Handle
JF-Expert Member
- May 12, 2020
- 236
- 277
Nyie ndo mnafilisi kampuni za gesi 😀
Yeah mjini lazma tuvumiliane tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie ndo mnafilisi kampuni za gesi 😀
😂😂😂😂Ishu ni una wategemezi wangapi?
Inawezekana chai inanywewa wikend tu siku za kawaida haipikwi kwa kuwa watoto wako shule.Kuna siku nilikua naongea na mtu haya mambo ya kipato, akawa ananipigia hesabu kiukweli ni za kufikirika, eti sukari kwa mwezi kilo 1 hivi kilo moja ya sukari inakataje mwezi jamani kwenye familia?
Ndio zile hesabu za shamba unaweka milioni moja unalima unapanda unavuna faida unapata mil 13 ukitoa garama nyingine inabaki mkononi na m12
Uswahilini hizo tunaziita pasi ndefu😁😁😁😁Inawezekana chai inanywewa wikend tu siku za kawaida haipikwi kwa kuwa watoto wako shule.
Nyingi sana hiyo sharti usiwe na makuuHabari wadau!
Ebu nisaidieni hivi kweli 310,000/= inatosha mtu kufanya kazi na kuishi DAR au unatakiwa kuwa na miundombinu mingine?
Basi hii mambo inabaki kuwa "inategemea" inategemea na sababu nyingi......Inawezekana chai inanywewa wikend tu siku za kawaida haipikwi kwa kuwa watoto wako shule.
Wengi hawazijui, chai mnakunywa saa sita mchana na kiporo Cha Jana Cha ubwabwa na maharage , mkitoka hapo tukutane Tena usiku..Uswahilini hizo tunaziita pasi ndefu😁😁😁😁
Aseee[emoji848][emoji849][emoji16]kwangu natumia kiasi hicho ndo bili ninayolipa ila nimekuwa mpare kidogo
kwanza marufuku kutumia maji kabla hayajakingwa
vyombo havioshi na maji ya moja kwa moja bombani kwa kuwa kawaida yenu glass imetumika kwa kumpa mgeni mara moja lakini inaweza kuoshwa kwa glass tatu utaratibu huu wengi niliowafundisha wamepunguza gharama kwa zaidi ya 50% pia unapofungua maji fungua yatoke taratibu ili usiruhusu upepo uingie katika bill ya maji upo hapo
Huyu anko wangu huyu lazima huwa anahesabu nyanya kwa friji, ole wake ipungue atajieleza mtu mchuzi gani huo wa kuweka nyanya tatu, si wangeweka moja wakaweka food colour
[emoji16][emoji16][emoji16]..mkuu unanifurahisha comments zakoninamchele mpaka wa kula mwakani kwani nina gunia moja la mchele na mimi kwa sasa napunguza uzito hivyo wali nishapiga chini
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]310,000 mbona inatosha japo ni ngumu kufanya saving,kodi ya chumba na sebule medium quality 60000,umeme na maji 10000,chakula unasaga debe 2 za unga kila debe maximum 15000x2 ni 30000,maharage kilo 5x2000 ni 10000,mchele kilo 20x1200 ni 24000,mafuta Lita 5 ni 25000,mkaa nunua gunia moja 50000,gesi 25000 JUMLA NI 234000 hivyo ukiitoa kwenye 310000 itabaki 76000,suala la afya kata bima ya familia 54000 kwa mwaka,itabaki 22000 hii ya kubadilishia mboga kwa mwezi.Nauli kazini itabidi uwe mdau wa tz 11,suala la mavazi ni anasa,chai asubuhi ni anasa,king'amuzi ni anasa,bia ni anasa,kuhonga ni anasa, kutoa sadaka Mungu ndio anajua hali yako atakusamehe,YAANI KIFUPI UTAISHI KAMA SHETANI au nasema uongo ndugu zangu
Usirudi kwenu,njoo kwangu wakati unajipanga upya.Mnaoishi tunaomba mchanganuo jamani mnaishi vipi, make mi naona dalili za kurudi kwetu.
Weekend kitimoto rosti na ka bia kamoja [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi ni "niite tuje"Usirudi kwenu,njoo kwangu wakati unajipanga upya.
Umenikumbusha zamani tulikuwa tunawadai wazazi hela ya shule tsh 20 ambayo kwa sasa watoto kwenda shule wanapewa buku.Ss usiombe huwe na watoto wengi .Ss hivi nimekua ndio nimeanza kumuonea huruma baba alijinyima sana,kipindi hicho usipopewa hela ya shule unagoma kwenda shule😂😂😂Inawezekana chai inanywewa wikend tu siku za kawaida haipikwi kwa kuwa watoto wako shule.
Mimi ni "niite tuje"
Kama treni yani kichwa na mabehewa.... you ready?
Acha kutufanya sisi watoto wadogo wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mshahara wangu ni sh 220,498.16/= Ila Nina mke mmoja na watoto wawili wa kiume na hapa naandika hii comment nimetoka kununua kilo moja ya nyama kwa sh 5000/= ,nimejenga kajumba ka 2 rooms na sebule,sijawahi lala njaa.
Ukubwa wa mshahara sio kipimo Cha maendeleo Bali ni mipango tu mkuu,pambana utatoka
Unaishi zaidi ya shetani ....310,000 mbona inatosha japo ni ngumu kufanya saving,kodi ya chumba na sebule medium quality 60000,umeme na maji 10000,chakula unasaga debe 2 za unga kila debe maximum 15000x2 ni 30000,maharage kilo 5x2000 ni 10000,mchele kilo 20x1200 ni 24000,mafuta Lita 5 ni 25000,mkaa nunua gunia moja 50000,gesi 25000 JUMLA NI 234000 hivyo ukiitoa kwenye 310000 itabaki 76000,suala la afya kata bima ya familia 54000 kwa mwaka,itabaki 22000 hii ya kubadilishia mboga kwa mwezi.Nauli kazini itabidi uwe mdau wa tz 11,suala la mavazi ni anasa,chai asubuhi ni anasa,king'amuzi ni anasa,bia ni anasa,kuhonga ni anasa, kutoa sadaka Mungu ndio anajua hali yako atakusamehe,YAANI KIFUPI UTAISHI KAMA SHETANI au nasema uongo ndugu zangu
Kama jana mlikula ugali hamna kipolo,Foleni za vibakuli za mihogo zinatusaidia ,yaani unanawa uso unaenda kwenye foleni ya mihogo mpaka foleni yako ikifika saa 6 hapo unakuwa ume double impact milo miwili mchana unapita tu.😂😂😂😂Wengi hawazijui, chai mnakunywa saa sita mchana na kiporo Cha Jana Cha ubwabwa na maharage , mkitoka hapo tukutane Tena usiku..