Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling

Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling

Kikwete aliunga unga SHULE???

Magufuli nakumbuka ndio ALIUNGA UNGA hadi kupata degree ya kwanza
 
Kuhusu mauaji katika nchi:
1. Yalikuwepo though moderately
2. Hayakuwepo
3. Yalikuwepo mengi
4. Hayakuwepo
5. Yalikuwepo hadi yakatia fora
6. Hayapo
Pia kuhusu haki za binadamu (ukiacha haki ya kuishi iliyoelezewa hapo juu)
1. Zilizingatiwa kiasi
2. Zilizingatiwa
3. Haziku zingatiwa
4. Zilizingatiwa
5. Zilifutwa
6. Zinazingatiwa
 
FB_IMG_1653776094092.jpg
 
Umewaza nini kufikiria haya?.Hakuna binadamu asiye na strong na weakness hilo tukubali
Hebu sasa tuanze kupanga kufuata sifa flani kwa hadidu rejea yaan terms of preference choice mimi naanza chini ya haya majina.
  1. Julius Kambarage Nyerere
  2. Ali Hassan Mwinyi
  3. Benjamin William Mkapa
  4. Jakaya Mrisho Kikwete
  5. John Pombe Magufuli
  6. Samia Suluhu Hassan
HEKIMA
1.Ali Hassan Mwinyi
2.Julius Kambarage Nyerere
3.Jakaya Mrisho Kikwete
4.Samia Suluhu Hassan
5.Benjamin Willim Mkapa
6.John Pombe Magufuli
BUSARA
1.Ali Hassan Mwinyi
2.Samia Suluh Hassan
3.Jakaya Mrisho Kikwete
4.Julius Kambarage Nyerere
5.Benjamin Willim Mkapa
6.John Pombe Magufuli
MCHAPA KAZI
1.John Pombe Magufuli
2.Benjamin William Mkapa
3.Samia Suluhu Hassan
4.Julius Kambarage Nyerere
5.Jakaya Mrisho Kikwete
6.Ali Hassan Mwinyi
MWANASIASA
1.Julius Kambarage Nyerere
2.Jakaya Mrisho Kikwete
3.Benjamin William Mkapa
4.Samia Suluhu Hassan
5.Ali Hassan Mwinyi
6.John Pombe Magufuli
MPENDA WANYONGE
1.John Pombe Magufuli
2.Julius Kambarage Nyerere
3.Benjamin William Mkapa
4.Ali Hassan Mwinyi
5.Samia Suluhu Hassan
6.Jakaya Mrisho Kikwete
MPENDA WALICHO NACHO
1.Ali Hassan Mwinyi
2.Jakaya Mrisho Kikwete
3.Samia Suluhu Hassan
4.Benjamin William Mkapa
5.John Pombe Magufuli
6.Julius Kambarage Nyerere
DIKTETA
1.John Pombe Magufuli
2.Julius Kambarage Nyerere
3.Benjamin William Mkapa
4.Jakaya Mrisho Kikwete
5.Samia Suluhu Hassan
6.Ali Hassan Mwinyi
KUUPIGA MWINGI
1.Samia Suluhu Hassan
2.Jakaya Mrisho Kikwete
3.John Pombe Magufuli
4.William Benjamin Mkapa
5.Ali Hassan Mwinyi
6.Julius Kambarage Nyerere
CHARISMATIC(MVUTO) KITAIFA
1.John Pombe Magufuli
2.Julius Kambarage Nyerere
3.Ali Hassan Mwinyi-huyu ndio akaitwa Ruksa
4.Jakaya Mrisho Kikwete
5.Benjamin Willim Mkapa
6.Samia Suluhu Hassan-huyu tatizo la nchi mfumo dume kuwa mwanamke hawezi kuwa raisi ila ni kiongozi bora sana.
ELIMU NA NISHANI NYINGI
1.Julius Kambaage Nyerere
2.Benjamin Willim Mkapa
3.Jakaya Mrisho Kikwete
4.John Pombe Magufuli
5.Samia Suluhu Hassan
6.Ali Hassan Mwinyi
MAHUSIANO MAZURI KIMATAIFA
1.Mrisho Jakaya Kikwete
2.Samia Suluhu Hassan
3.Benjamin William Mkapa
4.Ali Hassan Mwinyi
5.Julius Kambarage Nyere(huyu siasa yake ya ujamaa na kutaifisha mali za watu vilimuharibia
6.John Pombe Magufu-Huyu aliharibu sana kuliko watangulizi wake wote.

