Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda uishi nyuma ya ofisi unayofanyia kazi ndo itatoshaHabari wadau!
Ebu nisaidieni hivi kweli 310,000/= inatosha mtu kufanya kazi na kuishi DAR au unatakiwa kuwa na miundombinu mingine?
Mpaka nakuja kutoka hapo mshahara ulifika 700k, ila mengine nje ya mshahara ndiyo yaliyonipa heshima zaidi.Wow ulianza na mshahara huo na ukagrow? Ama uliridhika hivo hivo for 10 yrs mkuu?
I am a Taxi Driver mkuu sidanganyi. That's what I do for a living.Mmh wewe ni Soldier salary yako 7M hivi, si taxi driver 🤔
Asante sana mkuu ila kwa sasa biashara ni ngumu kutokana na wingi wa BajajKaka hongera bhana 😀😂
Unaweza ukaishi hadi ndani ya ofisi, na bado isikutoshe!! HahahaaLabda uishi nyuma ya ofisi unayofanyia kazi ndo itatosha
Mpaka nakuja kutoka hapo mshahara ulifika 700k, ila mengine nje ya mshahara ndiyo yaliyonipa heshima zaidi.
ok uko vizuri mkuu ulijitengenezea CV yako 👍
Baba uneuaaaa 🤣🤣🤣Unaweza ukaishi hadi ndani ya ofisi, na bado isikutoshe!! Hahahaa
Ok hongera mkuu! Na upo kwa industry for how long sasa? Biashara ilikuaje by then and now bodaboda kibao plus bajaji? HaijawaathiriI am a Taxi Driver mkuu sidanganyi. That's what I do for a living.
Nimeanza Taxi Driving tangia 2019. Biashara ngumu kwa sababu ya Bajaj. Kuna siku inaisha bila kupata hata 1,000Ok hongera mkuu! Na upo kwa industry for how long sasa? Biashara ilikuaje by then and now bodaboda kibao plus bajaji? Haijawaathiri
Dah biashara imekua na ushindani sana hii mtu anaona bora achukue boda au bajaji nafuu kuliko tax aisee🤔Nimeanza Taxi Driving tangia 2019. Biashara ngumu kwa sababu ya Bajaj. Kuna siku inaisha bila kupata hata 1,000
Yaaah ni ngumu ila nakomaa nayo mdogo mdogo kuliko kuwa mhalifuDah biashara imekua na ushindani sana hii mtu anaona bora achukue boda au bajaji nafuu kuliko tax aisee🤔
Kweli kabisa mkuu! Ipo siku mambo yatakaa fresh tu 🙏Yaaah ni ngumu ila nakomaa nayo mdogo mdogo kuliko kuwa mhalifu
210k, una familia, hivi unaishije serious....japo nami naishi ila sijui naishije [emoji23][emoji23][emoji23] nadhani huu ni muujiza tosha, sihitaji miujiza tena kwenye maisha yangu
Mkuu sidhani kama kuna mtu anapenda mshahara mdogo ila kuna mda inafika unakosa options zingine kabisa, imagine ajira zilivo ngumu ukapata offer ya chini ya 600k unadhani utaiacha kweli? Kujiajiri bila pesa pia changamoto. Nikikumbuka msoto wa kutafuta ajira aah nilikua Tayari hata kulipwa 200,000/=Watanzania wanamatizo Sana , ndio maana magabachori hawaishi kuwatumikisga kama slaves Kwa ujira WA ovyo kuliko maelezo na manyanyaso juu ,makondoo ni wengi .
We mtu unakubali vipi kulipwa mshahara chini ya laki SITA Kwa Maisha haya ya sikuhizi kila kitu ghali like how ? Tena huo mshahara WA laki SITA ni unlivable wage , hakika Tanzania ni taifa la Manamba
😀 umenikumbusha kwenye daladala leo nimemgusa mbaba huyo bahati mbaya dah kanikata jicho la hasira hilo 🙌Ndio maana dsm watu muda wote wako na hasira ,...
Sasa 200k kwa mwezi mtu unaishi vipi na unafamilia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]