini nyingine wote wapo?.

Elimu Zao
  1. Straight to University Masters Level
  2. Aliunga Unga ila alipata Masters
  3. Straight to University Masters Level
  4. Aliunga Unga Ila alipata Bachelor ya GPA flani
  5. Straight to University Ph.D iliotiliwa shaka humu JF, (mtia shaka just vanished into thin air)
  6. Aliunga Unga to Masters
Jee kuna uhusiano wa IQ na dini ya mtu?.
Kwa nini watu wa dini fulani shule imesimama, halafu wa dini nyingine ni shule za kuunga Unga?.

Matumizi ya Busara
  1. Busara Sana
  2. Busara Sana na ustaatarabu
  3. Hakuna Busara Ila Ustaatabu
  4. Muungawana, Busara, Ustaarabu
  5. Hakuna Busara, Uungwana wala Ustaarabu
  6. Busara, Uungwana, Ustaarabu Ila na Mipasho!.
Kwanini watu wa dini fulani ndio wanaonekana na busara zaidi kuliko wa dini nyingine?. Jee kuna uhusiano wa dini ya mtu na busara?

Dhana ya Udikiteta
  1. Dikiteta
  2. Hakuwa Dikiteta
  3. Dikiteta
  4. Hakuwa Dikiteta
  5. Dikiteta
  6. Sio Dikiteta
Viongozi wetu madikiteta au wenye udikiteta ni wa dini fulani tuu!. Jee kuna uhusiano wa dini na udikiteta?.

NB. Ni wakati naliandika bandiko hili ndio nikaisikia hii sauti
Paskali
Eti "ya kuunga unga"[emoji1787][emoji119]
 
Jakaya Kikwete hakuunga unga

Alipasua kibaha A level, Udsm pia alifaulu ingawa yasemekana alikuwa a"disco" ila walimbeba kumaliza Bachelor Degree yake ya Uchumi pale UDSM
Sasa utasemaje tena hakuunga unga?. Wakati huo huo unasema alidisco na umesema alibebwa. Kwa ujumla wake aliunga-unga
 
Kuna baadhi ya waislamu humu jamvini huwa hawana hulka ya ugomvi kabisaaa, wao hata mtu awajibu mbovu humjibu kwa hekma na adabu mpaka alietoa shit ataona aibu na ataacha.

Wao husema ya kwamba dini yao haijawafunza kutukana wale wawatukanao na kuwapinga bali kuwaelimisha kwa hekma.

Sijui wako wapi waislamu wale, hawa wanaochangia humu sijui ni waislamu wa wapi hawa. Juzi tu wametoka kwenye mfungo leo hii ni matusi, kushushiana hadhi na utu.
Binafsi huwa napenda kujifunza kutokana na majibu yao ya hekma coz wengi huwa wameyapangilia vyema sana na facts kutoka kitabu chao kitakatifu na baadhi ya hadithi.
Ila sio hawa waislam wa mchongo wenye mihemko isiyo na tija, na hawa wahemkaji ndio wanaofanya watu wa dini nyingine waone waislam wana vurugu na kupenda vita.
 
Historia ya kuwa ali"disco" wapi umeipata? Na ndio maana nikasema kuna "maneno" ikimaanisha sio taarifa za uhakika kuwa alimaliza kwa kubebwa na sio kwamba kubebwa kwake ni sababu ya kichwa kibovu na wapo watu huwa wanafeli sababu ya uvivu na sio uwezo kuwa mdogo

Jakaya kufaulia Kibaha ambayo ni shule ya vipaji itoshe kukujuza yeye ni _______ utajaza mwenyewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Isipokuwa hata Maandiko Matakatifu yanafundisha kuwa na rehema na hiyo huwezesha kuwa na maisha marefu sana!

Ukali , ukatili, visasi, hasira havifai .

Ndio maana Imeandikwa;

“ jua lisichwe mngali na hasira moyoni “

Manufacturer wa mwanadamu ndiye ametoa maelekezo kwenye user manual yake (Biblia).
Yesu mbona alikufa kijana na Yesu watu humuita Mungu
 
Well, nijuavyo mimi Capitalism na na Christianity 1-1, Christianity ndio baba wa Capitalism au kwa maneno mengine Christianity imeanzisha Capitalism au free market economy inayotawala Dunia ya leo.

Pia usisahahu corruption kubwa nchini mwetu imetokea wakati wa Awamu ya 4 na sasa hivi na hawa wote wawili have one thing in common, Islam.

Hii nchi haijawahi kuwa mismanaged kama sasa hivi na Awamu ya 4, …
Umesahau awamu ya pili
 
Umesahau awamu ya pili

Awamu ya pili naisamehe kwani ina mengi mazuri ilifanya mimi ni mnufaika mkubwa na wenzangu wengi tulishuhudia mengi, hivyo naisamehe kama ilikuwa na matatizo siyo kama ya awamu ya 4 na na sasa hivi!
 
Back
Top Bottom