PATIENCE MVUMILIVUAU SUBIRA
1.Samia Suluhu Hassan
2.Ali Hassan Mwinyi
3.Mrisho Jakaya Kikwete
4.Julius Kambarage Nyerere
5.Benjamin William Mkapa
6.John Pombe Magufuli
FREEDOM OF SPEACH(UHURU WA VYOMBO VYA HABARI)
1.Samia Suluhu Hassan
2.Jakaya Mrisho Kikwete
3.Ali Hassan Mwinyi
4.Benjamin William Mkapa
5.Julius Kambarage Nyerere
6.John Pombe Magufuli
MAHUSIANO NA UPINZANI
1.Samia Suluhu Hassan
2.Jakaya Mrisho Kikwete
3.Ali Hassan Mwinyi
4.Benjamin William Mkapa
5.Julius Kambarage Nyerere
6.John Pombe Magufuli

Hayo ni mawazo yangu tu na wewe unaweza kuweka yako ila tu ninachosisitiza hakuna binadamu mkamilifu labda umlete malaika atutawale.Tuchape kazi tuache kulaumu viongozi wetu na wao sio malaika kuna msemo unasema kila zama na kitabu chake
 
Ukweli ni kwamba raisi aliyeko hafai kuongoza hili taifa Pascal Mayalla
kwa taarifa yako raisi aliyepo ndio raisi bora kuliko watangulizi wake wote.Unajua watu wanaleta mfumo dume hasa watu wa kanda ya ziwa kuwa mwanamke hawezi kuongoza nchi.Kumbuka kati ya viongozi 100 duniani huyu mama ameshinda naye yupo.Mtangulizi wake hakuwa hivyo
 
Huwezi kuwa na busara iwapo hauna IQ Pascal Mayalla Lengo lako ni kutaka kuonyesha kuwa wakristo Wana akili Sana. Hilo umeshalizungumza kwenye thread zako zilizopita. Kwanza una bias za kidini na hilo linaonekana wazi kwenye thread zako hasa zile zenye majibizano ma Mohamed Said na FaizaFoxy. Ulichofanya hapo ni kuficha baadhi ya taarifa muhimu kwenye data na sampuli yako. Mfano Jakaya amesoma shule ya vipaji maalum kati ya hao wote. Hata JPM pia ameunga. Nyerere hana shahada/degree bali ana Diploma na Shahada ya Uzamili (Master) same as Mwinyi hana Shahada bali ana Diploma na Master.
 
Huwezi kuwa na busara iwapo hauna IQ Pascal Mayalla Lengo lako ni kutaka kuonyesha kuwa wakristo Wana akili Sana. Hilo umeshalizungumza kwenye thread zako zilizopita. Kwanza una bias za kidini na hilo linaonekana wazi kwenye thread zako hasa zile zenye majibizano ma Mohamed Said na FaizaFoxy. Ulichofanya hapo ni kuficha baadhi ya taarifa muhimu kwenye data na sampuli yako. Mfano Jakaya amesoma shule ya vipaji maalum kati ya hao wote. Hata JPM pia ameunga. Nyerere hana shahada/degree bali ana Diploma na Shahada ya Uzamili (Master) same as Mwinyi hana Shahada bali ana Diploma na Master.
kwani Masters sio shahada?
Miaka ile kulikuwa hakuna kitu kinaitwa degree ya kwanza Makerere ilikuwa ni diploma
 
