Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling

Nafikiri ndivyo alivyo.

Unaweza kuwa na imagination kuwa mtu fulani ana uwezo mzuri wa kufikiri, hoja na Agenda za nguvu. Kumbe Ni takataka kabisa na hawezi kuwa tofauti.

Kwahiyo tatizo kubwa siyo yeye, Ni wewe uliyedhani alivyo kumbe sivyo.
Sentences ya mwisho umemaliza kila kitu.
 
Sasa kumbe ali disco. Ni aliunga unga, full stop.

Historia ya kuwa ali"disco" wapi umeipata? Na ndio maana nikasema kuna "maneno" ikimaanisha sio taarifa za uhakika kuwa alimaliza kwa kubebwa na sio kwamba kubebwa kwake ni sababu ya kichwa kibovu na wapo watu huwa wanafeli sababu ya uvivu na sio uwezo kuwa mdogo

Jakaya kufaulia Kibaha ambayo ni shule ya vipaji itoshe kukujuza yeye ni _______ utajaza mwenyewe
 
Short and clear ,kuishi mda mrefu ni nataka na msingi wake ni kutenda haki lakini wale wa dini ile na lile Kanisa kubwa ni makatili na wamekufa.
 
Kwanza nyie waislam hata kupewa uongozi mnapendelewa tu maana idadi yenu ni sawa na tone la maji katika bahari.
 
Jakaya Kikwete hakuunga unga

Alipasua kibaha A level, Udsm pia alifaulu ingawa yasemekana alikuwa a"disco" ila walimbeba kumaliza Bachelor Degree yake ya Uchumi pale UDSM
Kipindi hicho shule zilikuwa chache lazima angeenda katika shule hizo na chuo hicho cha UDSM.
Jakaya hana tofauti na Makamba Junior form 4 failure-lakini anajiona mjuaji kuliko watu wote Tz.
 
Paskali, pamoja inawezekana lipo lengo jema kwa uzi huu lakini itazaa mpasuko wa dini. Kila mtu atatea imani yake na hilo litazaa product ya udini.
 
Ona sasa unavyokariri ndo mnavyodanganywa sisi magaidi huko kanisani
Kanisa ninalosali halijawahi kuhubili au kuongelea imani ya mtu mwingine kama mfanyavyo nyinyi sisi tunahubili amani na upendo hayo maswala ya Ugaidi tunayaona na kuyasikia kwa macho yetu hakuna anayetudanganya
 
Nashindwa kuwatofautisha Nyerere na. Magufuli! Nikimrejea Mzee Mwinyi naona kabisa kama Mwalimu angekuwa hai angemfurahia sana Magufuli kuona ameshika Urais, kwa style yake ya uongozi.

Mafuli alikuwa na Busara kwa watu ambao walikuwa na Busara kwake, ukienda kumuuliza Shekhe Kishki ye atakuambua Magufuli kwake ni Best kwa kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…