White party
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 1,035
- 1,169
Jakaya Kikwete hakuunga unga
Alipasua kibaha A level, Udsm pia alifaulu ingawa yasemekana alikuwa a"disco" ila walimbeba kumaliza Bachelor Degree yake ya Uchumi pale UDSM
kwa taarifa yako raisi aliyepo ndio raisi bora kuliko watangulizi wake wote.Unajua watu wanaleta mfumo dume hasa watu wa kanda ya ziwa kuwa mwanamke hawezi kuongoza nchi.Kumbuka kati ya viongozi 100 duniani huyu mama ameshinda naye yupo.Mtangulizi wake hakuwa hivyoUkweli ni kwamba raisi aliyeko hafai kuongoza hili taifa Pascal Mayalla
umemsahau mmoja hapo Huyu aliyekwenda zakeMkapa na Nyerere walikuwa madikteta???
kwani Masters sio shahada?Huwezi kuwa na busara iwapo hauna IQ Pascal Mayalla Lengo lako ni kutaka kuonyesha kuwa wakristo Wana akili Sana. Hilo umeshalizungumza kwenye thread zako zilizopita. Kwanza una bias za kidini na hilo linaonekana wazi kwenye thread zako hasa zile zenye majibizano ma Mohamed Said na FaizaFoxy. Ulichofanya hapo ni kuficha baadhi ya taarifa muhimu kwenye data na sampuli yako. Mfano Jakaya amesoma shule ya vipaji maalum kati ya hao wote. Hata JPM pia ameunga. Nyerere hana shahada/degree bali ana Diploma na Shahada ya Uzamili (Master) same as Mwinyi hana Shahada bali ana Diploma na Master.
acha hizo wewe kwa taarifa yako waslam ndio walipigania Uhuru wa nchi hii wakati wakristo walikuwa vibaraka wa mkoloniWewe mayalla ni zuzu sana, kwani ujui kuwa kuna dictator mzalendo na dictator asiye mzalendo
TANZANIA TUNATAKA RAIS DICTATOR TENA DICTATOR KWELIKWELI ILA AWE MZALENDO TENA MZALENDO KWELIKWELI , tz tunapata bahati ya kuwa na viongozi wazalendo wakristo kuliko waislum ndiyo maana tunapiga hatua 5 mbele nchi ikiwa mikononi mwa mkristo na kupiga hatua 10 nyuma nchi ikiwa mikononi mwa waislamu kwa sababu marais wote waislamu tuliopata tz wanasujudia mabeberu , VIONGOZI WAISLAMU WANAZINGATIA KILA NENO LITOKALO KWENYE KINYWA CHA BEBERU WAKATI VIONGOZI WAKRISTO WANAZINGATIA UZALENDO NA AKILI
[emoji16][emoji16][emoji16]Hata huku mtaani wenzetu waisilam elimu dunia hawaitilii maanani
[emoji38][emoji38][emoji38]Ngoja niandae popcorn [emoji897][emoji897][emoji897] najua kuna moto utawaka humu soon ..
wewe pia umeunga ungaWanabodi,
Jee Kuna Uhusiano Kati ya IQ, Dini ya Mtu na Longevity?. Naomba Kuwatumia Marais wa Tanzania as Sampling factors.
Haya ni maswali valid yanayo hitaji majibu ya utafiti wa kina.
Tanzania tumebahatika kuwa na marais 6.
Dini Zao
- Julius Kambarage Nyerere
- Ali Hassan Mwinyi
- Benjamin William Mkapa
- Jakaya Mrisho Kikwete
- John Pombe Magufuli
- Samia Suluhu Hassan
Hapa kwenye Dini zao, naona kama kuna kupokezana kati ya Mkiristu na Muislamu, jee is it planned au imetokea tuu?. Kama ni planned, then anayefuata ni lazima atoke upande wa pili. If it just happened, then anaweza kufuatiwa na wa kutoka upande wowote.
- Mkiristu
- Kiislamu
- Mkiristu
- Muislamu
- Mkiristu
- Muislamu
Denominations zao
Kwa Wakristu, rais akiwa Mkiristu je ni lazima awe RC?. Kwanini wote walioshika urais ni RC only?. Is this planned or it just happened?.
- Mkiristu RC
- Muislamu
- Mkiristu RC
- Muislamu
- Mkiristu RC
- Muislamu
If it's planned ni nani anayepanga?. Hivi Wakristu wa dominions nyingine kama Lutherans, Anglicans, Wasabato, Walokole etc hawawezi?.
Kwa Waislamu, Tanzania tuna Sunni, Issmailia Ahamadia, wale Mabohora, jee nao kuna siku watapata zamu?.
Uhai wao
Jee kuna uhusiano wa dini fulani na longevity?. Kwanini ni marais wa dini moja tuu ndio wametangulia, lakini wa dini nyingine wote wapo?.
- Amekufa
- Yuko Hai
- Amekufa
- Yuko Hai
- Amekufa
- Yuko Hai
Elimu Zao
Jee kuna uhusiano wa IQ na dini ya mtu?.
- Straight to University Masters Level
- Aliunga Unga ila alipata Masters
- Straight to University Masters Level
- Aliunga Unga Ila alipata Bachelor ya GPA flani
- Straight to University Ph.D iliotiliwa shaka humu JF, (mtia shaka just vanished into thin air)
- Aliunga Unga to Masters
Kwa nini watu wa dini fulani shule imesimama, halafu wa dini nyingine ni shule za kuunga Unga?.
Matumizi ya Busara
Kwanini watu wa dini fulani ndio wanaonekana na busara zaidi kuliko wa dini nyingine?. Jee kuna uhusiano wa dini ya mtu na busara?
- Busara Sana
- Busara Sana na ustaatarabu
- Hakuna Busara Ila Ustaatabu
- Muungawana, Busara, Ustaarabu
- Hakuna Busara, Uungwana wala Ustaarabu
- Busara, Uungwana, Ustaarabu Ila na Mipasho!.
Dhana ya Udikiteta
Viongozi wetu madikiteta au wenye udikiteta ni wa dini fulani tuu!. Jee kuna uhusiano wa dini na udikiteta?.
- Dikiteta
- Hakuwa Dikiteta
- Dikiteta
- Hakuwa Dikiteta
- Dikiteta
- Sio Dikiteta
NB. Ni wakati naliandika bandiko hili ndio nikaisikia hii sauti
PaskaliVoices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke
Wanabodi Haya mambo ya mtu kusikia sauti, sio mambo ya ulimwengu huu wa mwili, haya ni mambo ya ulimwengu wa Roho. Hii ni thread ya maono tuu ya unabii, sio utabiri, sio trends readings, ni unaisikia tuu sauti inakuambia jambo fulani bila kukuambia sababu za jambo hilo, na huwezi kuuliza, hivyo...www.jamiiforums.com
Alidisco sababu ya mademuJakaya Kikwete hakuunga unga
Alipasua kibaha A level, Udsm pia alifaulu ingawa yasemekana alikuwa a"disco" ila walimbeba kumaliza Bachelor Degree yake ya Uchumi pale UDSM
Una akili kubwa sanaKwa nini unamwita mwaafrika mwenzako kijakazi wa mudy[emoji848]?
Tena na Phd ya mchongoPaskali hapo kwenye elimu, namba tano umechapia. Si straight to University, bali diploma ya ualimu then University.