Wewe mayalla ni zuzu sana, kwani ujui kuwa kuna dictator mzalendo na dictator asiye mzalendo
TANZANIA TUNATAKA RAIS DICTATOR TENA DICTATOR KWELIKWELI ILA AWE MZALENDO TENA MZALENDO KWELIKWELI , tz tunapata bahati ya kuwa na viongozi wazalendo wakristo kuliko waislum ndiyo maana tunapiga hatua 5 mbele nchi ikiwa mikononi mwa mkristo na kupiga hatua 10 nyuma nchi ikiwa mikononi mwa waislamu kwa sababu marais wote waislamu tuliopata tz wanasujudia mabeberu , VIONGOZI WAISLAMU WANAZINGATIA KILA NENO LITOKALO KWENYE KINYWA CHA BEBERU WAKATI VIONGOZI WAKRISTO WANAZINGATIA UZALENDO NA AKILI
acha hizo wewe kwa taarifa yako waslam ndio walipigania Uhuru wa nchi hii wakati wakristo walikuwa vibaraka wa mkoloni
 
Wanabodi,

Jee Kuna Uhusiano Kati ya IQ, Dini ya Mtu na Longevity?. Naomba Kuwatumia Marais wa Tanzania as Sampling factors.

Haya ni maswali valid yanayo hitaji majibu ya utafiti wa kina.

Tanzania tumebahatika kuwa na marais 6.
  1. Julius Kambarage Nyerere
  2. Ali Hassan Mwinyi
  3. Benjamin William Mkapa
  4. Jakaya Mrisho Kikwete
  5. John Pombe Magufuli
  6. Samia Suluhu Hassan
Dini Zao
  1. Mkiristu
  2. Kiislamu
  3. Mkiristu
  4. Muislamu
  5. Mkiristu
  6. Muislamu
Hapa kwenye Dini zao, naona kama kuna kupokezana kati ya Mkiristu na Muislamu, jee is it planned au imetokea tuu?. Kama ni planned, then anayefuata ni lazima atoke upande wa pili. If it just happened, then anaweza kufuatiwa na wa kutoka upande wowote.

Denominations zao
  1. Mkiristu RC
  2. Muislamu
  3. Mkiristu RC
  4. Muislamu
  5. Mkiristu RC
  6. Muislamu
Kwa Wakristu, rais akiwa Mkiristu je ni lazima awe RC?. Kwanini wote walioshika urais ni RC only?. Is this planned or it just happened?.
If it's planned ni nani anayepanga?. Hivi Wakristu wa dominions nyingine kama Lutherans, Anglicans, Wasabato, Walokole etc hawawezi?.

Kwa Waislamu, Tanzania tuna Sunni, Issmailia Ahamadia, wale Mabohora, jee nao kuna siku watapata zamu?.

Uhai wao
  1. Amekufa
  2. Yuko Hai
  3. Amekufa
  4. Yuko Hai
  5. Amekufa
  6. Yuko Hai
Jee kuna uhusiano wa dini fulani na longevity?. Kwanini ni marais wa dini moja tuu ndio wametangulia, lakini wa dini nyingine wote wapo?.

Elimu Zao
  1. Straight to University Masters Level
  2. Aliunga Unga ila alipata Masters
  3. Straight to University Masters Level
  4. Aliunga Unga Ila alipata Bachelor ya GPA flani
  5. Straight to University Ph.D iliotiliwa shaka humu JF, (mtia shaka just vanished into thin air)
  6. Aliunga Unga to Masters
Jee kuna uhusiano wa IQ na dini ya mtu?.
Kwa nini watu wa dini fulani shule imesimama, halafu wa dini nyingine ni shule za kuunga Unga?.

Matumizi ya Busara
  1. Busara Sana
  2. Busara Sana na ustaatarabu
  3. Hakuna Busara Ila Ustaatabu
  4. Muungawana, Busara, Ustaarabu
  5. Hakuna Busara, Uungwana wala Ustaarabu
  6. Busara, Uungwana, Ustaarabu Ila na Mipasho!.
Kwanini watu wa dini fulani ndio wanaonekana na busara zaidi kuliko wa dini nyingine?. Jee kuna uhusiano wa dini ya mtu na busara?

Dhana ya Udikiteta
  1. Dikiteta
  2. Hakuwa Dikiteta
  3. Dikiteta
  4. Hakuwa Dikiteta
  5. Dikiteta
  6. Sio Dikiteta
Viongozi wetu madikiteta au wenye udikiteta ni wa dini fulani tuu!. Jee kuna uhusiano wa dini na udikiteta?.

NB. Ni wakati naliandika bandiko hili ndio nikaisikia hii sauti
Paskali
wewe pia umeunga unga
 
Back
Top Bottom