paschal Burra
JF-Expert Member
- Jul 1, 2021
- 374
- 332
Jamii ipi inayomlaani makondaUkishalaaniwa na Jamii wewe ni SAwa na deadman,ogopa Sana jamii isikuhukumu
Ile ile iliyomlaani boss wake.Jamii ipi inayomlaani makonda
Ukikua utajuaAlimuua Nani?
Rais mzalendoYe ni nani nchi hii
Raisi wa jela kama mfungwa mtarajiwaRais mzalendo
Tena kukamata kwenyewe ka mtu ka moja ! Jephta upo sahihi.Ile idara ina kazi nyingi sana,yaani iache zake ije kufanya kazi ya ukamataji?,unajua majukumu ya hiyo idara?
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] popoma aliyetukukaanaitwa popo-ma aka kilaza. mwenyewe huwa anajionaga bonge la genius kwa haya maujinga yake anayoandika.
Hakuna operation inaweza fanyika, Director wa intelligence awe gizani, NEVERUnayajua majukumu ya Deputy Director?
Kubenea ni mtu mzito, usimchukulie poaKUBENEA siku zote anaishinkwa UNAFIKI.
Na tena Unafiki unamlipa sana.
Unafiki huo huo umewahi kumpa mpaka Ubunge.
KUBENEA aliwahi kuandika kuwa Lowassa Ni FISADI papa kwa miaka 8 na ghafla ndani ya usiku mmoja, akamsafisha Lowassa na kupewa nafasi ya kugombea Ubunge Ubungo kupitia CDM.
Aliwadanganya watu wa Ubungo, akishinda atawataja waliobeba pesa za Stanbic Escrow mpaka leo kimya.
Amekuwa akitumika na Mbowe kujifanya anapata taarifa za TISS kuwa Zitto Ni msaliti kama kawaida yake, Mara ACT imeanzishwa na Lowassa na Mara ghafla uchaguzi wa 2020 akahamia huko huko ACT kwa Zitto.
In short, huyu KUBENEA Ni mpuuzi fualani anayejua kukoroga akili za misukule went mtindio wa ubongo wasio na kumbukumbu.
Sasa hivi ,ameona atoke vipi ndio kaamua kuleta hizi drama uchwara za Making[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata CIA hawana ruksa ku Terminate raia wa marekani, iwe ni ndani ya marekani au nje ya marekani bila OK ya mr PresidentIlishindwa vipi kuuondoa uovu hata kwa assassination of source of evil.
Hakuna namna yeyeto ya kuepusha na lawama
TISS haina mamlaka ya kukamata, kila sehem na majukum yake ndo maana polisi haendi kulinda ndani ya gereza na askari wa magereza hawafungui kesi za jinai kwahyo kila mtu na majukumu yakeTena kukamata kwenyewe ka mtu ka moja ! Jephta upo sahihi.
Sahihi mkuuTISS haina mamlaka ya kukamata, kila sehem na majukum yake ndo maana polisi haendi kulinda ndani ya gereza na askari wa magereza hawafungui kesi za jinai kwahyo kila mtu na majukumu yake
Ww ndo muwakilishi wa jamii?Ukishalaaniwa na Jamii wewe ni SAwa na deadman,ogopa Sana jamii isikuhukumu
Yuko kwako, eti?Tatizo kubwa sana la hii nchi Ni hili wimbi la vijana wengi kubugia POMBE KALI na BANGI.
Muda wote wanaona MARUWERUWE na kuhisi his vitu hata ambavyo HAVIPO.
Bashite akimbie kwa ISSUE gani kubwa hiyo?
Serikali mpaka sasa haijaonesha Nia ya KUMSHTAKI.
Clouds wenyewe ambao ndio WAHUSIKA ( VICTIMS) mpaka sasa wamejiweka pembeni, hawatoi ushirikiano Wala KUHUSIKA kwenye KESI.
Kilichopo Ni KUBENEA KUPIGA SIASA na kuuza vipeperushi vyake tu. Hakuna kitu serious chochote mpaka sasa zaidi ya UPUMBAVU na wapumbavu tu kupata vijiagenda vya kusukumia SIKU mitandaoni.
Matendo yako kwa Jamii ndio Jamii uamua ikuweke fungu ganiWw ndo muwakilishi wa jamii?
Katika Handaki / Sebuleni Kwako Ndugu?Makonda yuko Arusha anaishi Njiro.